Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Jeshi la Yemen: Tumeshambulia kwa kombora meli iliyokuwa ikielekea Israel

    Jeshi la Yemen: Tumeshambulia kwa kombora meli iliyokuwa ikielekea Israel

    Dec 12, 2023 23:16

    Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimekiri kuhusika na shambulizi la kombora la cruise dhidi ya meli ya mafuta katika Bahari Nyekundu, ikiwa njiani kuelekea katika bandari ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Uchunguzi wa maoni: Wamarekani wengi wanapinga sera ya Biden kuhusu vita vya Gaza

    Uchunguzi wa maoni: Wamarekani wengi wanapinga sera ya Biden kuhusu vita vya Gaza

    Dec 11, 2023 23:29

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa na televisheni ya Marekani ya CBS News umeonyesha kuwa asilimia kubwa ya Wamarekani wanapinga jinsi Rais Joe Biden anavyoshughulikia vita vya Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza.

  • Raisi: Kimbunga cha al-Aqsa kimepanua mipaka ya muqawama

    Raisi: Kimbunga cha al-Aqsa kimepanua mipaka ya muqawama

    Dec 10, 2023 00:31

    Rais wa Iran amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa imepanua mipaka ya muqawama na kuufikisha katika kona zote za dunia.

  • Makundi ya muqawama yatoa mwito wa kufanyika 'mgomo wa ulimwengu'

    Makundi ya muqawama yatoa mwito wa kufanyika 'mgomo wa ulimwengu'

    Dec 10, 2023 00:31

    Muungano wa makundi ya muqawama wa Palestina umetoa mwito wa kufanyika 'mgomo kamili wa kimataifa' kwa ajili ya kuonyesha mshikamano na wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, ambao wanakabiliwa na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa zaidi ya miezi miwili sasa.

  • Mufti wa Oman alaani wanaotaka kudhoofisha muqawama wa Wapalestina

    Mufti wa Oman alaani wanaotaka kudhoofisha muqawama wa Wapalestina

    Dec 09, 2023 23:37

    Mufti Mkuu wa Oman amewakosoa wale wanaojaribu kudhoofisha harakati za mapambano ya Kiislamu (muqawama) za Wapalestina dhidi ya jinai za utawala haramu wa Israel.

  • Ripoti: Israel imeua makumi ya wanariadha wa Palestina tangu Oktoba 7

    Ripoti: Israel imeua makumi ya wanariadha wa Palestina tangu Oktoba 7

    Dec 09, 2023 23:25

    Israel imeua shahidi makumi ya wanariadha na wamamichezo wa Palestina tangu utawala huo wa Kizayuni uanzishe mashambulizi ya kutisha dhidi ya Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 7.

  • HAMAS yaendelea kujibu jinai za Wazayuni, Israel yakiri kujeruhiwa maelfu ya wanajeshi wake

    HAMAS yaendelea kujibu jinai za Wazayuni, Israel yakiri kujeruhiwa maelfu ya wanajeshi wake

    Dec 09, 2023 11:33

    Wanamapambano wa Brigedi za Izzuddin al Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS wametangaza leo kuwa wameendelea kuvipiga kwa makombora vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kikiwemo kitongoji cha Magin (ماگین).

  • HAMAS yalaani kitendo cha askari wa Israel cha kuwakashifu Wapalestina kwa kuwavua nguo hadharani

    HAMAS yalaani kitendo cha askari wa Israel cha kuwakashifu Wapalestina kwa kuwavua nguo hadharani

    Dec 09, 2023 02:49

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani kitendo cha wanajeshi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel cha kuwalazimisha kuvua nguo Wapalestina wapatao 100 waliowakamata; na kuwakashifu kwa kuwaweka hadharani katika barabara za Ukanda wa Gaza wakiwa wamebaki na nguo za ndani tu.

  • Maandamano makubwa ya wananchi wa Yemen kuiunga mkono Palestina

    Maandamano makubwa ya wananchi wa Yemen kuiunga mkono Palestina

    Dec 08, 2023 11:40

    Wananchi wa Yemen leo asubuhi wamefanya maandamano kadhaa na kusisitiza udharura wa kuendelea kuwaunga mkono wananchi wa Palestina mkabala wa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran: Israel inawajihiwa na siku za kutisha kutokana na majibu makali ya muqawama

    Iran: Israel inawajihiwa na siku za kutisha kutokana na majibu makali ya muqawama

    Dec 07, 2023 00:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema wanamapambano wa makundi ya muqawama ya Palestina wameendelea kutoa majibu makali na ya nguvu kwa uvamizi wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza, na kwamba mwenendo wa majibu hayo utauweka utawala wa Kizayuni kwenye hali mbaya katika siku zijazo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS