Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rouhani: Dunia imetambua rasmi haki za nyuklia za Iran

    Rouhani: Dunia imetambua rasmi haki za nyuklia za Iran

    Apr 07, 2016 03:44

    Rais Hassan Rouhani wa jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa walimwengu na jumuiya za kimataifa zimetambua rasmi haki za Iran katika uwanja wa nyuklia.

  • Kuahirishwa safari ya Rais wa Iran nchini Austria

    Kuahirishwa safari ya Rais wa Iran nchini Austria

    Mar 30, 2016 01:42

    Imeelezwa kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itafanyika katika muda muafaka kufuatia kufikiwa makubaliano kati ya pande mbili na ili kuwezesha kufanyika uratibu zaidi.

  • Hamu ya Austria ya kupanua uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Hamu ya Austria ya kupanua uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Mar 29, 2016 23:39

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatano ya kesho tarehe 30 Machi anatarajiwa kuelea Vienna Austria kujibu mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Heinz Fischer.

  • Rouhani na Putin: Wasyria watajiamulia mambo yao

    Rouhani na Putin: Wasyria watajiamulia mambo yao

    Mar 28, 2016 09:43

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo yake kwa njia ya simu na Rais Vladimir Putin wa Russia juu ya udharura wa wananchi wa Syria kuachiwa wajiamulie mambo yao wenyewe.

  • Rouhani: Makubaliano ya nyuklia ni tukio litakalokumbukwa katika historia ya Iran na Dunia

    Rouhani: Makubaliano ya nyuklia ni tukio litakalokumbukwa katika historia ya Iran na Dunia

    Mar 27, 2016 22:31

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya Iran na kundi la 5+1 ni tukio litakalosalia katika historia ya Iran na dunia.

  • Rais Rouhani: Serikali inalenga kuharakisha utekelezaji wa Uchumi wa Muqawama

    Rais Rouhani: Serikali inalenga kuharakisha utekelezaji wa Uchumi wa Muqawama

    Mar 27, 2016 10:04

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema azma ya serikali ni kuharakisha mwenendo wa utekelezaji Uchumi wa Muqawama.

  • Iran na Pakistan kuimarisha ushirikiano dhidi ya ugaidi

    Iran na Pakistan kuimarisha ushirikiano dhidi ya ugaidi

    Mar 26, 2016 03:37

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa kuimarishwa ushirikiano kati ya Tehran na Islamabad katika nyuga mbalimbali hususan katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Viongozi  wa Iran na Pakistan wakutana Islamabad

    Viongozi wa Iran na Pakistan wakutana Islamabad

    Mar 25, 2016 11:21

    Rais Hassan Rouhani wa Iran na Nawaz Shariff Waziri Mkuu wa Pakistan wamekutana na kufanya mazungumzo na kujadili uimarishwaji uhusiano wa pande mbili hasa wa kiuchumi, masuala ya kieneo na kimataifa.

  • Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi ya Brussels

    Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi ya Brussels

    Mar 23, 2016 02:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels na kusababisha vifo vya makumi ya watu.

  • Rais Rouhani asisitiza kutekelezwa sera za Uchumi wa Muqawama

    Rais Rouhani asisitiza kutekelezwa sera za Uchumi wa Muqawama

    Mar 21, 2016 23:07

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa serikali yake itatekeleza sera za Uchumi wa Muqawama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS