-
Ban atiwa uchungu na suala la wakimbizi wa Palestina
May 05, 2016 00:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, ameeleza kutiwa uchungu na suala la hatima ya wakimbizi wa Palestina wapatao milioni 5.2, ambalo halijapatiwa suluhu kwa muda mrefu.
-
Trump: Israel iendeleze ujenzi wa vitongoji Palestina
May 04, 2016 09:56Donald Trump, mwanasiasa wa chama cha Republican anayewania kuteuliwa kugombea urais nchini Marekani kupitia chama hicho ameutaka utawala haramu wa Israel uendeleze ujenzi haramu wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
UN: Israel inaeneza uongo kuhusu Palestina
May 02, 2016 23:29Mratibu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ameulaumu utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kueneza uongo dhidi ya Wapalestina.
-
Ugaidi unaenea kutokana na hitilafu za kimadhehebu, kikaumu katika nchi za Kiislamu
May 02, 2016 23:28Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema, ugaidi unaenea Mashariki ya Kati kutokana na hitilafu za kikaumu na kimadhehebu katika nchi za Kiislamu.
-
Iran yataka Wapalestina waungane kukabiliana na Utawala wa Kizayuni
May 01, 2016 09:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesisitiza kuhusu ulazima wa kuwepo umoja miongoni mwa makundi yote ya Palestina.
-
Mashirika 40 ya haki za binadamu Ufaransa yatangaza mshikamano na watoto wa Kipalestina
Apr 30, 2016 23:51Zaidi ya mashirika 40 ya kutetea haki za binadamu nchini Ufaransa yametangaza mshikamano na watoto wadogo na vijana chipukizi wa Kipalestina wanaoshikiliwa kwenye magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kiongozi: Wamagharibi wanataka kudhibiti eneo kupitia vita dhidi ya Uislamu
May 01, 2016 13:41Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema madola ya Magharibi yakiongozwa na Marekani yanataka kulidhibiti eneo la Magharibi mwa Asia kupitia vita vikubwa na vipana dhidi ya mrengo wa Uislamu.
-
Wazayuni walivamia tena kaburi la Nabii Yusuf (AS), Ufukwe wa Magharibi, Palestina
Apr 28, 2016 23:38Walowezi wa Kizayuni wamelivamia tena kaburi la Nabii Yusuf (as) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Saudia kufungua ubalozi Israel
Apr 27, 2016 23:31Saudi Arabia imesema huenda ikafungua ubalozi wake Tel Aviv iwapo utawala haramu wa Israel utakubali kusitisha mgogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Intifadha yazidi kuutia kiwewe utawala wa Kizayuni wa Israel
Apr 25, 2016 22:04Majenerali wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamesema kuwa, wana wasiwasi wa kuongezeka muqawama wa wananchi wa Palestina dhidi ya utawala huo pandikizi.