-
Saudi Arabia yasisitiza kuondolewa haraka Yemen misaada ya kimataifa
Feb 14, 2016 09:53Saudi Arabia imewataka wafanyakazi wa huduma za misaada ya kimataifa kuondoka haraka iwezekakavyo huko Yemen lengo likiwa ni kuzidisha mgogoro wa kibinadamu nchini humo.
-
Wanajeshi Wayemen waua askari 20 Wasaudia Jizan
Feb 12, 2016 12:23Askari wasiopungua 20 wa Saudi Arabia wameuawa katika katika eneo la Jizan kusini magharibi mwa ufalme huo katika mapigano na wanajeshi wa Yemen.
-
Kushindwa chokochoko za Saudi Arabia katika eneo la Mashariki ya Kati
Feb 08, 2016 23:00Ukiritimba na chokochoko za Saudi Arabia ndani ya kipindi cha mwaka mmoja uliopita katika eneo la Mashariki ya Kati vimeusababishia utawala wa kifalme wa familia ya Aal Saud matatizo makubwa yasiyo na kifani.
-
Kuendelea mashambulizi dhidi ya Yemen na uwezekano mdogo wa kufanyika mazungumzo ya amani
Feb 05, 2016 03:41Huku mapigano katika maeneo tofauti ya Yemen yakipamba moto, Saudi Arabia imeendelea kukwamisha juhudi za kidiplomasia za kuutatua kisiasa mgogoro huo, suala ambalo limewafanya wanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa kusema kuwa, ni jambo lililo mbali kufikiria kufanyika mazungumzo hayo katika siku za hivi karibuni.
-
Saudia yakosolewa kwa kuipa barabara jina la al-Baghdadi wa Daesh
Feb 03, 2016 04:09Wananchi wa Saudi Arabia hususan katika mitandao ya kijamii wamekosoa hatua ya ukoo wa Aal-Saud ya kuipa barabara moja mjini Riyadh jina la kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, Abu Bakr al-Baghdadi.
-
Zarif: Saudia haina budi kuacha sera zake za kiuhasama
Feb 02, 2016 23:49Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ameitaka Saudi Arabia kuacha sera zake za kiuhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Saudia yakiri kukwama vitani Yemen
Feb 02, 2016 04:29Saudi Arabia imekiri kukwama katika vita vyake dhidi ya Yemen na kusema vita hivyo havina mshindi hata baada ya ndege zake za kivita kudondosha mabomu katika nchi hiyo masikini zaidi ya Kiarabu kwa muda wa takribani mwaka mmoja.
-
Wanajeshi na mamluki wa Saudi Arabia waendelea kuangamizwa nchini Yemen
Jan 31, 2016 23:25Wanajeshi zaidi ya 200 wa Saudia wameuawa na magari na zana za kijeshi za nchi hiyo kuharibiwa vibaya katika shambulio lililofanywa na jeshi la Yemen katika kituo cha anga cha al Anad kusini mwa Yemen.
-
Watu 5 wauawa katika hujuma msikitini Saudi Arabia
Jan 29, 2016 12:02Watu watano wameuawa kufuatia hujuma ya bomu na ufyatuaji risasi katika msikiti mmoja mjini al-Ahsa, katika mkoa wa Mashariki nchini Saudi Arabia.
-
HRW yakosoa ukiukaji wa haki za binadamu Saudia
Jan 29, 2016 04:49Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limekosoa ukiujaki wa haki za binadamu unaofanywa nchini Saudi Arabia. Shirika hilo limekosoa bikali utolewaji wa hukumu na adhabu kali dhidi ya wapinzani na vile vile kuendelea kushikiliwa kizuizini makumi ya wanaharakati wa haki za binadamu katika nchi hiyo ya Kiarabu.