-
Madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia dhidi ya Iran
Feb 20, 2016 09:56Akizungumza kwenye mahojiano na kanali ya CNN katika kuhalalisha hatua zake za kisiasa katika eneo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia ameituhumu Iran kuwa inatekeleza siasa za kuibua malumbano ya kimadhehebu katika eneo.
-
Kuendelea mashambulio ya Saudia nchini Yemen
Feb 20, 2016 02:29Ndege za kivita za jeshi la Saudi Arabia, kwa mara nyingine tena zimefanya mashambulizi ya kikatili katika mji mkuu wa Yemen San'a na kuua kwa umati raia wa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Assad: Azma ya Saudia na Uturuki kuivamia Syria ilianza miaka 2 iliyopita
Feb 16, 2016 04:18Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema mpango wa Saudi Arabia na Uturuki kutaka kuingia kijeshi nchini Syria ulianza miaka miwili iliyopita.
-
Saudi Arabia yasisitiza kuondolewa haraka Yemen misaada ya kimataifa
Feb 14, 2016 09:53Saudi Arabia imewataka wafanyakazi wa huduma za misaada ya kimataifa kuondoka haraka iwezekakavyo huko Yemen lengo likiwa ni kuzidisha mgogoro wa kibinadamu nchini humo.
-
Wanajeshi Wayemen waua askari 20 Wasaudia Jizan
Feb 12, 2016 12:23Askari wasiopungua 20 wa Saudi Arabia wameuawa katika katika eneo la Jizan kusini magharibi mwa ufalme huo katika mapigano na wanajeshi wa Yemen.
-
Kushindwa chokochoko za Saudi Arabia katika eneo la Mashariki ya Kati
Feb 08, 2016 23:00Ukiritimba na chokochoko za Saudi Arabia ndani ya kipindi cha mwaka mmoja uliopita katika eneo la Mashariki ya Kati vimeusababishia utawala wa kifalme wa familia ya Aal Saud matatizo makubwa yasiyo na kifani.
-
Kuendelea mashambulizi dhidi ya Yemen na uwezekano mdogo wa kufanyika mazungumzo ya amani
Feb 05, 2016 03:41Huku mapigano katika maeneo tofauti ya Yemen yakipamba moto, Saudi Arabia imeendelea kukwamisha juhudi za kidiplomasia za kuutatua kisiasa mgogoro huo, suala ambalo limewafanya wanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa kusema kuwa, ni jambo lililo mbali kufikiria kufanyika mazungumzo hayo katika siku za hivi karibuni.
-
Saudia yakosolewa kwa kuipa barabara jina la al-Baghdadi wa Daesh
Feb 03, 2016 04:09Wananchi wa Saudi Arabia hususan katika mitandao ya kijamii wamekosoa hatua ya ukoo wa Aal-Saud ya kuipa barabara moja mjini Riyadh jina la kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, Abu Bakr al-Baghdadi.
-
Zarif: Saudia haina budi kuacha sera zake za kiuhasama
Feb 02, 2016 23:49Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ameitaka Saudi Arabia kuacha sera zake za kiuhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Saudia yakiri kukwama vitani Yemen
Feb 02, 2016 04:29Saudi Arabia imekiri kukwama katika vita vyake dhidi ya Yemen na kusema vita hivyo havina mshindi hata baada ya ndege zake za kivita kudondosha mabomu katika nchi hiyo masikini zaidi ya Kiarabu kwa muda wa takribani mwaka mmoja.