Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

polisi

  • WHO yachukua hatua dhidi ya kirusi cha Mpox huku kesi za maambukizi zikiongezeka Afrika

    WHO yachukua hatua dhidi ya kirusi cha Mpox huku kesi za maambukizi zikiongezeka Afrika

    Aug 08, 2024 07:52

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus, ameitisha mkutano wa dharura wa wataalamu wa kimataifa huku kesi za maambukizi ya spishi hatari zaidi ya kirusi cha Mpox zikiongezeka katika nchi za Afrika.

  • Iran yaitaka serikali ya Ufaransa iache kuwakandamiza waandamanaji

    Iran yaitaka serikali ya Ufaransa iache kuwakandamiza waandamanaji

    Jul 02, 2023 07:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Polisi ya Ufaransa inapaswa kujizuia kutumia mabavu dhidi ya waandamanaji wanalalamikia kuuawa kijana wa miaka 17 mikononi mwa polisi

  • Mwaka wa tatu wa mauaji ya George Floyd; kuendelea ubaguzi wa rangi  dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika

    Mwaka wa tatu wa mauaji ya George Floyd; kuendelea ubaguzi wa rangi dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika

    May 28, 2023 10:49

    Ikiwa umetimia mwaka wa tatu tangu kuuawa kikatili George Floyd, Mmarekani mwenye asili ya Afrika, yaliyofanywa na polisi mbaguzi mzungu anayeitwa Derek Chauvin katika mji wa Minneapolis, Minnesota, suala la ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi nchini Marekani dhidi ya watu weusi au wenye asili ya Afrika bado ni miongoni mwa matatizo makubwa katika nchi hiyo.

  • Polisi ya Ufaransa yakandamiza maandamano ya wananchi

    Polisi ya Ufaransa yakandamiza maandamano ya wananchi

    Feb 13, 2023 02:34

    Askari polisi nchini Ufaransa wamewashambulia vibaya mamia ya maelfu ya watu walioshiriki maandamano ya kulalamikia sera za Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo, na hususan mageuzi tata ya pensheni yaliyotazamiwa kuanza kutekelezwa mwaka huu wa 2023.

  • Kukirihishwa polisi na vyombo vya habari vya Magharibi katika kukabiliana na kuakisi ugaidi wa Wazungu

    Kukirihishwa polisi na vyombo vya habari vya Magharibi katika kukabiliana na kuakisi ugaidi wa Wazungu

    Dec 27, 2022 02:28

    Shambulio la kigaidi na la ubaguzi wa rangi lililotokea hivi karibuni Paris, mji mkuu wa Ufaransa, kwa mara nyingine limeonesha jinsi polisi na vyombo vya habari vya Magharibi vinavyokirihishwa, kuchukizwa na kutopenda kabisa kukabiliana na kuakisi vitendo vya kigaidi vinavyoifanywa na Wazungu magaidi.

  • Uingereza na Marekani zinachochea ghasia moja kwa moja nchini Iran

    Uingereza na Marekani zinachochea ghasia moja kwa moja nchini Iran

    Oct 01, 2022 04:54

    Wizara ya Usalama ya Iran imesema Marekani na Uingereza zilichochea ghasia zilizoshuhudiwa hivi karibuni kote Iran.

  • Utafiti: Polisi ya Marekani imeua raia 700 ndani ya miezi 7

    Utafiti: Polisi ya Marekani imeua raia 700 ndani ya miezi 7

    Aug 05, 2022 01:14

    Mamia ya raia wameuawa na askari polisi wa Marekani tokea mwanzoni mwaka huu 2022 hadi sasa, huku duru mbalimbali zikiendelea kulaani ukatili wa polisi ya nchi hiyo dhidi ya raia hususan Wamarekani wenye asili ya Afrika.

  • Polisi ya Taliban Afghanistan yaanza kuajiri askari wanawake

    Polisi ya Taliban Afghanistan yaanza kuajiri askari wanawake

    Jun 09, 2022 12:20

    Maafisa wa Idara ya uajiri katika jeshi la polisi la mkoa wa Balakh nchini Afghanistan wamesema jeshi hilo limeanza kuandikisha wanawake watakaoajiriwa kuhudumu kama askari.

  • Mkuu wa Jeshi la Polisi ya Tanzania: Polisi itakagua yanayofundishwa nyumba za ibada

    Mkuu wa Jeshi la Polisi ya Tanzania: Polisi itakagua yanayofundishwa nyumba za ibada

    Sep 11, 2021 13:30

    Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa litakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili (Sunday Schools) kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa.

  • Wabunge Ufaransa wakosoa kuteuliwa afisa wa UAE kuongoza Interpol

    Wabunge Ufaransa wakosoa kuteuliwa afisa wa UAE kuongoza Interpol

    Jun 19, 2021 05:10

    Makumi ya Wabunge wa Ufaransa wamelalamikia hatua ya kuteuliwa afisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa Rais wa Polisi ya Kimataifa (Interpol).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS