Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yazikosoa vikali Marekani na Uingereza kwa kuwapa magaidi silaha za kemikali huko Syria

    Russia yazikosoa vikali Marekani na Uingereza kwa kuwapa magaidi silaha za kemikali huko Syria

    Aug 17, 2017 03:09

    Russia imetangaza kuwa Marekani na Uingereza zinakiuka sheria za kimataifa kwa kuwapatia silaha za kemikali magaidi huko Syria.

  • Russia: Kampeni ya US huko Afghanistan imefeli, iondoe askari wake

    Russia: Kampeni ya US huko Afghanistan imefeli, iondoe askari wake

    Aug 15, 2017 02:43

    Mjumbe maalumu wa Rais wa Russia nchini Afghanistan amesema kampeni na uwepo wa vikosi vya Marekani nchini Afghanistan haujawa na tija yeyote hadi sasa na kwa msingi huo Washington inafaa kuwaondoa wanajeshi wake nchini humo mara moja.

  • Indhari ya Ujerumani na Russia kuhusu hatari ya kutokea vita kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Indhari ya Ujerumani na Russia kuhusu hatari ya kutokea vita kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Aug 12, 2017 09:02

    Kuongezeka mivutano na kutoleana kauli za vitisho viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini kumeitia wasiwasi mkubwa jamii ya kimataifa juu ya uwezekano wa kutokea vita katika eneo la Mashariki mwa Asia.

  • Nchi za Ulaya zaendelea kupinga vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia

    Nchi za Ulaya zaendelea kupinga vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia

    Aug 10, 2017 23:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Sigmar Gabriel amesema kuhusu vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia kwamba, hatua mpya za Marekani za kutaka kuibana zaidi Russia zinaweza kusababisha matatizo katika umoja wa nchi za Magharibi kuhusu mgogoro wa Ukraine.

  • Russia yatishia kuishambulia Israel iwapo itavunja makubaliano ya kusitisha vita Syria

    Russia yatishia kuishambulia Israel iwapo itavunja makubaliano ya kusitisha vita Syria

    Aug 07, 2017 22:33

    Naibu kamanda wa vikosi vya jeshi la Russia huko kusini mwa Syria ameutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba, uwapo utakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano kusini mwa Syria, Moscow inajua nini inapaswa kufanya.

  • Kutekelezwa vikwazo mpya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Kutekelezwa vikwazo mpya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Aug 06, 2017 23:14

    Umoja wa Ulaya umeanza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Russia kuhusiana na mzozo wa peninsula ya Crimea.

  • Medvedev: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia ni tangazo la vita

    Medvedev: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia ni tangazo la vita

    Aug 03, 2017 23:29

    Waziri Mkuu wa Russia amesema kuwa, vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya nchi hiyo ni sawa na kutangaza vita vya pande zote dhidi ya nchi yake.

  • Trump asaini mswada wa vikwazo dhidi ya Iran, Russia na Korea Kaskazini

    Trump asaini mswada wa vikwazo dhidi ya Iran, Russia na Korea Kaskazini

    Aug 02, 2017 22:04

    Rais Donald Trump wa Marekani amesaini kuwa sheria mpango wa vikwazo uliopitishwa na Bunge la Wawakilishi na Seneti ya nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Korea Kaskazini.

  • Warusi wengi wana mtazamo chanya kuhusu Waislamu

    Warusi wengi wana mtazamo chanya kuhusu Waislamu

    Aug 02, 2017 22:04

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa nchini Russia yameonyesha kuwa raia wengi wa nchi hiyo wana mtazamo chanya kuhusu Waislamu.

  • Iran na Russia kuendelea kushirikiana kuhusu mgogoro wa Syria

    Iran na Russia kuendelea kushirikiana kuhusu mgogoro wa Syria

    Aug 02, 2017 03:42

    Wanadiplomasia wa ngazi za juu wa Iran na Russia wamesisitizia udharura wa kuendelezwa mazungumzo ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria, sambamba na kupambana na magenge ya kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS