Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Rouhani: Nchi za Ulaya zimekiri hazijui aliyeshambulia Aramco

    Rouhani: Nchi za Ulaya zimekiri hazijui aliyeshambulia Aramco

    Sep 27, 2019 23:10

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema licha ya nchi za Ulaya kuituhumu Tehran kuwa imehusika katika mashambulizi yaliyolenga kituo kikubwa cha kusafisha mafuta cha Aramco nchini Saudi Arabia, lakini viongozi wa nchi hizo wamekiri wazi kuwa hawajui ni nani aliyetekeleza hujuma hizo.

  • Pakistan yaitaka Saudia kujiepusha na hatua yoyote itakayotishia usalama wa eneo

    Pakistan yaitaka Saudia kujiepusha na hatua yoyote itakayotishia usalama wa eneo

    Sep 23, 2019 23:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema kuwa, nchi hiyo imeitaka Saudi Arabia kuchukua tahadhari kutokana na uamuzi wowote wa haraka ambao unaweza kutishia usalama na amani ya eneo.

  • Mchezo wa Aramco; makelele ya timu ya Trump na jibu la Zarif

    Mchezo wa Aramco; makelele ya timu ya Trump na jibu la Zarif

    Sep 20, 2019 04:35

    Licha ya kuwa sababu ya kushambuliwa kiwanda cha kusafisha mafuta cha Aramco nchini Saudi Arabia inapasa kutafutwa katika vita vya Yemen lakini watawala wa Saudia na Marekani wanaelekeza sababu hiyo kwingine kwa kuituhumu Iran kuwa imehusika katika shambulio hilo.

  • Vikwazo dhidi ya Iran; radiamali ya Marekani juu ya kudhalilishwa Saudia katika shambulio la Aramco

    Vikwazo dhidi ya Iran; radiamali ya Marekani juu ya kudhalilishwa Saudia katika shambulio la Aramco

    Sep 20, 2019 03:34

    Baada ya kiwanda cha kusafisha mafuta cha Saudi Arabia Aramco, kushambuliwa kwa ndege zisizokuwa na rubani na jeshi la Yemen, kwa mara nyingine tuhuma za Marekani zimekuwa zikielekezwa kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Zarif: Mashambulizi dhidi ya Iran yatasababisha vita kubwa

    Zarif: Mashambulizi dhidi ya Iran yatasababisha vita kubwa

    Sep 19, 2019 22:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu amesema kuwa Iran iko tayari kujihami wakati wowote ule na kwamba, shambulizi lolote dhidi ya Iran litasababisha vita vya pande zote na kupelekea kuuawa idadi kubwa ya wavamizi.

  • 'Kushambuliwa vituo vya mafuta vya Saudia, kunabainisha udhaifu na kushindwa kwa Riyadh'

    'Kushambuliwa vituo vya mafuta vya Saudia, kunabainisha udhaifu na kushindwa kwa Riyadh'

    Sep 17, 2019 07:55

    Mtaalamu na mchambuzi wa masuala ya Magharibi mwa Asia amekadhibisha madai yaliyotolewa kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imehusika katika shambulizi dhidi ya taasisi za mafuta za Saudi Arabia na kusema kuwa, shambulizi hilo kwenye taasisi hizo limeonyesha udhaifu na kushindwa kwa Wasaudi.

  • Baada ya kipigo cha ndege za Yemen, Trump naye kwa mara nyingine awadhalilisha viongozi wa Saudia

    Baada ya kipigo cha ndege za Yemen, Trump naye kwa mara nyingine awadhalilisha viongozi wa Saudia

    Sep 16, 2019 22:46

    Licha ya kutambua vyema kwamba viongozi wa Saudi Arabia hivi sasa wanapitia kipindi kigumu baada ya pigo walilopata la ndege zisizo na rubani za Yemen katika vituo muhimu vya mafuta vya Saudia, lakini rais wa Marekani haoneshi kushughulishwa na hali hiyo ya viongozi wa Riyadh na amewataka walipie msaada wowote wa kijeshi watakaopewa na Marekani.

  • Mfalme wa Saudia amteua mwanae kuwa waziri wa nishati

    Mfalme wa Saudia amteua mwanae kuwa waziri wa nishati

    Sep 08, 2019 03:16

    Mfalme wa Saudi Arabia amemfuta kazi waziri wa nishati Khalid Al-Falih na kumteua mwanae kuchukua nafasi hiyo.

  • Wanamgambo wa Saudia na Imarati wazidi kutwangana nchini Yemen

    Wanamgambo wa Saudia na Imarati wazidi kutwangana nchini Yemen

    Sep 07, 2019 08:28

    Baada ya wanamgambo wanaofadhiliwa na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kuimarisha nguvu zao na kuudhibiti mkoa wa Aden hasa baada ya ndege za kivita za Imarati kuwashambulia wanamgambo wanaoungwa mkono na Saudi Arabia, ugomvi baina ya wavamizi wa Yemen umezidi kuonekana.

  • Waziri wa Ujerumani ayataja mauaji ya kipindi cha ukoloni Namibia kuwa ni

    Waziri wa Ujerumani ayataja mauaji ya kipindi cha ukoloni Namibia kuwa ni "mauaji ya kimbari"

    Sep 02, 2019 22:36

    Waziri wa Ushirikiano wa Uchumi na Maendeleo wa Ujerumani ameyataja mauaji yaliyofanywa na Wajerumani dhidi ya watu wa makabila la Herero na Nama huko Namibia, zaidi ya karne moja iliyopita, kuwa yalikuwa mauaji ya kimbari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS