-
Askari wa Israel wawashambulia waandamanaji wa Kipalestina, 30 wajeruhiwa
Sep 23, 2023 04:11Wanajeshi makatili wa utawala haramu wa Israel wamewashambulia waandamanaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza na kujeruhi 30 miongoni mwao.
-
Netanyahu: DRC itahamishia ubalozi wake Quds kutoka Tel Aviv
Sep 23, 2023 00:35Waziri wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo karibuni itauhamishia ubalozi wake mjini Quds (Jerusalem) kutoka Tel Aviv.
-
Waziri Mkuu wa Kuwait asisitiza umuhimu wa kadhia ya Palestina
Sep 22, 2023 08:03Waziri Mkuu wa Kuwait Ahmad Nawaf Al-Ahmad Al-Sabah amesisitiza kuwa Palestina ni moja ya masuala muhimu katika ulimwengu wa Kiislamu na ulimwengu wa Kiarabu.
-
Rais Raisi: Vita havina nafasi katika miongozo ya kijeshi ya Iran
Sep 22, 2023 03:12Rais Ebrahim Raisi amesema: Vita havina nafasi katika miongozo ya kijeshi ya Iran, lakini kudumisha utayarifu wa kijeshi kwa muelekeo wa kujihami ni sera ya Jamhuri ya Kiislamu isiyo na shaka yoyote.
-
Amir wa Qatar: Israel ni utawala wa kibaguzi wa karne ya 21
Sep 20, 2023 07:58Amir wa Qatar amesema kuwa, Israel ni utawala wa kibaguzi wa karne ya 21, na kusisitiza kuwa, wananchi wa Palestina hawapaswi kuwa watumwa wa dhulma na ukatili wa wavamizi wanaoikalia Quds kwa mabavu.
-
Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina 4 Gaza, Ukingo wa Magharibi
Sep 20, 2023 03:47Wanajeshi vamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina wanne katika mashambulizi mawili tofauti katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Ukanda wa Gaza.
-
Abbas ataka wafungwa wote wa Kipalestina waachiwe huru
Sep 17, 2023 01:07Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametaka kuachiwa huru wafungwa wote wa Kipalestina wanaoendelea kuteseka katika jela na magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
HAMAS yalaani kauli ya Katibu Mkuu wa UN kuyaita mapambano ya Wapalestina 'vurugu na utumiaji nguvu'
Sep 15, 2023 09:56Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imekosoa vikali kauli ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ya kuuita Muqawama wa wananchi wa Palestina dhidi ya utawala ghasibu wa Israel kuwa ni "vurugu" na kusisitiza kwamba kinachofanyika katika ardhi za Palestina ni haki ya kujihami dhidi ya utawala unaokalia ardhi kwa mabavu.
-
Muqawama: Hatutafumbia macho upuuzi wa kuwadhalilisha wanawake Wapalestina
Sep 08, 2023 03:58Makundi ya muqawama ya Palestina yameapa kulipiza kisasi cha kudhalilishwa wanawawake wa Kipalestina katika mji wa al-Khalil, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.
-
Wakuu wa muqawama Palestina na Lebanon kutoa jibu la pamoja dhidi ya Israel
Sep 03, 2023 04:11Viongozi wa harakati za muqawama za Palestina na Lebanon wameapa kushirikiana ili kutoa jibu la pamoja dhidi ya sera za uvamizi za utawala haramu wa Israel.