Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani amtumia Kiongozi Muadhamu salamu za mwaka mpya wa Hijria Shamsia

    Rais Rouhani amtumia Kiongozi Muadhamu salamu za mwaka mpya wa Hijria Shamsia

    Mar 21, 2016 11:47

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amempa mkono wa kheri na fanaka Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa kuwadia mwaka mpya wa 1395 Hijria Shamsia.

  • Rouhani: Uchumi wa Iran kustawi kwa 5%

    Rouhani: Uchumi wa Iran kustawi kwa 5%

    Mar 20, 2016 12:16

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema nchi hii inalenga kuwa na ustawi wa kiuchumi wa asilimia tano katika mwaka mpya wa Kiirani ulioanza Machi 20.

  • Rais Rouhani ampongeza Rais Museveni kwa kuchaguliwa

    Rais Rouhani ampongeza Rais Museveni kwa kuchaguliwa

    Mar 13, 2016 03:46

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amempongeza Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa kuchaguliwa tena hivi karibuni kuiongoza nchi hiyo.

  • Rouhani: Haram na matukufu ya Kiislamu ni mstari mwekundu kwa Iran

    Rouhani: Haram na matukufu ya Kiislamu ni mstari mwekundu kwa Iran

    Mar 12, 2016 11:54

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haitoruhusu makundi ya kigaidi kushambulia Haram na matukufu mengine ya Kiislamu nchini Iraq na Syria huku akisisitiza kuwa, maeneo matakatifu ya kidini ni mstari mwekundu wa taifa hili.

  • Rouhani: Uchaguzi wa Iran uliistaajabisha dunia

    Rouhani: Uchaguzi wa Iran uliistaajabisha dunia

    Mar 06, 2016 12:00

    Rais Hassan Rouhani amesema kwa mara nyingine tena kuwa wananchi wa Iran wamewastaajabisha walimwengu kutokana na namna walivyoshiriki kwa wingi katika uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wanazuoni Wataalamu uliofanyika hivi karibuni.

  • Rais Rouhani: Uchaguzi ni miongoni mwa mambo ya kujivunia Iran

    Rais Rouhani: Uchaguzi ni miongoni mwa mambo ya kujivunia Iran

    Feb 24, 2016 00:09

    Rais Hassan Rouhani amesema uchaguzi ni miongoni mwa mambo ya kujivunia kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rais Rouhani: Iran inalipa umuhimu suala la ushirikiano na nchi za Kiafrika

    Rais Rouhani: Iran inalipa umuhimu suala la ushirikiano na nchi za Kiafrika

    Feb 14, 2016 09:38

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran iinalipa umuhimu wa aina yake suala la ushirikiano na nchi za Kiafrika.

  • Rais Rouhani amlaki rasmi Rais Dramani Mahama wa Ghana

    Rais Rouhani amlaki rasmi Rais Dramani Mahama wa Ghana

    Feb 14, 2016 04:07

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemlaki na kumkaribisha rasmi Rais John Dramani Mahama wa Ghana katika jengo la kiutamaduni na kihistoria la Ikulu ya Sa'ad Abad mjini Tehran.

  • Iran, nchi inayowajibika katika Mashariki ya Kati

    Iran, nchi inayowajibika katika Mashariki ya Kati

    Feb 11, 2016 04:25

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa wananchi wa Iran daima wamekuwa wakitaka kuwa ya uhusiano mzuri na majirani na nchi zote duniani hususan baada ya kupata ushindi Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.

  • Rouhani: Matunda makubwa ya JCPOA ni kubatilisha propaganda chafu dhidi ya Iran

    Rouhani: Matunda makubwa ya JCPOA ni kubatilisha propaganda chafu dhidi ya Iran

    Feb 11, 2016 00:07

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kushindwa kwa mpango wa kueneza hofu kuhusu Iran kote ulimwenguni ndiyo matunda makubwa zaidi ya makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1 maarufuku kwa kifupi kama JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS