-
Rais Rouhani: Zama za Marekani kuitawala Iran haziwezi kurejea
Feb 06, 2019 03:14Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani misimamo ya uhasama ya Marekani kwa Iran tangu ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu miaka 40 iliyopita, amesema zama za Washington kuishurutisha na kuitawala Iran zimekwisha na katu haziwezi kurejea.
-
Rais Rouhani asisitiza kustawishwa uhusiano wa Iran na nchi za Kiafrika
Feb 03, 2019 01:30Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kustawishwa uhusiano na kuweko ushirikiano wa karibu baina ya Tehran na nchi za Kiafrika zikiwemo Tunisia, Sierra Leone na Mali ni jambo la dharura.
-
Rais Rouhani: Wananchi wa Venezuela watasambaratisha njama mpya za Marekani
Feb 02, 2019 14:43Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wananchi wa Venezuela watasambaratisha njama mpya za Marekani kwa kudumisha umoja na kusimama kidete pamoja na serikali.
-
Rouhani: Mapinduzi ya Kiislamu yaliyashinda madola ya kibeberu kwa kusimama kidete wananchi
Jan 30, 2019 14:43Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa hayati Imam Ruhullah Khomeini ni mhuishaji mkubwa zaidi wa dini katika zama za sasa na ndiye mhandisi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambayo yalipata ushindi dhidi ya madola ya kibeberu kutokana na kusimama kidete kwa wananchi.
-
Rais Rouhani: Marekani inatiwa kiwewe na ustawi na maendeleo ya Iran
Jan 16, 2019 15:31Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wamarekani wameamua kuliwekea taifa la Iran vikwazo vikubwa mno kwa sababu wana kiwewe na maendeleo, ustawi na uwezo wa taifa hili la Kiislamu.
-
Rais Rouhani: Iran haiogopi vikwazo
Jan 15, 2019 13:58Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Iran haiogopi vikwazo na wala haitalegeza msimamo kuhusu malengo yake."
-
Rais Hassan Rouhani: Urushwaji wa satalaiti ya operesheni ya Iran kwenda anga za mbali utafanyika hivi karibuni
Jan 14, 2019 13:26Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa satalaiti ya Payam (ujumbe) na ambayo ni satalaiti ya kwanza ya operesheni itarushwa umbali wa kilomita 600 angani katika siku za hivi karibuni.
-
Rais Rouhani: Tunajifakharisha kwa makombora yetu ya kiulinzi na kielimu
Jan 10, 2019 16:03Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, makombora leo hii ni zana ya kujilinda Iran na taifa letu leo hii linajivunia na linaona fakhari kubwa kuwa na nguvu za kiulinzi za makombora.
-
Rais Rouhani: Wamarekani hawathubutu kujitokeza hadharani mbele ya wananchi wa mataifa ya eneo
Jan 02, 2019 15:17Rais Hassan Rouhani ameashiria safari ya siri aliyofanya rais Donald Trump wa Marekani nchini Iraq na kueleza kwamba: Wamarekani hawathubutu kujitokeza hadharani mbele ya wananchi wa Iraq, Syria, Lebanon na Yemen.
-
Rais wa Iran: Umoja wa Wapalestina ni njia pekee ya kuishinda Israel
Jan 02, 2019 07:33Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema njia pekee ya taifa madhulumu la Palestina kupata tena haki zake ni kuwa na umoja katika mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.