-
Jenerali Jaafari: Quds Tukufu Itakuwa kaburi la utawala bandia wa Kizayuni
Dec 09, 2017 23:26Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, lengo kuu la Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuubomoa Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds. Ameongeza kuwa: Mji wa Quds utakuwa kaburi la utawala bandia wa Kizayuni.
-
Njia za kukabiliana na misimamo ya kichokozi ya Donald Trump kuhusu Quds
Dec 09, 2017 23:24Mbali na katika kona mbalimbali za dunia, maandamano makubwa ya Wapalestina na fikra za walio wengi katika ulimwengu wa Kiislamu zinaendelea kumuandama rais wa Marekani, Donald Trump kutokana na chokochoko zake za kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa eti ni mji mkuu wa Israel.
-
Wajordan waandamana kumlaani Rais wa Marekani
Dec 09, 2017 11:51Wananchi wa Jordan pamoja na viongozi wa sekta mbalimbali akiwemo spika wa bunge la nchi hiyo wamefanya maandamano karibu na ubalozi wa Marekani mjini Amman kulaani hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump, ya kuitambua Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala ghasibu wa Kizayuni.
-
Balozi wa Iran UN: Hatua ya Marekani kuhusu Quds ni kuhalalisha uvamizi na ukaliaji wa mabavu
Dec 09, 2017 04:03Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema, kukaliwa kwa mabavu Palestina ndilo chimbuko la migogoro yote ya eneo la Mashariki ya Kati na kusisitiza kwamba hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kuitangaza Quds kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni ni kujaribu kuhalalisha ukaliaji wa mabavu.
-
Sheikh Mkuu wa Azhar afuta mkutano na Makamu wa Rais wa Marekani
Dec 09, 2017 03:59Imam Mkuu wa Msikiti wa al Azhar nchini Misri amefutilia mbali mkutano uliotazamiwa kufanyika hivi karibuni kati yake na Makamu wa Rais wa Marekani, Mike Pence, ikiwa ni radiamali kwa kitendo cha Rais Donald Trump wa Marekani kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Trump, Quds inayokaliwa kwa mabavu na sheria za kimataifa
Dec 09, 2017 03:32Tukiachilia mbali kujadili ni matokeo gani hasi na mabaya utakuwa nayo uamuzi aliochukua Donald Trump kuitangaza Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni, kuuhakiki uamuzi huo katika mtazamo wa sheria za kimataifa kuna umuhimu mkubwa.
-
Viongozi wa Kiislamu Kenya walaani hatua ya Trump dhidi ya Quds
Dec 08, 2017 23:24Viongozi wa Kiislamu nchini Kenya wamelaani uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuutangaza mji wa Baitul Muqaddas wa Palestina kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.
-
Mahojiano ya Salum Bendera na Sheikh Ali Ammar Mwazoa kuhusu uamuzi wa Trump kuhusiana na Quds + SAUTI
Dec 08, 2017 13:45Waislamu na wapenda haki kote ulimwenguni, jumuiya na asasi za kimataifa zimeendelea kupaza sauti kulalamikia na kuulaani uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kuitangaza Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala ghasibu wa Israe.
-
Wairani waandamana kulaani uamuzi wa Rais Trump kuhusu Baitul Muqaddas
Dec 08, 2017 11:29Maelfu ya wananchi wa Iran wameandamana leo baada ya Swala ya Ijumaa katika miji mbalimbali hapa nchini wakilalamikia na kulaani uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuutambua mji wa Baitul Muqaddas wa Palestina kama mji mkuu wa utawala vamizi wa Israel.
-
SEPAH: Hatua ya Trump ni fitina kubwa dhidi ya Umma wa Kiislamu
Dec 08, 2017 04:28Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) limelaani hatua ya Rais wa Marekani ya kuutambua rasmi mji wa Quds kuwa mji mkuu wa utawala wa kijahili wa Israel na kuitaja hatua hiyo kuwa fitina kubwa kwa Umma wa Kiislamu.