Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Saudi Arabia yasisitiza kuondolewa haraka Yemen  misaada ya kimataifa

    Saudi Arabia yasisitiza kuondolewa haraka Yemen misaada ya kimataifa

    Feb 14, 2016 09:53

    Saudi Arabia imewataka wafanyakazi wa huduma za misaada ya kimataifa kuondoka haraka iwezekakavyo huko Yemen lengo likiwa ni kuzidisha mgogoro wa kibinadamu nchini humo.

  • Wanajeshi Wayemen waua askari 20 Wasaudia Jizan

    Wanajeshi Wayemen waua askari 20 Wasaudia Jizan

    Feb 12, 2016 12:23

    Askari wasiopungua 20 wa Saudi Arabia wameuawa katika katika eneo la Jizan kusini magharibi mwa ufalme huo katika mapigano na wanajeshi wa Yemen.

  • Kushindwa chokochoko za Saudi Arabia katika eneo la Mashariki ya Kati

    Kushindwa chokochoko za Saudi Arabia katika eneo la Mashariki ya Kati

    Feb 08, 2016 23:00

    Ukiritimba na chokochoko za Saudi Arabia ndani ya kipindi cha mwaka mmoja uliopita katika eneo la Mashariki ya Kati vimeusababishia utawala wa kifalme wa familia ya Aal Saud matatizo makubwa yasiyo na kifani.

  • Kuendelea mashambulizi dhidi ya Yemen na uwezekano mdogo wa kufanyika mazungumzo ya amani

    Kuendelea mashambulizi dhidi ya Yemen na uwezekano mdogo wa kufanyika mazungumzo ya amani

    Feb 05, 2016 03:41

    Huku mapigano katika maeneo tofauti ya Yemen yakipamba moto, Saudi Arabia imeendelea kukwamisha juhudi za kidiplomasia za kuutatua kisiasa mgogoro huo, suala ambalo limewafanya wanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa kusema kuwa, ni jambo lililo mbali kufikiria kufanyika mazungumzo hayo katika siku za hivi karibuni.

  • Saudia yakosolewa kwa kuipa barabara jina la al-Baghdadi wa Daesh

    Saudia yakosolewa kwa kuipa barabara jina la al-Baghdadi wa Daesh

    Feb 03, 2016 04:09

    Wananchi wa Saudi Arabia hususan katika mitandao ya kijamii wamekosoa hatua ya ukoo wa Aal-Saud ya kuipa barabara moja mjini Riyadh jina la kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, Abu Bakr al-Baghdadi.

  • Zarif: Saudia haina budi kuacha sera zake za kiuhasama

    Zarif: Saudia haina budi kuacha sera zake za kiuhasama

    Feb 02, 2016 23:49

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ameitaka Saudi Arabia kuacha sera zake za kiuhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Saudia yakiri kukwama vitani Yemen

    Saudia yakiri kukwama vitani Yemen

    Feb 02, 2016 04:29

    Saudi Arabia imekiri kukwama katika vita vyake dhidi ya Yemen na kusema vita hivyo havina mshindi hata baada ya ndege zake za kivita kudondosha mabomu katika nchi hiyo masikini zaidi ya Kiarabu kwa muda wa takribani mwaka mmoja.

  • Wanajeshi na mamluki wa Saudi Arabia waendelea kuangamizwa nchini Yemen

    Wanajeshi na mamluki wa Saudi Arabia waendelea kuangamizwa nchini Yemen

    Jan 31, 2016 23:25

    Wanajeshi zaidi ya 200 wa Saudia wameuawa na magari na zana za kijeshi za nchi hiyo kuharibiwa vibaya katika shambulio lililofanywa na jeshi la Yemen katika kituo cha anga cha al Anad kusini mwa Yemen.

  • Watu 5 wauawa katika hujuma msikitini Saudi Arabia

    Watu 5 wauawa katika hujuma msikitini Saudi Arabia

    Jan 29, 2016 12:02

    Watu watano wameuawa kufuatia hujuma ya bomu na ufyatuaji risasi katika msikiti mmoja mjini al-Ahsa, katika mkoa wa Mashariki nchini Saudi Arabia.

  • HRW yakosoa ukiukaji wa haki za binadamu Saudia

    HRW yakosoa ukiukaji wa haki za binadamu Saudia

    Jan 29, 2016 04:49

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limekosoa ukiujaki wa haki za binadamu unaofanywa nchini Saudi Arabia. Shirika hilo limekosoa bikali utolewaji wa hukumu na adhabu kali dhidi ya wapinzani na vile vile kuendelea kushikiliwa kizuizini makumi ya wanaharakati wa haki za binadamu katika nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS