Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Indhari ya Antonio Guterres kuhusu kubadilika vita vya Ukraine na kuwa vita vya dunia

    Indhari ya Antonio Guterres kuhusu kubadilika vita vya Ukraine na kuwa vita vya dunia

    Feb 07, 2023 23:47

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, hatua zozote za kuchochea mgogoro wa Russia na Ukraine huenda zikaitumbukiza dunia katika vita vipana na vikubwa zaidi.

  • Katibu Mkuu wa UN: Dunia inaelekea katika vita vikubwa zaidi

    Katibu Mkuu wa UN: Dunia inaelekea katika vita vikubwa zaidi

    Feb 07, 2023 02:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, hatua zozote za kuchochea mgogoro wa Russia na Ukraine huenda zikaitumbukiza dunia katika vita vipana na vikubwa zaidi.

  • Russia: Tutatumia silaha zozote iwapo Ukraine itaishambulia Crimea

    Russia: Tutatumia silaha zozote iwapo Ukraine itaishambulia Crimea

    Feb 05, 2023 06:54

    Russia imetoa onyo kali na kusisitiza kuwa, shambulio lolote la Ukraine dhidi ya eneo la Crimea litaiepelekea Moscow kutumia 'silaha za aina yoyote' kujibu mapigo na kujilinda.

  • Palestina yafichua: Ulaya inatushinikiza tuchukue msimamo wa kuilaani Russia

    Palestina yafichua: Ulaya inatushinikiza tuchukue msimamo wa kuilaani Russia

    Feb 03, 2023 22:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amefichua kuwa Ulaya inaishinikiza Palestina ichukue msimamo wa kuilaani Russia sambamba na kueleza kwamba amepokea mwaliko kutoka kwa mwenzake wa Russia wa kuzuru Moscow.

  • Onyo la Russia kwa Netanyahu kuhusu msaada wa silaha kwa Ukraine

    Onyo la Russia kwa Netanyahu kuhusu msaada wa silaha kwa Ukraine

    Feb 03, 2023 22:44

    Russia imeuonya vikali utawala haramu wa Israel baada ya Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kutangaza Jumatano usiku kwamba anachunguza suala la kutuma msaada wa kijeshi wa utawala huo nchini Ukraine.

  • UN imetaka kufanyika uchunguzi kuhusu uwezekano wa kuhusika Wagner katika uhalifu wa kivita huko Mali

    UN imetaka kufanyika uchunguzi kuhusu uwezekano wa kuhusika Wagner katika uhalifu wa kivita huko Mali

    Feb 01, 2023 08:44

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wametaka kufanyike uchunguzi huru ili kubaini iwapo vikosi vya serikali na mkandarasi wa jeshi la kujitegemea la Russia kwa jina la "kundi la wanamgambo wa Wagner" vimehusika na uhalifu wa kivita na dhidi ya binadamu nchini Mali.

  • Ujerumani yakosolewa kwa ujumbe wa Twitter wa kuidhalilisha Afrika

    Ujerumani yakosolewa kwa ujumbe wa Twitter wa kuidhalilisha Afrika

    Jan 29, 2023 09:09

    Viongozi na watumiaji mitandao ya kijamii katika nchi za Afrika wameijia juu Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani kwa kuchapisha ujumbe wa dharau na kulidhalilisha bara hilo.

  • Ziara ya kiduru ya Lavrov katika nchi za Afrika; jitihada za Russia za kuzidisha satwa yake barani Afrika

    Ziara ya kiduru ya Lavrov katika nchi za Afrika; jitihada za Russia za kuzidisha satwa yake barani Afrika

    Jan 28, 2023 08:50

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Jumatatu tarehe 23 mwezi huu alianza safari ya kiduru kwa kuzitembelea nchi kadhaa za Kiafrika na hadi sasa amefanya safari huko Afrika Kusini, Eswatini, Angola na Eritrea.

  • Uungaji mkono wa Marekani kwa mashambulizi ya Ukraine dhidi ya Crimea; jitihada za kujaribu kuchochea vita

    Uungaji mkono wa Marekani kwa mashambulizi ya Ukraine dhidi ya Crimea; jitihada za kujaribu kuchochea vita

    Jan 21, 2023 22:54

    Sabrina Singh, Naibu Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) ameeleza kuwa, eti Marekani inakitambua kisiwa cha Crimea kuwa sehemu ya ardhi ya Ukraine na kwamba inaunga mkono oparesheni za Kyiv za kukikomboa kisiwa hicho.

  • Lavrov: NATO iko vitani na Russia kupitia Ukraine

    Lavrov: NATO iko vitani na Russia kupitia Ukraine

    Jan 20, 2023 09:01

    Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa muungano wa kijeshi wa NATO uko vitani na nchi hiyo kupitia Ukraine. Ameongeza kuwa: "Kinachotokea Ukraine ni matokeo ya maandalizi ya Marekani ya vita vya mseto dhidi ya Russia." Ameisitiza kuwa Umoja wa Ulaya umepoteza uhuru wake na sasa uko chini ya satwa ya Marekani moja kwa moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS