Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Brigedi ya Izzudeen Qassam yatangaza himaya yake kwa Waislamu wa Myanmar

    Brigedi ya Izzudeen Qassam yatangaza himaya yake kwa Waislamu wa Myanmar

    Sep 16, 2017 09:17

    Brigedi ya Izzudeen Qassam tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imefanya gwaride kubwa kama ishara ya kufungmana na wananchi Waislamu wa Myanmar wanaokabiliwa na unyama na ukatili wa mabudha wanaosaidiwa na jeshi la nchi hiyo.

  • Upinzani wa Wapalestina dhidi ya mipango ya hadaa ya Rais Trump wa Marekani

    Upinzani wa Wapalestina dhidi ya mipango ya hadaa ya Rais Trump wa Marekani

    Sep 15, 2017 22:05

    Kuongezeka hatua za upuuzaji wa haki za Wapalestina, zikiwemo za kuundwa nchi yao huru, katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani, kumeongeza hasira na malalamiko ya wananchi hao wanaodhulumiwa na utawala kandamizi na ghasibu wa Israel katika siku za hivi karibuni.

  • Hamas: Tutafungamana na chaguo la muqawama ili kufanikisha malengo ya wananchi wa Palestina

    Hamas: Tutafungamana na chaguo la muqawama ili kufanikisha malengo ya wananchi wa Palestina

    Sep 14, 2017 03:28

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza kuwa itaendelea kufungamana na chaguo la muqawama kama njia pekee ya kufanikisha malengo ya wananchi wa Palestina katika ardhi yenye uhuru na kujitawala.

  • UN yalaani Israel kwa kuzuia maendeleo ya Palestina

    UN yalaani Israel kwa kuzuia maendeleo ya Palestina

    Sep 13, 2017 03:14

    Umoja wa Mataifa umeulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuzuia maendeleo pamoja na kuzorotesha hali ya kibinadamu katika ardhi za Palestina zilizo katika eneo la Quds Mashariki, Ukingo wa Maghribi na Ukanda wa Ghaza katika kipindi cha zaidi ya miaka 50 ya kukalia kwa mabavu maeneo hayo.

  • Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi Canada yasusia Israel

    Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi Canada yasusia Israel

    Sep 05, 2017 23:11

    Jumuiya kubwa zaidi ya wafanyakazi katika sekta binafsi nchini Canada imetangaza rasmi kujiunga na 'Harakati ya Ulimwengu ya Ususiaji wa Israel' maarufu kwa jina la BDS.

  • Larijani: Migogoro ya nchi za Kiislamu, sababu ya kusahauliwa Palestina

    Larijani: Migogoro ya nchi za Kiislamu, sababu ya kusahauliwa Palestina

    Sep 04, 2017 22:06

    Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, nchi nyingi za Kiislamu hivi sasa zina migogoro ya ugaidi na ya kiusalama, jambo ambalo limepelekea baadhi ya wanasiasa waisahau kadhia ya Palestina.

  • Matarajio ya Wapalestina kwa Umoja wa Mataifa na ahadi za Antonio Guterres

    Matarajio ya Wapalestina kwa Umoja wa Mataifa na ahadi za Antonio Guterres

    Aug 30, 2017 22:18

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, siku ya Jumanne usiku alikutana na familia kadhaa za mateka wa Palestina katika mji wa Ramallah na kuziahidi kwamba Umoja wa Mataifa utachukua hatua za kuhitimisha machungu na matatizo yanayowakabili Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • UN yaitaka Israel iondoe mzingiro wa kibaguzi Ukanda wa Gaza

    UN yaitaka Israel iondoe mzingiro wa kibaguzi Ukanda wa Gaza

    Aug 30, 2017 10:55

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mzingiro wa kibaguzi wa karibu muongo mmoja dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa

    Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa

    Aug 28, 2017 23:53

    Wanazuoni wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Quds wametoa wito kwa Waislamu Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa mjini humo.

  • Ibrahim al-Jaafari: Msimamo wa Iraq kuhusu kadhia ya Palestina haujabadilika

    Ibrahim al-Jaafari: Msimamo wa Iraq kuhusu kadhia ya Palestina haujabadilika

    Aug 23, 2017 09:35

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iraq amesema kuwa, nchi yake ingali inaunga mkono kadhia ya Palestina na malengo matukufu ya taifa hilo madhulumu na kwamba, msimamo wa Baghdad kuhusiana na kadhia hiyo haujabadilika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS