-
Rouhani: Taifa la Iran litamshinda adui yeyote yule
May 04, 2019 08:15Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia njama za maadui dhidi ya Tehran na kusisitiza kuwa, taifa hili la Kiislamu litamshinda adui yeyote yule kwa mshikamano wake, kusimama kidete na kuwa na matumaini na mustakbali mwema.
-
Rouhani: Wamarekani hawawezi kuzuia uuzaji mafuta ya Iran
May 01, 2019 12:52Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua ya Marekani ya kutaka kuzuia mafuta ghafi ya petroli ya Iran yauzwe katika soko la kimataifa na kusema: "Marekani haiwezi kuizuia Iran kuuza mafuta na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itauza mafuta yake."
-
Rais Rouhani asaini sheria ya kuitambua CENTCOM ya Marekani kuwa kundi la kigaidi
May 01, 2019 03:11Rais Hassan Rouhani wa Iran amesaini kuwa sheria, muswada wa kuwatambua wanajeshi wote wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM) na vikosi vyote vinavyofungamana nao kuwa kundi la kigaidi.
-
Rouhani: Iran itaendelea kuuza mafuta licha ya mashinikizo ya Marekani
Apr 30, 2019 12:27Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu kamwe haitasimamisha uuzaji wa mafuta yake nje ya nchi licha ya mashinikizo na vikwazo vipya vya Marekani, na kusisitiza kuwa Tehran ina njia za kuuza mafuta yake.
-
Rouhani: Njama za Marekani dhidi ya Iran zitashindwa + Video
Apr 24, 2019 14:00Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Wamarekani katika kipindi cha miaka 40 sasa wamekuwa wakipanga njama kila siku dhidi ya taifa la Iran na katika muda huo wote wamekuwa wakishindwa."
-
Rouhani: Iran na Pakistan zimeamua kuunda kikosi cha pamoja cha radiamali ya haraka mpakani mwao
Apr 22, 2019 15:06Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran na Islamabad zimekubaliana kuunda kikosi cha pamoja cha radiamali ya haraka cha kupambana na ugaidi katika mpaka wao wa pamoja.
-
Rais wa Iran ampokea rasmi Waziri Mkuu wa Pakistan
Apr 22, 2019 07:13Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo asubuhi amempokea rasmi Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan katika Ikulu ya Saad Abad mjini Tehran.
-
Rouhani: Mafuriko ya Iran yamefichua 'hulka chafu' ya watawala wa Marekani
Apr 17, 2019 13:49Rais Hassan Rouhani ameashiria hatua ya Marekani ya kuzuia kutumwa misaada ya nchi nyingine kwa ajili ya wahanga wa mafuriko hapa nchini Iran, akisisitiza kuwa kitendo hicho kwa mara nyingine tena kimedhihirisha hulka chafu ya watawala wa Washington.
-
Rais Rouhani: Marekani imeitaja IRGC kuwa kundi la kigaidi ili kufidia kushindwa kwake
Apr 09, 2019 15:09Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limefanikiwa kung'oa mizizi ya ugaidi katika eneo na kuongeza kuwa: "Uistikbari wa kimataifa na Marekani wanalenga kufidia kushindwa katika makabiliano na taifa la Iran kwa kulitaja Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu eti ni kundi la kigaidi."
-
Rouhani: Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina na Golan haiwezi kutenganishwa na Syria
Apr 07, 2019 02:28Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina na miinuko ya Golan ni ardhi ya Syria isiyotenganishika na ardhi nyingine za nchi hiyo na kwamba hatua yoyote iliyo kinyume na hivyo ni kukanyaga maamuzi wa Umoja wa Mataifa na ni kinyume na uhakika wa kihistoria.