-
Marekani yaiuzia Saudia mfumo wa kujilinda na makombora wa THAAD
Oct 07, 2017 04:12Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imethibitisha habari kwamba Washington imeiuzia Saudi Arabia mfumo wa THAAD wa kujilinda na mashambulizi ya makombora.
-
Jumuiya za kutetea haki za binadamu zaipongeza UN kwa kuiweka Saudia katika orodha nyeusi
Oct 06, 2017 00:06Jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu zimepongeza hatua ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ya kuiweka Saudi Arabia na washirika wake katika orodha nyeusi ya nchi na jumuiya zinazokiuka haki za watoto katika maeneo yenye vita.
-
Saudia yawekwa tena katika orodha nyeusi ya UN kwa kuua watoto Yemen
Oct 04, 2017 04:24Jina la Saudi Arabia limeonekana katika rasimu ya siri ya orodha nyeusi ya Umoja wa Mataifa kutokana na mauaji na mateso yanayofanywa na Riyadh dhidi ya watoto wa Yemen.
-
Wanajeshi vamizi wa Sudan wapata pigo, mamia wauawa nchini Yemen + Picha
Oct 01, 2017 00:29Toleo la mtandaoni la gazeti la al Akhbar la nchini Lebanon limetangaza habari ya kushindwa vibaya wanajeshi vamizi wa Sudan nchini Yemen. Kwa upande wake, mtandao wa habari wa Yemen Press umeandika kuwa, zaidi ya wanajeshi 400 wa Sudan wameshauawa hadi hivi sasa huko Yemen.
-
Mamia ya mamluki wa Saudia raia wa Sudan wauawa Yemen
Sep 28, 2017 10:47Mkuu wa Kikosi cha Sudan kinachoshirikiana na muungano wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen amesema mamia ya mamluki wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wameuawa katika uvamizi wa muungano huo dhidi ya nchi hiyo maskini ya Kiarabu.
-
Baada ya marufuku ya miaka 60 hatimaye wanawake Saudia waruhusiwa kuendesha magari
Sep 27, 2017 01:19Baada ya malalamiko ya muda mrefu hatimaye Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud wa Saudia ametoa amri ya kuwapa leseni za kuendesha magari wanawake wa nchi hiyo.
-
Somalia yakerwa na hatua ya Galmudug kukata uhusiano na Qatar
Sep 22, 2017 04:27Serikali kuu ya Somalia imekosoa vikali hatua ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Galmudug kutangaza kuwa linaziunga mkono Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu katika mgogoro wa nchi za Kiarabu.
-
Saudia na Uingereza zasaini mkataba wa kijeshi huku Riyadh ikiendelea kuteketeza roho za Wayemeni
Sep 20, 2017 02:59Saudi Arabia na Uingereza zimesaini mkataba wa ushirikiano wa kijeshi na kiusalama.
-
Njama mpya za Saudi Arabia dhidi ya Qatar
Sep 19, 2017 01:39Mwanamfalme, Abdullah bin Ali Aal Thani kutoka familia ya kifalme ya Qatar amekosoa siasa za Amir wa nchi hiyo, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani na kumtaka aitishie kikao cha kitaifa cha kujadili mgogoro wa nchi hiyo.
-
Utawala wa Aal-Saud wapatwa na kiwewe cha upinzani, wafunga misikiti hadi mjini Riyadh
Sep 15, 2017 09:46Askari wa utawala wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia wamevamia misikiti ya miji mbalimbali kuanzia, Qatif, Ta'if, Unaizah na Riyadh na kuifunga, kutokana na wasi wasi wake wa kuibuka maandamano ya raia kupinga mienendo ya utawala huo.