-
Kuwait yazifikishia Saudia na Bahrain ujumbe wa amani kutoka Iran
Nov 06, 2019 07:55Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Khaled al-Jarallah amesema nchi yake imezifikishia Saudi Arabia na Bahrain ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kutaka amani katika eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Rais Rouhani: Iran kuchukua hatua ya nne ya kupunguza uwajibikaji wake kwenye JCPOA
Nov 05, 2019 08:07Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaanza kutekeleza hatua ya nne ya kupunguza uwajibikaji wake kwenya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kuanzia kesho.
-
Rais Rouhani: Kupenda vita Marekani kumechochea moto wa ugaidi
Oct 25, 2019 14:29Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akihutubia mkutano wa viongozi wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote NAM, amesema kuwa siasa za upande mmoja za Marekani ndio sababu kuu ya kuibuka ugaidi katika maeneo tofauti ya dunia.
-
Rouhani: Juhudi za Marekani za kutaka Iran itengwe zimefeli
Oct 24, 2019 16:36Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Marekani imefeli katika jitihada zake za kutaka kutoa pigo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na kuifanya itengwe katika uga wa kimataifa.
-
Rouhani: Maadui wanadhani watausambaratisha Mfumo wa Kiislamu kwa kuhujumu JCPOA
Oct 24, 2019 02:49Rais Hassan Rouhani amewashangaa maadui wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanaodhani kuwa, kwa kuhujumu na kukiuka makubaliano ya nyuklia ya JCPOA watausambaratisha Mfumo wa Kiislamu hapa nchini.
-
Rouhani alishukuru taifa na serikali ya Iraq kwa kufanikisha Arubaini ya Imam Hussein (as)
Oct 20, 2019 12:30Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kwa Rais wa Waziri Mkuu wa Iraq akiwashukuru na kuwapongeza wananchi, maafisa, na maulama hususan marjaa na viongozi wa juu wa kidini kwa kudhamini usalama kamili na kuwakirimu Waislamu walioshiriki katika Arubaini ya Imam Husein (as).
-
Rais Rouhani: Iran imeendelea katika teknolojia na taaluma mbalimbali
Oct 16, 2019 12:24Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kubainisha kwamba nchi hii imeendelea katika elimu na taaluma tofauti amesema kuwa, licha ya matatizo ambayo yameikabili Iran katika kipindi cha miaka 40 iliyopita vikiwemo vita vya kulazimishwa na mashanikizo ya kiuchumi, lakini vyuo vikuu vimetekeleza vizuri majukumu yao.
-
Tehran ni mwenyeji wa mkutano wa Mawaziri wa Afya wa Nchi za Eneo la Mediterania Mashariki
Oct 16, 2019 07:23Hatua ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA ni fedheha kwa Marekani na fedheha kubwa zaidi kwa nchi hiyo ni kuwawekea watu wa Iran vikwazo vya dawa na chakula.
-
Rouhani: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni ugaidi wa kiuchumi
Oct 15, 2019 13:10Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, hatua ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA ni fedheha kwa Marekani na kuongeza kuwa: "Fedheha kubwa zaidi kwa Marekani ni kuwawekea watu wa Iran vikwazo vya dawa na chakula."
-
Rais Rouhani: Njama za Marekani za mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya taifa la Iran zimefeli
Oct 09, 2019 13:57Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, njama za Marekani za mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya taifa la Iran zimefeli na kwamba takwimu zote na moyo na utanashati wa taifa la Iran vinaonesha kuwa, kipindi cha mashinikizo ya kiwango cha juu kimeyoyoma.