-
Putin akariri umuhimu wa Iran katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria
May 31, 2017 22:49Kwa mara nyingine tena Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza juu ya umuhimu na nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria.
-
Rouhani: Iran kuendeleza ushirikiano wa pande tatu na Russia, Syria
May 27, 2017 09:03Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendeleza ushirikiano na Russia katika kuimarisha amani, uthabiti na mapambano dhidi ya ugaidi hasa nchini Syria.
-
Shamkhani: Baadhi ya nchi zimeligeuza eneo la Mashariki ya Kati ghala la silaha za Magharibi
May 23, 2017 11:25Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema, baadhi ya nchi za eneo zinazofadhili na kuunga mkono ugaidi zinatumia mapato yao ya mafuta kuigeuza Mashariki ya Kati ghala la silaha za Magharibi na kushamirisha machafuko na vitendo vya ukatili.
-
Putin: Rais Donald Trump wa Marekani hakumpa Lavrov taarifa zozote za siri
May 17, 2017 23:57Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani hakumpa taarifa zozote za siri Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi yake, Sargey Lavrov.
-
Balaklanev: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kigezo cha demokrasia Mashariki ya Kati
May 17, 2017 03:11Mkuu wa jamii ya Waislamu wa Kishia nchini Russia amesisitiza kuwa, Iran ndiyo nchi yenye mfumo wa kidemokrasia zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kigezo kilichofanikiwa cha utawala wa wananchi katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
Kuhani mmoja Mzayuni atimuliwa Russia
May 17, 2017 03:00Idara ya Mahakama ya Russia imemfukuza nchini humo kuhani mmoja Mzayuni aliyekuwa akifanya harakati za siri na kuendesha kituo maalumu cha misaada bila ya idhini ya nchi hiyo.
-
Mogherini: EU na Russia zina msimamo mmoja kuhusu JCPOA
May 15, 2017 03:26Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema EU na Russia zina msimamo mmoja katika kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Putin: Uhusiano na Palestina ni muhimu kwa Russia
May 11, 2017 22:41Rais Vladimir Putin wa Russia ameonana na Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na kusema kuwa, nchi yake inalipa umuhimu suala la kuimarisha uhusiano wake na Palestina.
-
Ukosoaji mkali wa Moscow kuhusiana na siasa za uhasama za Marekani dhidi ya Russia
May 07, 2017 08:03Igor Konashenkov, Msemaji wa Wiara ya Ulinzi ya Russia amekosoa siasa za vita za kila siku zinazotekelezwa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon.)
-
China na Russia: Mgogoro wa Peninsula ya Korea, utatatuliwa kidiplomasia mbali na vita
May 01, 2017 23:56Balozi wa Russia nchini China amesema kuwa, mgogoro wa nyuklia wa Peninsula ya Korea, utatatuliwa kwa njia za kidiplomasia mbali na nguvu za kijeshi.