-
Zarif: Jamii ya kimataifa inapaswa kukomesha jinai za Israel
Aug 01, 2017 22:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jamii ya kimataifa inalazimika kukomesha utamaduni wa kutouadhibu utawala wa Kizayuni wa Israel na kuulazimisha utawala huo usitishe kabisa uhalifu na jinai zake dhidi ya watu wa Palestina.
-
Ayatullah Araki: Hujuma dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa hazitaachwa bila majibu
Jul 29, 2017 09:18Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, mashambulio ya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina na Msikiti wa al-Aqswa ni hujuma dhidi ya ubinadamu na kwamba, mashambulio hayo hayatabikia hivi hivi bila majibu.
-
Mkuu wa Sera za Nje wa EU: Quds ya Mashariki haitenganishiki na Palestina
Jul 29, 2017 03:22Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema Baitul Muqaddas Mashariki ni sehemu isiyotenganishika na Palestina.
-
Balozi wa Palestina Tehran: Mapambano ya kuuangamiza utawala wa Kizayuni wa Israel yanaendelea
Jul 26, 2017 09:14Balozi wa Palestina mjini Tehran amesema kuwa, mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel yataendelea hadi pale utawala huo haramu utakapoangamizwa na kufutwa katika ramani ya dunia.
-
Qassemi: Palestina bado ni kadhia ya kwanza ya Ulimwengu wa Kiislamu
Jul 23, 2017 09:47Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa kuendelea ukandamizaji mkubwa na kukiukwa haki za raia wa Palestina katika kufikia maeneo matukufu huko Quds Tukufu kunaonyesha kuwa Palestina iliyodhulumika ingali kadhia ya kwanza ya Ulimwengu wa Kiislamu.
-
António Guterres: Israel ijiepushe kufanya ukatili huko Quds
Jul 23, 2017 02:14Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu ukatili na hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwazuia Wapalestina kutekeleza ibada ya Swala ndani ya Msikiti wa al Aqsa.
-
HAMAS: Tunajiandaa kwa mapambano ya kuzikomboa ardhi zote za Palestina
Jul 22, 2017 22:19Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ametangaza kuwa, harakati hiyo inajiandaa kwa ajili ya mapambano ya kuzikomboa ardhi zote za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Jinai za Wazayuni katika Msikiti wa Al Aqsa, mwanzo wa Intifadha mpya Palestina
Jul 22, 2017 03:29Msemaji wa Brigedi ya Ezzedin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Hamas amesema hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya msikiti wa al Aqsa ni mwanzo wa mwamko mwingine (Intifadha) wa Wapalestina.
-
Wapalestina waandamana kulaani jinai za Wazayuni katika Masjidul Aqswa
Jul 16, 2017 10:41Kundi la Wapalestina na wawakilishi wa makundi ya Palestina leo Jumapili wamefanya maandamano kulaani jinai za mara kwa mara zinazofanywa na Wazayuni maghasibu dhidi ya Msikiti wa Aqsa, Kibla cha Kwanza cha Waislamu.
-
Iran yalaani utawala wa Kizayuni kwa kuufunga Msikiti wa Al Aqsa
Jul 16, 2017 02:09Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuufunga Msikiti wa Al Aqsa na kuzuia sala ya Ijumaa msikitini hapo na kuonya kuwa, hatua hizo zitakuwa na matokeo hatari sana.