-
Harakati ya Palestina: Hakuna nchi inayounga mkono ukombozi wa Quds kama Iran
Mar 11, 2022 04:33Harakati ya Mujahideen ya Palestina imesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono kwa dhati suala la kukombolewa kwa mji mtukufu wa Quds, unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
-
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaitaka ICC kufuatilia uhalifu wa kivita wa Israel
Mar 11, 2022 01:11Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) limeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuendeleza uchunguzi wake kuhusu jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina.
-
Palestina: Mgogoro wa Ukraine umeonyesha kuwa vigezo vya mfumo wa kimataifa ni vya kibaguzi
Mar 10, 2022 08:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema, mgogoro wa Ukraine umeonyesha kuwa vipimo na vigezo vinavyotumiwa na mfumo wa kimataifa ni vya kibaguzi na undumakuwili.
-
HAMAS: Israel inacheza na moto kwa kuwakandamiza mateka Wapalestina
Mar 03, 2022 23:12Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetahadharisha kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unacheza na moto kwa kuzidisha mbinyo na ukandamizaji dhidi ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika jela na magereza ya utawala huo pandikizi.
-
HAMAS: Njama za utawala wa Kizayuni za kubadilisha utambulisho wa Quds zitashindwa tu
Mar 03, 2022 04:01Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, njama za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel za kutaka kuubadilisha utambulisho wa Quds tukufu unayoikalia kwa mabavu zitashindwa tu.
-
Jihadul-Islami yasisitiza udharura wa umoja wa Waislamu katika kuunga mkono Wapalestina
Mar 02, 2022 20:45Kiongozi mwandamizi wa harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema umoja wa Waislamu ni siri ya ushindi wa Wapalestina na Waislamu kwa ujumla na kuongeza kuwa ukombozi wa Quds (Jerusalem) na ardhi zote za Palestina ni mihimili ya mapambano ya Wapalestina dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.
-
Ziyad al-Nakhala: Muqwawama umeimarika zaidi kuliko wakati wowote ule
Mar 01, 2022 04:43Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema kuwa, muqawama umepata nguvu na kuuimarika kuliko wakati wowote ule huuu adui akidhoofika kuliko kipindi chochote.
-
Chama cha Fat'h: Marekani inashirikiana na Israel kuwakandamiza Wapalestina
Feb 25, 2022 03:25Katibu wa Kamati Kuu ya chama cha Fat'h cha Palestina amesema kuwa, eneo la Sheikh Jarrah na maeneo mengine ya Quds yanayokaliwa kwa mabavu, yanaendelea kushuhudia vitendo vya kigaidi vya utawala wa Kizayuni wa Israel na kwamba jinai hizo zinafanyika kwa uungaji mkono kamili wa Marekani.
-
Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wauvunjia heshima msikiti wa Nabii Ibrahim (as)
Feb 21, 2022 04:09Duru za habari zimeripoti kuwa, kundi kubwa la askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limeuvamia na kuuvunjia heshima msikiti wa Nabii Ibrahim (as) katika mji wa al Khalil, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Iran yaitaka dunia ikomeshe jinai za Israel dhidi ya Wapalestina
Feb 20, 2022 04:33Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za haraka za kuuzuia utawala wa Kizayuni wa Israel kuendelea kufanya jinai na uhalifu dhidi ya Wapalestina.