Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Marekani yaiuzia Saudia mfumo wa kujilinda na makombora wa THAAD

    Marekani yaiuzia Saudia mfumo wa kujilinda na makombora wa THAAD

    Oct 07, 2017 04:12

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imethibitisha habari kwamba Washington imeiuzia Saudi Arabia mfumo wa THAAD wa kujilinda na mashambulizi ya makombora.

  • Jumuiya za kutetea haki za binadamu zaipongeza UN kwa kuiweka Saudia katika orodha nyeusi

    Jumuiya za kutetea haki za binadamu zaipongeza UN kwa kuiweka Saudia katika orodha nyeusi

    Oct 06, 2017 00:06

    Jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu zimepongeza hatua ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ya kuiweka Saudi Arabia na washirika wake katika orodha nyeusi ya nchi na jumuiya zinazokiuka haki za watoto katika maeneo yenye vita.

  • Saudia yawekwa tena katika orodha nyeusi ya UN kwa kuua watoto Yemen

    Saudia yawekwa tena katika orodha nyeusi ya UN kwa kuua watoto Yemen

    Oct 04, 2017 04:24

    Jina la Saudi Arabia limeonekana katika rasimu ya siri ya orodha nyeusi ya Umoja wa Mataifa kutokana na mauaji na mateso yanayofanywa na Riyadh dhidi ya watoto wa Yemen.

  • Wanajeshi vamizi wa Sudan wapata pigo, mamia wauawa nchini Yemen + Picha

    Wanajeshi vamizi wa Sudan wapata pigo, mamia wauawa nchini Yemen + Picha

    Oct 01, 2017 00:29

    Toleo la mtandaoni la gazeti la al Akhbar la nchini Lebanon limetangaza habari ya kushindwa vibaya wanajeshi vamizi wa Sudan nchini Yemen. Kwa upande wake, mtandao wa habari wa Yemen Press umeandika kuwa, zaidi ya wanajeshi 400 wa Sudan wameshauawa hadi hivi sasa huko Yemen.

  • Mamia ya mamluki wa Saudia raia wa Sudan wauawa Yemen

    Mamia ya mamluki wa Saudia raia wa Sudan wauawa Yemen

    Sep 28, 2017 10:47

    Mkuu wa Kikosi cha Sudan kinachoshirikiana na muungano wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen amesema mamia ya mamluki wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wameuawa katika uvamizi wa muungano huo dhidi ya nchi hiyo maskini ya Kiarabu.

  • Baada ya marufuku ya miaka 60 hatimaye wanawake Saudia waruhusiwa kuendesha magari

    Baada ya marufuku ya miaka 60 hatimaye wanawake Saudia waruhusiwa kuendesha magari

    Sep 27, 2017 01:19

    Baada ya malalamiko ya muda mrefu hatimaye Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud wa Saudia ametoa amri ya kuwapa leseni za kuendesha magari wanawake wa nchi hiyo.

  • Somalia yakerwa na hatua ya Galmudug kukata uhusiano na Qatar

    Somalia yakerwa na hatua ya Galmudug kukata uhusiano na Qatar

    Sep 22, 2017 04:27

    Serikali kuu ya Somalia imekosoa vikali hatua ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Galmudug kutangaza kuwa linaziunga mkono Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu katika mgogoro wa nchi za Kiarabu.

  • Saudia na Uingereza zasaini mkataba wa kijeshi huku Riyadh ikiendelea kuteketeza roho za Wayemeni

    Saudia na Uingereza zasaini mkataba wa kijeshi huku Riyadh ikiendelea kuteketeza roho za Wayemeni

    Sep 20, 2017 02:59

    Saudi Arabia na Uingereza zimesaini mkataba wa ushirikiano wa kijeshi na kiusalama.

  • Njama mpya za Saudi Arabia dhidi ya Qatar

    Njama mpya za Saudi Arabia dhidi ya Qatar

    Sep 19, 2017 01:39

    Mwanamfalme, Abdullah bin Ali Aal Thani kutoka familia ya kifalme ya Qatar amekosoa siasa za Amir wa nchi hiyo, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani na kumtaka aitishie kikao cha kitaifa cha kujadili mgogoro wa nchi hiyo.

  • Utawala wa Aal-Saud wapatwa na kiwewe cha upinzani, wafunga misikiti hadi mjini Riyadh

    Utawala wa Aal-Saud wapatwa na kiwewe cha upinzani, wafunga misikiti hadi mjini Riyadh

    Sep 15, 2017 09:46

    Askari wa utawala wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia wamevamia misikiti ya miji mbalimbali kuanzia, Qatif, Ta'if, Unaizah na Riyadh na kuifunga, kutokana na wasi wasi wake wa kuibuka maandamano ya raia kupinga mienendo ya utawala huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS