Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Kikao cha Waziri wa Ulinzi wa Russia na Rais Bashar al-Assad wa Syria

    Kikao cha Waziri wa Ulinzi wa Russia na Rais Bashar al-Assad wa Syria

    Sep 13, 2017 23:23

    Jumanne iliyopita Sergey Shoygu, Waziri wa Ulinzi wa Russia alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Bashar al-Assad wa Syria.

  • Aslimia 85 ya ardhi ya Syria imekombolewa toka mikononi mwa magaidi

    Aslimia 85 ya ardhi ya Syria imekombolewa toka mikononi mwa magaidi

    Sep 12, 2017 22:02

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema jeshi la Syria limefanikiwa kukomboa asilimia 85 ya ardhi yake iliyokuwa ikidhibitiwa na magenge ya kigaidi.

  • Makumi ya magaidi wa Daesh waangamizwa Deir ez Zor Syria

    Makumi ya magaidi wa Daesh waangamizwa Deir ez Zor Syria

    Sep 08, 2017 14:23

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa makumi ya magaidi ya kundi la Daesh wameuawa katika shambulio la ndege za kivita za nchi hiyo katika eneo la Deir ez Zor mashariki mwa Syria.

  • Onyo la Putin kuhusu hatari ya kugeuka mgogoro wa Korea kuwa janga la kimataifa

    Onyo la Putin kuhusu hatari ya kugeuka mgogoro wa Korea kuwa janga la kimataifa

    Sep 08, 2017 01:57

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameonya kuwa, kuendelea mgogoro wa hivi sasa uliojitokeza baada ya majaribio ya makombora na bomu la nyuklia ya Korea Kaskazini kunaweza kuleta maafa makubwa kwa dunia nzima.

  • Putin: Vikwazo vipya dhidi ya Korea Kaskazini havitakuwa na taathira yoyote

    Putin: Vikwazo vipya dhidi ya Korea Kaskazini havitakuwa na taathira yoyote

    Sep 05, 2017 09:45

    Rais wa Russia Vladimir Putin ametahadharisha kuhusu kuibuka mgogoro mkubwa wa kimataifa iwapo kadhia ya Peninsula ya Korea haitasuluhishwa kwa njia ya kidiplomasia.

  • Russia yaapa kujibu vikali uadui wa Marekani

    Russia yaapa kujibu vikali uadui wa Marekani

    Sep 01, 2017 21:56

    Waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergei Lavrov amesema kuwa, nchi hiyo itajibu vikali hatua za kiuadui za Marekani zinazoilenga Russia.

  • Iran na Russia zajadili usalama wa Bahari ya Caspian

    Iran na Russia zajadili usalama wa Bahari ya Caspian

    Aug 27, 2017 03:17

    Maafisa wa ngazi za juu wa vikosi vya baharini vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu njia za kuimarisha zaidi usalama katika Bahari ya Caspian.

  • Radiamali kali ya Russia juu ya ongezeko la kuwepo kijeshi Marekani nchini Ukraine

    Radiamali kali ya Russia juu ya ongezeko la kuwepo kijeshi Marekani nchini Ukraine

    Aug 26, 2017 06:37

    Igor Morozev, afisa wa ngazi ya juu katika bunge la Russia ameonya kwamba, nchi yake itachukua hatua maalumu ikiwemo kuimarisha mipaka yake, ikiwa Marekani itapanua uwepo wake kijeshi nchini Ukraine.

  • Russia: Ugaidi ni hatari kwa dunia nzima

    Russia: Ugaidi ni hatari kwa dunia nzima

    Aug 25, 2017 09:14

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa, hatari ya ugaidi nchini Syria ni tishio kwa ulimwengu mzima na kuongeza kwamba, hali ya sasa haihusiani na nchi hiyo ya Kiarabu pekee, bali inajumuisha dunia nzima.

  • Russia: Stratejia mpya ya US nchini Afghanistan, hatima isiyo na tija

    Russia: Stratejia mpya ya US nchini Afghanistan, hatima isiyo na tija

    Aug 24, 2017 09:49

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema stratejia mpya ya kijeshi ya Washington kuhusiana na Afghanistan itagonga mwamba kwa kuwa inasisitizia utumiaji wa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS