-
Wanajeshi na mamluki wa Saudi Arabia waendelea kuangamizwa nchini Yemen
Jan 31, 2016 23:25Wanajeshi zaidi ya 200 wa Saudia wameuawa na magari na zana za kijeshi za nchi hiyo kuharibiwa vibaya katika shambulio lililofanywa na jeshi la Yemen katika kituo cha anga cha al Anad kusini mwa Yemen.
-
Watu 5 wauawa katika hujuma msikitini Saudi Arabia
Jan 29, 2016 12:02Watu watano wameuawa kufuatia hujuma ya bomu na ufyatuaji risasi katika msikiti mmoja mjini al-Ahsa, katika mkoa wa Mashariki nchini Saudi Arabia.
-
HRW yakosoa ukiukaji wa haki za binadamu Saudia
Jan 29, 2016 04:49Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limekosoa ukiujaki wa haki za binadamu unaofanywa nchini Saudi Arabia. Shirika hilo limekosoa bikali utolewaji wa hukumu na adhabu kali dhidi ya wapinzani na vile vile kuendelea kushikiliwa kizuizini makumi ya wanaharakati wa haki za binadamu katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Serikali ya Uingereza yazidi kukosolewa kwa kuiuzia Saudia silaha
Jan 27, 2016 23:44Matokeo ya utafiti uliofanywa na Umoja wa Mataifa kuhusiana na mashambulizi makubwa yanayofanywa na Saudi Arabia dhidi ya raia huko Yemen yamezidisha mashinikizo kwa serikali ya Uingereza kutokana na hatua yake ya kuiuzia silaha Riyadh.
-
UN: Mashambulizi ya Saudia yanalenga raia Yemen
Jan 27, 2016 05:32Kamati ya wataalamu ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa Saudi Arabia na waitifaki wake wamekiuka haki za binadamu na sheria za kimataifa katika uvamizi na mashambulizi yao dhidi ya Yemen.