Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Viongozi wa HAMAS: Tuko mstari wa mbele katika mapambano ya Ukingo wa Magharibi na Quds

    Viongozi wa HAMAS: Tuko mstari wa mbele katika mapambano ya Ukingo wa Magharibi na Quds

    Mar 11, 2023 23:09

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imefanya mkusanyiko huko Beit Lahya kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kwa ajili ya kuunga mkono msikiti wa al-Aqswa, mateka wa Kipalestina na muqawama wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • 'Pango la Simba' kulipiza kisasi cha mauaji ya Wapalestina Jenin

    'Pango la Simba' kulipiza kisasi cha mauaji ya Wapalestina Jenin

    Mar 08, 2023 06:23

    Kundi la Muqawama wa Kiislamu la Arin al Usud (Pango la Simba) limesema litalipiza kisasi cha mauaji ya kikatili ya Wapalestina katika mji wa Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Mash'al: Kuanzisha uhusiano na Israel umeisababishia Palestina dhiki

    Mash'al: Kuanzisha uhusiano na Israel umeisababishia Palestina dhiki

    Mar 05, 2023 07:28

    Kiongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nje ya nchi ameyakosoa baadhi ya madola ya Kiarabu kwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel na kusisitiza kuwa, ushirikiano na utawala huo wa Kizayuni haujakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuwasababishia Wapalestina dhiki na matatizo.

  • Rais wa Baraza la Usalama UN akwepa kujibu suali kuhusu Palestina na Ukraine

    Rais wa Baraza la Usalama UN akwepa kujibu suali kuhusu Palestina na Ukraine

    Mar 03, 2023 04:14

    Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amekataa kujibu suali aliloulizwa kuhusu Palestina na Ukraine.

  • "Mkutano wa Aqaba unaipa Israel kibali cha kushadidisha jinai dhidi ya Wapalestina"

    Feb 27, 2023 06:13

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameashiria mkutano eti wa kiusalama ulioandaliwa na Marekani huko Jordan na kusisitiza kuwa, kikao hicho cha Aqaba kinalenga kuupa utawala wa Kizayuni wa Israel ridhaa ya kushadidisha jinai zake dhidi ya Wapalestina.

  • Wapalestina wapinga mkutano na Israel ulioandaliwa na US huko Jordan

    Wapalestina wapinga mkutano na Israel ulioandaliwa na US huko Jordan

    Feb 26, 2023 23:01

    Maelfu ya Wapalestina wamefanya maandamano katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kulalamikia mkutano eti wa kiusalama ulioandaliwa na Marekani huko Jordan, siku chache baada ya jeshi katili la Israel kufanya mashambulizi ya umwagaji damu huko Jenin.

  • Afrika Kusini: Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina zinakinzana na Hati ya Umoja wa Afrika

    Afrika Kusini: Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina zinakinzana na Hati ya Umoja wa Afrika

    Feb 26, 2023 09:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuhusu kufukuzwa ujumbe wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mkutano wa viongozi wa nchi za Afrika uliofanyika Addis Ababa huko Ethiopia kuwa utawala wa Kizayuni umetenda jinai nyingi dhidi ya Palestina na suala hilo ni kinyume na hati ya Umoja wa Afrika.

  • Katibu Mkuu wa Jihadul-Islami: Damu ya Mashahidi itailetea ushindi Palestina

    Katibu Mkuu wa Jihadul-Islami: Damu ya Mashahidi itailetea ushindi Palestina

    Feb 25, 2023 03:39

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amepongeza mchango wa kijihadi wa Mashahidi wa ardhi hiyo katika kukabiliana na adui Mzayuni na akasema, damu za Mashahidi hao ndizo zitakazoiletea ushindi Palestina.

  • Onyo la Ismail Hania kwa Israel kuhusu matokeo mabaya ya kuendelea vitendo vya utumiaji mabavu

    Onyo la Ismail Hania kwa Israel kuhusu matokeo mabaya ya kuendelea vitendo vya utumiaji mabavu

    Feb 24, 2023 23:13

    Ismail Hania, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amewapongeza wananchi wa Palestina kwa kuendelea kusimama imara na kutangaza kuwa, vita na adui Mzayuni vimeingia katika awamu mpya.

  • Nchi za Kiarabu zalaani mashambulizi ya wanajeshi wa Kizayuni huko Nablus

    Nchi za Kiarabu zalaani mashambulizi ya wanajeshi wa Kizayuni huko Nablus

    Feb 23, 2023 02:45

    Baadhi ya nchi za Kiarabu zimelaani jinai mpya iliyotekelezwa na Maghasibu wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika mji wa Nablus.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS