Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia na Marekani

  • Russia na China: Demokrasia ya Kimarekani itashadidisha makabiliano ya kiidiolojia

    Russia na China: Demokrasia ya Kimarekani itashadidisha makabiliano ya kiidiolojia

    Nov 27, 2021 12:32

    Mabalozi wa Russia na China nchini Marekani wamesema, kufanyika kongamano la demokrasia nchini humo kutashadidisha makabiliano ya kiidiolojia duniani.

  • Uturuki: Tuna haki kama zilivyo Russia na Marekani ya kuwepo kijeshi nchini Syria

    Uturuki: Tuna haki kama zilivyo Russia na Marekani ya kuwepo kijeshi nchini Syria

    Oct 02, 2021 12:22

    Msemaji wa rais wa Uturuki amedai kuwa, nchi hiyo, kama zilivyo Russia na Marekani, ina haki ya kuwepo kijeshi katika ardhi ya Syria.

  • Russia: Kujiondoa Marekani JCPOA kunaonesha haiwezi kutekeleza mapatano

    Russia: Kujiondoa Marekani JCPOA kunaonesha haiwezi kutekeleza mapatano

    Mar 22, 2021 11:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kitendo cha Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kwa kifupi kama JCPOA kinaashiria namna Washington haiwezi kuheshimu wala kutekeleza mapatano na mikataba ya kimataifa inayoyafunga.

  • Russia: Marekani inapasa kuomba radhi kwa kumtukana Putin

    Russia: Marekani inapasa kuomba radhi kwa kumtukana Putin

    Mar 19, 2021 02:35

    Naibu Mkuu wa Baraza la Shirikisho (Bunge la Seneti la Russia) ametangaza kuwa, Marekani inapaswa kuomba radhi kwa hatua yake ya kumtukana Rais Vladimir Putin wa Russia.

  • Russia: Marekani haina haki ya kuwafunza wengine akhlaqi

    Russia: Marekani haina haki ya kuwafunza wengine akhlaqi

    Mar 03, 2021 08:06

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amekosa vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya nchi hiyo na kueleza kuwa, Marekani haina haki na haistahili kutoa darsa ya akhlaqi kwa nchi nyingine kutokana na hatua yake ya kujitoa kwa upande mmoja katika mikataba na makubaliano mbalimbali ya kimataifa yanayohusu kudhibiti na kupiga marufuku uenezaji wa silaha za maangamizi duniani.

  • Moscow: Marekani na Ulaya zikome kuingia masuala ya ndani ya Russia

    Moscow: Marekani na Ulaya zikome kuingia masuala ya ndani ya Russia

    Feb 18, 2021 07:08

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia imetangaza kuwa misimamo ya maafisa wa nchi za Magharibi kuhusiana na takwa la kuachiwa huru mpinzani wa serikali ya Moscow anayeshikiwa na vyombo vya dola ni kielelezo cha uingiliaji kati katika masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Putin: Mfumo wa dunia unabadilika, Marekani nayo itasombwa na mabadiliko hayo

    Putin: Mfumo wa dunia unabadilika, Marekani nayo itasombwa na mabadiliko hayo

    Oct 23, 2020 11:00

    Rais wa Russia amesema kuwa udhibiti wa madola makubwa duniani umefikia kikomo na kwamba Moscow itajibu hatua yoyote ile ya kihasa na serikali ya Washington.

  • Makubaliano ya awali baina ya Russia na Marekani ya kuendeleza mkataba wa New START

    Makubaliano ya awali baina ya Russia na Marekani ya kuendeleza mkataba wa New START

    Oct 10, 2020 09:30

    Baada ya Donald Trump kushika madaraka ya nchi huko Marekani mwaka 2017, nchi hiyo ilianza kujiondoa katika makubaliano ya kudhibiti silaha. Kwa sasa mkataba pekee uliobakia wa New START pia unakabiliwa na hatari ya kusambaratika.

  • Russia yatahadharisha kuhusu hatua mbaya za Marekani huko Syria

    Russia yatahadharisha kuhusu hatua mbaya za Marekani huko Syria

    Oct 06, 2020 07:26

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia ametahadharisha kuhusu maafa ya mienendo ya Marekani na Wakurdi wa Syria na kusisitiza ulazima wa kuzuia hatua yoyote inayotaka kuigawa ardhi ya nchi hiyo.

  • Putin: Kujiondoa Marekani katika mkataba wa makombora kumeilazimisha Moscow kuunda makombora ya hypersonic

    Putin: Kujiondoa Marekani katika mkataba wa makombora kumeilazimisha Moscow kuunda makombora ya hypersonic

    Sep 20, 2020 02:40

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa hatua ya Marekani ya kujiondoa katika mkataba wa makombora hapo mwaka 2002 iliilazimisha Moscow kuanza mchakato wa kustawisha silaha zenye kasi kubwa kuliko sauti, (hypersonic missile).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS