-
Larijani: Marekani ndiye mchochezi mkuu wa uhasama kati ya Iran na Saudia
Oct 16, 2019 01:06Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haina tatizo lolote wala haipingi mpango wowote wa kupatiwa ufumbuzi mikwaruzano na uhasama uliopo kati yake na Saudi Arabia, lakini Marekani ndiyo kizingiti kikuu katika kuafikiwa jambo hilo.
-
Saudi Arabia yaendeleza jinai dhidi ya Waislamu wa Shia maeneo ya mashariki mwa nchi
Oct 15, 2019 01:19Duru za habari nchini Saudi Arabia zimeeleza kwamba, tangu mwaka 2011 hadi sasa, utawala wa Aal-Saudi umewaua Waislamu wa Shia wapatao 128 katika mji wa Al Qatif mashariki mwa nchi hiyo.
-
Saudi Arabia yavunja rekodi yake ya kunyonga watu
Oct 07, 2019 04:25Katika kipindi cha miezi 9 iliyopita ya mwaka huu wa 2019, Saudi Arabia imeshatekeleza adhabu ya kifo kwa watu 160 na kuvunja rekodi yake ya huko nyuma ya kutekeleza adhabu hiyo kwa watu wengi zaidi duniani.
-
Rais wa zamani wa Benin: Saudia inawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram
Oct 05, 2019 11:35Rais wa zamani wa Benin amefichua kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia unawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram wanaoendesha vitendo vya kigaidi magharibi mwa bara la Afrika.
-
Ripoti: Muungano wa Marekani-Saudia-Israel dhidi ya Iran unadorora katika mgogoro
Oct 05, 2019 03:15Muungano dhidi ya Iran ambao umeundwa na watawala wa Marekani, Israel na Saudi Arabia unadorora huku kila mmoja wa watawala wa nchi hizo akikumbwa na matatizo makubwa.
-
Yemen yajibu hatua ya muungano vamizi wa Saudia ya kupuuza mpango wa amani
Oct 03, 2019 10:31Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen limetangaza kuwa, muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia utakabiliwa na vipigo visivyo na ukomo iwapo mpango wa amani wa Yemen utafeli.
-
Reuters: Baadhi ya wanafamilia ya kifalme Saudia wanataka Bin Salman awekwe kando, ami yake ashike madaraka
Oct 03, 2019 04:27Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa, baadhi ya wanafamilia ya kifalme inayotawala Saudi Arabia na wafanya biashara wakubwa wa nchi hiyo wameeleza kuvunjwa moyo na uongozi wa mrithi wa ufalme wa nchi hiyo, Muhammad bin Salman baada ya hujuma na mashambulizi makali ya wapiganaji wa harakati ya Ansarullah wa Yemen dhidi ya vituo na taasisi za kuzalisha mafuta mwezi uliopita.
-
Uturuki kuendelea kufichua zaidi kuhusu mauaji ya Khashoggi, mwandishi habari mkosoaji wa Saudia
Oct 01, 2019 04:18Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema katika kipindi cha siku chache zijazo, nchi yake itaendelea kufichua zaidi kuhusu mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi habari mkosoaji mkubwa wa utawala wa Saudi Arabia.
-
Bin Salman: Vita na Iran vitapelekea uchumi wa dunia uangamie
Sep 30, 2019 23:18Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia Arabia Mohammad bin Salman (MbS) ameonya kuwa, vita na Iran vitapelekea kuangamia kikamilifu uchumi wa dunia. Aidha ametoa wito wa kutatuliwa 'kwa amani' mgogoro na Iran katika kauli ambayo inatafautiana na matamshi yake ya huko nyuma ya kivita na majigambo.
-
Mlinzi binafsi wa Mfalme wa Saudia apigwa risasi na kuuawa
Sep 29, 2019 04:09Mlinzi binafsi wa mfalme wa Saudi Arabia, Meja Jenerali Abdulaziz al Faghem ameuawa katika kile kilichotajwa kuwa 'hitilafu za kibinafsi'.