Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Takwa la Moscow na Damascus la kuondoka askari wa Marekani nchini Syria

    Takwa la Moscow na Damascus la kuondoka askari wa Marekani nchini Syria

    May 30, 2019 03:22

    Licha ya kutangazwa kwa mara ya kwanza na Rais Donald Trump wa Marekani habari ya kuondoka askari wa nchi yake kutoka Syria, hapo tarehe 19 Disemba mwaka jana, lakini hadi sasa Washington imeendelea kusisitizia kubakisha askari wake nchini humo.

  • China na Russia kususia mkutano wa Marekani dhidi ya Palestina, Bahrain

    China na Russia kususia mkutano wa Marekani dhidi ya Palestina, Bahrain

    May 29, 2019 03:30

    Serikali za China na Russia zimetangaza kuwa hazitashiriki mkutano wa Marekani wa kuzindua hatua ya mwanzo ya utekelezaji wa 'Muamala wa Karne' mwezi ujao wa Juni nchini Bahrain.

  • Russia kutuma wataalamu wa kijeshi nchini Kongo DR

    Russia kutuma wataalamu wa kijeshi nchini Kongo DR

    May 28, 2019 22:01

    Serikali ya Russia imetangaza kuwa imeazimia kutuma wataalamu wake wa kijeshi huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa ajili ya kuimarisha uwepo wake wa kijeshi barani Afrika.

  • Kuunga mkono Russia ubunifu wa Iran wa kupunguza hali ya taharuki Ghuba ya Uajemi

    Kuunga mkono Russia ubunifu wa Iran wa kupunguza hali ya taharuki Ghuba ya Uajemi

    May 28, 2019 07:00

    Ili kufikia malengo yake haramu katika eneo la Asia Magharibi na Ghuba ya Uajemi, Marekani daima imekuwa ikieneza chuki dhidi ya Iran yaani Iranophobia, na kwa njia hiyo imeibua hitilafu na mgogoro katika uhusiano wa Iran na majirani zake katika Ghuba ya Uajemi. Pamoja na hayo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ikisisitiza kuhusu ulazima wa kuwepo uthabiti katika Ghuba ya Uajemi na hata imewasilisha mpango mpya kuhusiana na hilo.

  • Mamufti Russia wawataka Waislamu duniani kuzuia mpango wa Marekani na Israel wa 'Muamala wa Karne'

    Mamufti Russia wawataka Waislamu duniani kuzuia mpango wa Marekani na Israel wa 'Muamala wa Karne'

    May 25, 2019 21:56

    Mkuu wa Baraza la Mamufti nchini Russia amewataka Waislamu duniani kuzuia utekelezwaji wa mpango wa Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel unaoitwa 'Muamala wa Karne' ambao kimsingi ni kulifanyia khiyana ya wazi taifa la Palestina.

  • Russia: Misimamo ya Moscow mkabala na Tehran haijabadilika

    Russia: Misimamo ya Moscow mkabala na Tehran haijabadilika

    May 24, 2019 23:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesisitiza kuwa misimamo ya nchi hiyo mkabala na Iran haijabadilika baada ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani kufanya ziara mjini Moscow.

  • Sisitizo la viongozi wa Russia, Ujerumani na Ufaransa la kulindwa mapatano ya JCPOA

    Sisitizo la viongozi wa Russia, Ujerumani na Ufaransa la kulindwa mapatano ya JCPOA

    May 22, 2019 05:18

    Mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la JCPOA yalifikiwa mwezi Julai 2015 mjini Vienna Austria baina ya Iran na kundi la 5+1 lililojumuisha nchi za Marekani, Uingereza, Ufaransa, Russia, China pamoja na Ujerumani na Umoja wa Ulaya. Mapatano hayo yalianza kutekelezwa mwezi Januari 2016.

  • Russia, Ujerumani na Ufaransa zasisitiza kuwa JCPOA lazima ilindwe

    Russia, Ujerumani na Ufaransa zasisitiza kuwa JCPOA lazima ilindwe

    May 22, 2019 03:46

    Viongozi wa Russia, Ujerumani na Ufaransa wamesisitizia haja ya kubakishwa hai na kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, huku wakibainisha kuwa nchi zao zinafanya kila linalowezekana kuimarisha uhusiano wao wa kibiashara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, licha ya Marekani kuchukua hatua ya upande mmoja ya kujiondoa kwenye mapatano hayo ya kimataifa.

  • Kutangazwa msimamo wa Russia wakati wa kukaribia uzinduzi tarajiwa wa mpango wa

    Kutangazwa msimamo wa Russia wakati wa kukaribia uzinduzi tarajiwa wa mpango wa "Muamala wa Karne"

    May 20, 2019 03:34

    Utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuzingatia himaya na uungaji mkono wa pande zote wa Rais Donald Trump wa Marekani umekuwa ukitekeleza mashinikizo ambayo hayajawahi kushudiwa dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina na kufanya mambo kinyume kabisa na sheria za kimataifa.

  • Erdogan: Uturuki kuunda na Russia mifumo ya makombora ya S-500

    Erdogan: Uturuki kuunda na Russia mifumo ya makombora ya S-500

    May 19, 2019 08:19

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema kuwa nchi yake na Russia kwa pamoja zitaunda mifumo ya makombora ya S-500 baada ya mpango wake wa awali wa kunununua mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Moscow kuzusha mivutano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS