-
Ripoti: Idadi ya wafungwa watoto wa Kipalestina katika jela za Israel yaongezeka
Apr 24, 2016 03:00Idadi ya watoto wadogo wa Kipalestina wanaozuiliwa katika jela za kutisha za utawala wa kizayuni wa Israel imeongezeka kwa kiwango kikubwa tangu Oktoba mwaka uliopita wa 2015.
-
Merkel aikosoa Israel kwa kuendeleza ujenzi wa vitongoji
Apr 20, 2016 03:18Chansela wa Ujerumani amekosoa hatua ya utawala haramu wa Israel ya kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu na kusema kuwa ujenzi huo unazuia mchakato wa amani.
-
Ban asema Israel inavuruga mpango wa amani
Apr 19, 2016 10:57Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amekosoa vikali hatua ya Israel kuendeleza ujenzi wa vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Russia kuisaidia Palestina kutatua mzozo kati yake na Israel
Apr 19, 2016 03:23Rais wa Russia Vladimir Putin amesema nchi yake itasaidia juhudi za Palestina za kuupatia ufumbuzi mgogoro kati yake na utawala wa kizayuni wa Israel kwa njia ya mazungumzo.
-
Wazayuni kadhaa wajeruhiwa karika mripuko wa bomu Quds
Apr 18, 2016 12:24Habari kutoka Palestina inayokaliwa kwa mabavu zinasema kuwa, Wazayuni karibu 20 wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu katika basi moja huko Quds.
-
Maandamano ya Siku ya Wafungwa wa Kipalestina
Apr 17, 2016 23:41Mamia ya wananchi wa Palestina jana Jumapili walifanya maandamano katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Ukanda wa Gaza katika maadhimisho ya Siku ya Wafungwa wa Kipalestina.
-
Palestina yataka kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi
Apr 16, 2016 23:57Mwakilishi wa kudumu wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la umoja huo kutekeleza majukumu yake na kuzuia ujenzi wa vitongoji zaidi vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na Israel katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Maandamano ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Apr 15, 2016 23:42Wapalestina wa maeneo tofauti ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan wamefanya maandamano makubwa ya kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
HAMAS yaiomba OIC ichukue hatua za kuisaidia Palestina
Apr 14, 2016 23:45Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeiomba Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ilisaidie taifa la Palestina katika kukabiliana na uvamizi na ukaliaji wa mabavu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wapalestina walaani Israel kumkamata Imam wa Masjid Al Aqsa
Apr 09, 2016 22:35Wapalestina wameendelea kulaani vikali hatua ya wanajeshi wa Israel kumkamata Imam na Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.