-
Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Jan 23, 2025 04:19Wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina wengine wawili katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, wakati wakiendelea na kampeni ya kijeshi ambayo imeifanya kambi ya wakimbizi ya Jenin "kutoweza kukalika".
-
Hamas 'yajiweka sawa' baada ya Israel kufanya shambulio la kinyama Jenin
Jan 21, 2025 23:20Wanajeshi wa Israel wamewauwa shahidi Wapalestina kumi na kuwajeruhi wengine 35 katika shambulio dhidi ya mji unaokaliwa kwa mabavu wa Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, na kupelekea Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas kutoa wito kwa vijana wa Kipalestina kujikusanya na kujiandaa kujibu uchokozi huo wa vikosi vamizi vya Wazayuni.
-
Makundi ya kutetea Palestina ya Uingereza: Amani ya kudumu huko Gaza itapatikana kwa kukomesha uvamizi wa Israel
Jan 17, 2025 23:11Makundi kadhaa ya wanaharakati wa Kipalestina nchini Uingereza yametoa wito wa kukomeshwa uvamizi wa Israel na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina, baada ya kutangazwa makubaliano ya kuzisitisha vita kati ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na utawala ghasibu wa Israel.
-
UNRWA: Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni kuundwa nchi huru ya Palestina
Jan 09, 2025 22:58Kamishna Mkuu wa Shirika la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) amesema, kuundwa kwa taifa huru la Palestina ndio suluhisho la matatizo ya eneo hilo.
-
Brigedi za al Qassam zasambaratisha vifaru vinne vya merkava vya Israel
Jan 04, 2025 04:19Brigedi za al Qassam zimetangaza mapema leo kuwa zimevisambaratisha vifaru vinne vya merkava vya utawala wa Israel katika oparesheni iliyofanyika mashariki mwa mji wa Jabalia. Brigedi za al Qassam zimevisambaratisha vifaru hivyo kwa kutumia mada za milipuko.
-
NGO: Israel inashikilia miili ya Wapalestina 198 waliouawa mwaka 2024
Jan 01, 2025 09:32Kampeni ya Kitaifa ya Kurejesha Miili ya Mashahidi (The National Campaign to Retrieve Martyrs' Bodies) imeeleza kuwa viongozi wa utawala ghasibu wa Israel wanashikilia miiili ya mashahidi wa Kipalestina 198 walisajiliwa mwaka jana wa 2024.
-
Himaya ya wananchi katika Ulimwengu wa Kiislamu kwa muqawama wa Palestina
Jan 01, 2025 04:08Mwaka mpya wa Miladia wa 2025 umeanza katika ulimwengu wa Kiislamu kwa himaya na uungaji mkono mkubwa wa wananchi kwa makundi ya wapiganaji wa Palestina na viongozi wa muqawama.
-
Riyadh Mansour na Francesca Albanese shakhsia muhimu wa UN kwa mwaka 2024
Dec 29, 2024 08:58Duru za habari zimeripoti kuwa, Mwakilishi wa Kudumu wa Palestina katika Umoja wa Mataifa na Ripota Maalumu wa umoja huo kuhusu masuala ya Palestina wamechaguliwa kuwa shakhsia muhimu wa Umoja wa Mataifa kwa mwaka 2024.
-
Mielekeo tofauti inayoonyeshwa na nchi za Ulaya kuhusiana na jinai za Wazayuni inaashiria nini?
Dec 26, 2024 23:30Wakati Waziri Mkuu wa Ireland Simon Harris amesisitiza kwa mara nyingine tena mshikamano wa nchi yake na Palestina na kuyataja mauaji ya Wapalestina kuwa ni "utovu wa hisia za dhamiri na janga la kibinadamu", mkabala na matamshi hayo, serikali ya Ujerumani imetoa kibali cha kusafirisha na kuipelekea silaha Israel.
-
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran: Muqawama wa Wapalestina umeonyesha sura halisi ya mfumo wa kibeberu
Dec 22, 2024 23:41Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, muqawama wa Palestina na Mujahidina wa Gaza wameonyesha sura mbaya na ya kweli ya mfumo wa kibeberu na utawala wa Kizayuni wa Israel.