Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Jan 23, 2025 04:19

    Wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina wengine wawili katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, wakati wakiendelea na kampeni ya kijeshi ambayo imeifanya kambi ya wakimbizi ya Jenin "kutoweza kukalika".

  • Hamas 'yajiweka sawa' baada ya Israel kufanya shambulio la kinyama Jenin

    Hamas 'yajiweka sawa' baada ya Israel kufanya shambulio la kinyama Jenin

    Jan 21, 2025 23:20

    Wanajeshi wa Israel wamewauwa shahidi Wapalestina kumi na kuwajeruhi wengine 35 katika shambulio dhidi ya mji unaokaliwa kwa mabavu wa Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, na kupelekea Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas kutoa wito kwa vijana wa Kipalestina kujikusanya na kujiandaa kujibu uchokozi huo wa vikosi vamizi vya Wazayuni.

  • Makundi ya kutetea Palestina ya Uingereza: Amani ya kudumu huko Gaza itapatikana kwa kukomesha uvamizi wa Israel

    Makundi ya kutetea Palestina ya Uingereza: Amani ya kudumu huko Gaza itapatikana kwa kukomesha uvamizi wa Israel

    Jan 17, 2025 23:11

    Makundi kadhaa ya wanaharakati wa Kipalestina nchini Uingereza yametoa wito wa kukomeshwa uvamizi wa Israel na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina, baada ya kutangazwa makubaliano ya kuzisitisha vita kati ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na utawala ghasibu wa Israel.

  • UNRWA: Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni kuundwa nchi huru ya Palestina

    UNRWA: Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni kuundwa nchi huru ya Palestina

    Jan 09, 2025 22:58

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) amesema, kuundwa kwa taifa huru la Palestina ndio suluhisho la matatizo ya eneo hilo.

  • Brigedi za al Qassam zasambaratisha vifaru vinne vya merkava vya Israel

    Brigedi za al Qassam zasambaratisha vifaru vinne vya merkava vya Israel

    Jan 04, 2025 04:19

    Brigedi za al Qassam zimetangaza mapema leo kuwa zimevisambaratisha vifaru vinne vya merkava vya utawala wa Israel katika oparesheni iliyofanyika mashariki mwa mji wa Jabalia. Brigedi za al Qassam zimevisambaratisha vifaru hivyo kwa kutumia mada za milipuko.

  • NGO: Israel inashikilia miili ya Wapalestina 198 waliouawa mwaka 2024

    NGO: Israel inashikilia miili ya Wapalestina 198 waliouawa mwaka 2024

    Jan 01, 2025 09:32

    Kampeni ya Kitaifa ya Kurejesha Miili ya Mashahidi (The National Campaign to Retrieve Martyrs' Bodies) imeeleza kuwa viongozi wa utawala ghasibu wa Israel wanashikilia miiili ya mashahidi wa Kipalestina 198 walisajiliwa mwaka jana wa 2024.

  • Himaya ya wananchi katika Ulimwengu wa Kiislamu kwa muqawama wa Palestina

    Himaya ya wananchi katika Ulimwengu wa Kiislamu kwa muqawama wa Palestina

    Jan 01, 2025 04:08

    Mwaka mpya wa Miladia wa 2025 umeanza katika ulimwengu wa Kiislamu kwa himaya na uungaji mkono mkubwa wa wananchi kwa makundi ya wapiganaji wa Palestina na viongozi wa muqawama.

  • Riyadh Mansour na Francesca Albanese shakhsia muhimu wa UN kwa mwaka 2024

    Riyadh Mansour na Francesca Albanese shakhsia muhimu wa UN kwa mwaka 2024

    Dec 29, 2024 08:58

    Duru za habari zimeripoti kuwa, Mwakilishi wa Kudumu wa Palestina katika Umoja wa Mataifa na Ripota Maalumu wa umoja huo kuhusu masuala ya Palestina wamechaguliwa kuwa shakhsia muhimu wa Umoja wa Mataifa kwa mwaka 2024.

  • Mielekeo tofauti inayoonyeshwa na nchi za Ulaya kuhusiana na jinai za Wazayuni inaashiria nini?

    Mielekeo tofauti inayoonyeshwa na nchi za Ulaya kuhusiana na jinai za Wazayuni inaashiria nini?

    Dec 26, 2024 23:30

    Wakati Waziri Mkuu wa Ireland Simon Harris amesisitiza kwa mara nyingine tena mshikamano wa nchi yake na Palestina na kuyataja mauaji ya Wapalestina kuwa ni "utovu wa hisia za dhamiri na janga la kibinadamu", mkabala na matamshi hayo, serikali ya Ujerumani imetoa kibali cha kusafirisha na kuipelekea silaha Israel.

  • Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran: Muqawama wa Wapalestina umeonyesha sura halisi ya mfumo wa kibeberu

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran: Muqawama wa Wapalestina umeonyesha sura halisi ya mfumo wa kibeberu

    Dec 22, 2024 23:41

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, muqawama wa Palestina na Mujahidina wa Gaza wameonyesha sura mbaya na ya kweli ya mfumo wa kibeberu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS