Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani: Iran itasonga mbele na ustawi wake licha ya vikwazo vyote inavyokabiliwa navyo

    Rais Rouhani: Iran itasonga mbele na ustawi wake licha ya vikwazo vyote inavyokabiliwa navyo

    Feb 19, 2019 03:56

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa la Iran limo katika njia ya kujitosheleza na kuongeza kwamba, licha ya kuandamwa na vikwazo vyote hivi, lakini taifa la Iran litasonga mbele katika njia yake ya ustawi na maendeleo.

  • Rouhani: Waislamu wanapaswa kuwa na umoja na mshikamano

    Rouhani: Waislamu wanapaswa kuwa na umoja na mshikamano

    Nov 29, -0001 20:34

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewahimzia Waislamu wote kuwa na umoja na mshikamano na kuwa na uhusiano wa kidugu na kirafiki kwa ajili ya kulinda usalama na amani yao.

  • Rouhani: Magaidi hawapaswi kuachiwa wajihisi wako salama katika kona yoyote ya dunia

    Rouhani: Magaidi hawapaswi kuachiwa wajihisi wako salama katika kona yoyote ya dunia

    Feb 15, 2019 08:04

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, lengo la pamoja la nchi za Iran, Russia na Uturuki katika kupambana vilivyo na ugaidi ni kurejesha usalama na utulivu nchini Syria na kuongeza kuwa, magaidi hawapaswi kuhisi wako salama katika kona yoyote ile ya dunia.

  • Rais Rouhani: Marekani na Uzayuni ndio chanzo kikuu cha ugaidi katika eneo

    Rais Rouhani: Marekani na Uzayuni ndio chanzo kikuu cha ugaidi katika eneo

    Feb 14, 2019 15:38

    Rais Hassan Rouhani amesema: Chanzo kikuu cha ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati ni Marekani na Uzayuni; na kwa masikitiko, baadhi ya nchi za eneo zenye utajiri wa mafuta nazo pia zinawafadhili kifedha magaidi.

  • Rais Rouhani: Njama za Marekani hazina taathira yoyote kwa azma ya wananchi wa Iran

    Rais Rouhani: Njama za Marekani hazina taathira yoyote kwa azma ya wananchi wa Iran

    Feb 14, 2019 08:16

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, njama za madola makubwa hususan Marekani, katu haziwezi kuwa na taathira yoyote kwa irada na azma thabiti ya wananchi wa Iran.

  • Rais Rouhani: Njama za Marekani hazina taathira yoyote kwa azma ya wananchi wa Iran

    Rais Rouhani: Njama za Marekani hazina taathira yoyote kwa azma ya wananchi wa Iran

    Feb 13, 2019 14:55

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, njama za madola makubwa hususan Marekani, katu haziwezi kuwa na taathira yoyote kwa irada na azma thabiti ya wananchi wa Iran.

  • Rais Rouhani: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitaomba ruhusa kwa mtu yeyote ya kuunda zana za ulinzi + Picha

    Rais Rouhani: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitaomba ruhusa kwa mtu yeyote ya kuunda zana za ulinzi + Picha

    Feb 11, 2019 14:24

    Rais Hassan Rouhani amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiombi na wala haitaomba ruhusa kwa mtu yeyote ya kuunda aina mbali mbali za makombora na zana za ulinzi; na itaendelea kufuata njia yake kwa nguvu na uwezo kamili.

  • Mfalme wa Oman atuma ujumbe wa pongezi kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Mfalme wa Oman atuma ujumbe wa pongezi kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 11, 2019 02:48

    Mfalme wa Oman Qaboos bin Said amemtumia ujumbe wa pongezi Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Rais Rouhani: Mahesabu ghalati ndio sababu ya kushindwa Marekani mkabala wa taifa la Iran

    Rais Rouhani: Mahesabu ghalati ndio sababu ya kushindwa Marekani mkabala wa taifa la Iran

    Feb 07, 2019 03:21

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mahesabu yasiyo sahihi ya Marekani ndio sababu ya kushindwa endelevu kwa nchi hiyo mbele ya taifa la Iran kipindi cha kabla na baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.

  • Rouhani: Maandamano ya Wairani tarehe 22 Bahman yatajibu njama za maadui

    Rouhani: Maandamano ya Wairani tarehe 22 Bahman yatajibu njama za maadui

    Feb 06, 2019 15:26

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mahudhurio makubwa ya wananchi wa Iran katika maandamano ya tarehe 22 Bahman (11 Februari) yatatoa jibu kali kwa njama zote za maadui.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS