Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • SAUTI, Serikali ya Rwanda yapiga marufuku safari zote za ndege kuanzie kesho Ijumaa, kuzuia maambukizi ya Corona

    SAUTI, Serikali ya Rwanda yapiga marufuku safari zote za ndege kuanzie kesho Ijumaa, kuzuia maambukizi ya Corona

    Mar 19, 2020 16:41

    Serikali ya Rwanda imepiga marufuku ya siku 30 kwa safari zote za ndege zinazoingia au kutoka nchini humo katika juhuzi za kukabiliana na virusi vya Corona.

  • Corona yaingia Rwanda, virusi hivyo vyasababisha shule kufungwa Kenya

    Corona yaingia Rwanda, virusi hivyo vyasababisha shule kufungwa Kenya

    Mar 15, 2020 15:44

    Serikali ya Rwanda imethibitisha kuwa na mgonjwa mmoja aliyeambukizwa virusi vya Corona, huku ugonjwa huo ukiendelea kuenea kwa kasi katika nchi za Afrika na kote duniani kwa ujumla.

  • Uganda yamkamata jenerali wa zamani wa jeshi kwa tuhuma za kutaka kumpindua Museveni

    Uganda yamkamata jenerali wa zamani wa jeshi kwa tuhuma za kutaka kumpindua Museveni

    Mar 13, 2020 12:49

    Jeshi la Polisi Uganda limetangaza leo Ijumaa habari ya kumtia mbaroni jenerali wa zamani wa jeshi la nchi hiyo kwa madai ya kuomba msaada na uungaji mkono wa Rwanda ili kumuondoa madarakani Rais Yoweri Museveni wa nchi hiyo.

  • Rwanda yasitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda

    Rwanda yasitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda

    Feb 20, 2020 12:16

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Rwanda imetangaza kuwa, nchi hiyo imesitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda waliokamatwa nchini humo.

  • Kagame: Siwezi kuwavumilia wezi na watu wasio na nidhamu serikalini + Sauti

    Kagame: Siwezi kuwavumilia wezi na watu wasio na nidhamu serikalini + Sauti

    Feb 18, 2020 11:13

    Wiki moja baada ya kuwafuta kazi mawaziri wake watatu, Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema kwa mara nyingine tena kwamba hatavumilia hata kidogo viongozi wasio na nidhamu katika serikali yake. Ndani ya wiki moja tu Rais Paul Kagame amewafuta mawaziri watatu kutokana na makosa ya ulaji rushwa, udanganyifu pamoja na ukosefu wa nidhamu mbele ya wananchi. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi

  • Jeshi la DRC laikabidhi Rwanda waasi 71 wa Kihutu

    Jeshi la DRC laikabidhi Rwanda waasi 71 wa Kihutu

    Dec 22, 2019 14:07

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeikabidhi Rwanda mamia ya Wanyarwanda wanaohusishwa na kundi moja la waasi la Rwanda linaloendesha harakati zake mashariki mwa DRC.

  • SAUTI, Mkatasa wa kukwama mazungumzo kati ya Rwanda na Uganda, licha ya nchi kadhaa kujitahidi kufanya upatanishi

    SAUTI, Mkatasa wa kukwama mazungumzo kati ya Rwanda na Uganda, licha ya nchi kadhaa kujitahidi kufanya upatanishi

    Dec 14, 2019 16:34

    Mazungumzo kati ya wajumbe wa Rwanda na Uganda yaliyofanyika jana Ijumaa nchini Uganda yalimalizika bila kufikiwa natija iliyokuwa ikitarajiwa.

  • Mazungumzo ya Uganda na Rwanda yagonga mwamba

    Mazungumzo ya Uganda na Rwanda yagonga mwamba

    Dec 14, 2019 08:08

    Mkutano wa wajumbe wa Rwanda na Uganda uliofanyika jana Ijumaa jijini Kampala haujakuwa na tija.

  • Rwanda: Tunafuatilia kadhia ya kukamatwa mamia ya raia wetu Uganda

    Rwanda: Tunafuatilia kadhia ya kukamatwa mamia ya raia wetu Uganda

    Nov 26, 2019 14:55

    Balozi wa Rwanda jijini Kampala amesema wanafuatilia kwa karibu habari ya kukamatwa mamia ya Wanyarwanda na maafisa usalama wa Uganda, katika mji wa Kisoro, magharibi mwa Uganda.

  • Burundi: Waasi wa Rwanda ndio wamewaua askari wetu 8 na kuwajeruhi wengine

    Burundi: Waasi wa Rwanda ndio wamewaua askari wetu 8 na kuwajeruhi wengine

    Nov 19, 2019 16:26

    Wizara ya Ulinzi pamoja na duru za kijeshi za Burundi zimetangaza kwamba askari wanane wa nchi hiyo wameuawa katika shambulio lililotokea karibu na mpaka wa Rwanda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS