Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Hassan bin Abdullah al Ghanim achaguliwa kuwa Spika wa kwanza wa Bunge la Qatar

    Hassan bin Abdullah al Ghanim achaguliwa kuwa Spika wa kwanza wa Bunge la Qatar

    Oct 27, 2021 00:36

    Hassan bin Abdullah al Ghanim amechaguliwa kuwa Spika wa kwanza wa Bunge la Qatar baada ya kupigiwa kura 37 za 'ndiyo' na wabunge wa bunge hilo lililoundwa kupitia uchaguzi wa hivi karibuni.

  • Kuhuishwa uhusiano wa Doha na Cairo katika Muktadha wa Busara ya Qatar katika sera ya kigeni

    Kuhuishwa uhusiano wa Doha na Cairo katika Muktadha wa Busara ya Qatar katika sera ya kigeni

    Oct 22, 2021 00:26

    Kufuatia kuanza kazi kwa balozi wa Qatar mjini Cairo, balozi wa Misri pia aliwasili Doha siku ya Jumatano Oktoba 20 kwa ajili ya kuwakilisha nchi yake katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.

  • Kuhuishwa uhusiano wa Qatar na Misri baada ya Saudi Arabia

    Kuhuishwa uhusiano wa Qatar na Misri baada ya Saudi Arabia

    Aug 26, 2021 09:15

    Salim Mubarak Al Shafi balozi wa Qatar mjini Cairo Jumatatu wiki hii alikutana na kufanya mazungumzo na Sameh Hassan Shoukry Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri na akamkabidhi hati yake ya utambulisho.

  • Qatar yatoa msaada kwa Yemen kusaidia ili  upatikanaji wa chakula

    Qatar yatoa msaada kwa Yemen kusaidia ili upatikanaji wa chakula

    Jul 22, 2021 22:02

    Amir wa Qatar ameagiza kutolewa dola milioni mia moja ili kusaidia usalama wa chakula huko Yemen.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar aelekea Beirut kuchunguza mgogoro wa kuunda serikali ya Lebanon

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar aelekea Beirut kuchunguza mgogoro wa kuunda serikali ya Lebanon

    Jul 06, 2021 03:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar leo anaelekea Beirut mji mkuu wa Lebanon kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo ambapo pande mbili zitachunguza mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini humo kuhusu suala la kuasisi serikali ya Lebanon.

  • Imarati yatumia dola milioni 50 kuzalisha filamu ya kuichafua Qatar

    Imarati yatumia dola milioni 50 kuzalisha filamu ya kuichafua Qatar

    Jun 24, 2021 02:50

    Umoja wa Falme za Kiarabu umekosolewa vikali kwa kutumia makumi ya mamilioni ya dola kuzalisha filamu ambayo inaisawiri jirani yake Qatar kama 'dola la kigaidi.'

  • Kuondoka na kurejea balozi wa Saudi Arabia nchini Qatar mwezi Juni

    Kuondoka na kurejea balozi wa Saudi Arabia nchini Qatar mwezi Juni

    Jun 23, 2021 21:41

    Mwezi Juni umedhihiri kuwa na nafasi maalumu katika uhusiano wa miaka ya hivi karibuni baina ya Saudi Arabia na Qatar. Mwezi Juni miaka minne iliyopita, Saudi Arabia ilikata uhusiano wake wote na Qatar na kuiwekea vikwazo vya pande zote nchi hiyo ndogo ya Kiarabu. sasa hivi na baada ya kupita miaka yote hiyo, Saudia imeamua kumrejesha Qatar balozi wake katika mwezi wa Juni.

  • Saudia yalegeza msimamo mkali na kurejesha balozi wake Doha, Qatar

    Saudia yalegeza msimamo mkali na kurejesha balozi wake Doha, Qatar

    Jun 21, 2021 23:50

    Utawala wa Saudi Arabia umelegeza misiammo yake mikali na hatimaye kuafiki kumrejesha balozi wake katika mji mkuu wa Qatar, Doha, baada ya miaka minne.

  • Qatar: Mazungumzo na Iran kwa ajili ya kuleta maelewano katika eneo ni kitu cha udharura

    Qatar: Mazungumzo na Iran kwa ajili ya kuleta maelewano katika eneo ni kitu cha udharura

    Jun 01, 2021 06:16

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar amesema kuwa Doha iko tayari kuchukua nafasi ya upatanishi baina ya madola makubwa ya eneo hili na kwamba mazungumzo na Iran kwa ajili ya kuleta maelewano katika eneo hili ni kitu cha dharura.

  • Safari ya pili ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudia nchini Qatar katika kipindi cha chini ya miezi miwili

    Safari ya pili ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudia nchini Qatar katika kipindi cha chini ya miezi miwili

    Apr 29, 2021 05:00

    Faisal bin Farhan bin Abdallah Al Saud, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudi Arabia alasiri ya Aprili 26 aliwasili Doha mji mkuu wa Qatar ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS