-
Brigedi ya Izzudeen Qassam yatangaza himaya yake kwa Waislamu wa Myanmar
Sep 16, 2017 09:17Brigedi ya Izzudeen Qassam tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imefanya gwaride kubwa kama ishara ya kufungmana na wananchi Waislamu wa Myanmar wanaokabiliwa na unyama na ukatili wa mabudha wanaosaidiwa na jeshi la nchi hiyo.
-
Upinzani wa Wapalestina dhidi ya mipango ya hadaa ya Rais Trump wa Marekani
Sep 15, 2017 22:05Kuongezeka hatua za upuuzaji wa haki za Wapalestina, zikiwemo za kuundwa nchi yao huru, katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani, kumeongeza hasira na malalamiko ya wananchi hao wanaodhulumiwa na utawala kandamizi na ghasibu wa Israel katika siku za hivi karibuni.
-
Hamas: Tutafungamana na chaguo la muqawama ili kufanikisha malengo ya wananchi wa Palestina
Sep 14, 2017 03:28Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza kuwa itaendelea kufungamana na chaguo la muqawama kama njia pekee ya kufanikisha malengo ya wananchi wa Palestina katika ardhi yenye uhuru na kujitawala.
-
UN yalaani Israel kwa kuzuia maendeleo ya Palestina
Sep 13, 2017 03:14Umoja wa Mataifa umeulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuzuia maendeleo pamoja na kuzorotesha hali ya kibinadamu katika ardhi za Palestina zilizo katika eneo la Quds Mashariki, Ukingo wa Maghribi na Ukanda wa Ghaza katika kipindi cha zaidi ya miaka 50 ya kukalia kwa mabavu maeneo hayo.
-
Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi Canada yasusia Israel
Sep 05, 2017 23:11Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi katika sekta binafsi nchini Canada imetangaza rasmi kujiunga na 'Harakati ya Ulimwengu ya Ususiaji wa Israel' maarufu kwa jina la BDS.
-
Larijani: Migogoro ya nchi za Kiislamu, sababu ya kusahauliwa Palestina
Sep 04, 2017 22:06Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, nchi nyingi za Kiislamu hivi sasa zina migogoro ya ugaidi na ya kiusalama, jambo ambalo limepelekea baadhi ya wanasiasa waisahau kadhia ya Palestina.
-
Matarajio ya Wapalestina kwa Umoja wa Mataifa na ahadi za Antonio Guterres
Aug 30, 2017 22:18Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, siku ya Jumanne usiku alikutana na familia kadhaa za mateka wa Palestina katika mji wa Ramallah na kuziahidi kwamba Umoja wa Mataifa utachukua hatua za kuhitimisha machungu na matatizo yanayowakabili Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
UN yaitaka Israel iondoe mzingiro wa kibaguzi Ukanda wa Gaza
Aug 30, 2017 10:55Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mzingiro wa kibaguzi wa karibu muongo mmoja dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa
Aug 28, 2017 23:53Wanazuoni wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Quds wametoa wito kwa Waislamu Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa mjini humo.
-
Ibrahim al-Jaafari: Msimamo wa Iraq kuhusu kadhia ya Palestina haujabadilika
Aug 23, 2017 09:35Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iraq amesema kuwa, nchi yake ingali inaunga mkono kadhia ya Palestina na malengo matukufu ya taifa hilo madhulumu na kwamba, msimamo wa Baghdad kuhusiana na kadhia hiyo haujabadilika.