Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Harakati ya

    Harakati ya "Septemba 15" yatoa wito wa kufanyika maandamano makubwa Saudia

    Sep 13, 2017 23:25

    Harakati ya Septemba 15 inayoendesha harakati za amani za upinzani nchini Saudi Arabia imetoa wito kwa wapinzano wote wa utawala wa kifalme wa nchi hiyo kushiriki kwenye maandamano ya kupigania matakwa ya wananchi.

  • Hizbullah: Saudia imekiri yenyewe kwamba imeshindwa nchini Syria

    Hizbullah: Saudia imekiri yenyewe kwamba imeshindwa nchini Syria

    Sep 11, 2017 03:52

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassim amesema kuwa, hatua ya Wizara ya Mambo ya Nje ya SaudiArabia ya kukubali kuanzishwa maeneo ya kupunguza mivutano nchini Syria, ina maana ya kukiri wazi Riyadh juu ya kushindwa kwake nchini Syria.

  • New York Times: Mgogoro wa Qatar umemshinda Trump

    New York Times: Mgogoro wa Qatar umemshinda Trump

    Sep 10, 2017 10:04

    Gazeti la New York Times la nchini Marekani limesema kuwa, rais wa nchi hiyo, Donald Trump ameshindwa kutatua mgogoro wa Qatar na nchi nne za Kiarabu zinazoongozwa na Saudia.

  • Saudia yakosolewa kwa kunyamazia kimya mauaji ya halaiki ya Waislamu wa Myanmar

    Saudia yakosolewa kwa kunyamazia kimya mauaji ya halaiki ya Waislamu wa Myanmar

    Sep 09, 2017 12:01

    Mkuu wa Umoja wa Maulama wa Muqawama Duniani, amesema kutokuwa na uhusiano na Uwahabi Waislamu wa Myanmar ndio sababu Saudi Arabia kunyamazia kimya mauaji ya halaiki ya Waislamu hao wa Rohingya yanayofanywa na askari wa Myanmar.

  • Saudia yaishinikiza Kuwait imkatae balozi wa Lebanon ambaye ni Mwislamu wa Shia

    Saudia yaishinikiza Kuwait imkatae balozi wa Lebanon ambaye ni Mwislamu wa Shia

    Sep 09, 2017 11:59

    Utawala wa Saudi Arabia umeendeleza mashinikizo mbalimbali dhidi ya serikali ya Kuwait, ikiitaka nchi hiyo kuikataa barua ya utambulisho wa Rayan Said, balozi wa Lebanon ambaye ni Mwislamu wa Shia aliyetumwa nchini humo.

  • Ayatullah Movahhedi Kermani: Mataifa ya Kiislamu yaamke dhidi ya jinai za Mabudha wa Myanmar

    Ayatullah Movahhedi Kermani: Mataifa ya Kiislamu yaamke dhidi ya jinai za Mabudha wa Myanmar

    Sep 08, 2017 14:24

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa hakuna matumaini ya kuona taasisi za kimataifa zikisaidia kuzuia mauaji ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar na ameyataka mataifa ya Kiislamu kuamka na kusimama kidete dhidi ya jinai zinazofanywa na jeshi na Mabudha wa nchi hiyo.

  • Qatar yashikilia msimamo wa kupinga masharti 13 ya Saudia ya kuanzisha tena uhusiano

    Qatar yashikilia msimamo wa kupinga masharti 13 ya Saudia ya kuanzisha tena uhusiano

    Sep 08, 2017 03:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, Mohammad bin Abdulrahman Aal Thani amesema, masharti 13 yaliyowekwa na tawala za Kiarabu zinazoongozwa na Saudia ambazo zimeiwekea nchi yake vikwazo, hayakubaliki kwani yanalenga kuhujumu mamlaka ya kijitawala Qatar.

  • Saudia yalegeza misimamo ya chuki; yapiga marufuku vyombo vyake vya habari kuishambulia Iran

    Saudia yalegeza misimamo ya chuki; yapiga marufuku vyombo vyake vya habari kuishambulia Iran

    Sep 04, 2017 23:00

    Gazeti la Raýul-Yaum limezinukuu duru za ngazi za juu za utawala wa Saudi Arabia na kuandika kuwa Baraza la Ufalme wa Aal Saud limetoa amri kwa magazeti na kanali za televisheni za nchi hiyo ziache kuishambulia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Mashirika 62 ya haki za binadamu yaishitaki Saudia kwa jinai zake nchini Yemen

    Mashirika 62 ya haki za binadamu yaishitaki Saudia kwa jinai zake nchini Yemen

    Sep 01, 2017 22:01

    Muungano wa kimataifa wa mashirika ya haki za binadamu yasiyo ya kiserikali yameutaka Umoja wa Mataifa kuunda kamati huru ya kuchunguza jinai za kivita na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na utawala wa kiimla wa Saudi Arabia nchini Yemen

  • Al-Shanqati: Njama za Saudia kuilenga Iran ndani ya eneo la Mashariki ya Kati zimefeli sana

    Al-Shanqati: Njama za Saudia kuilenga Iran ndani ya eneo la Mashariki ya Kati zimefeli sana

    Aug 31, 2017 04:25

    Mhadhiri wa masuala ya kisiasa nchini Bahrain, ameitaja Saudia kuwa iliyofeli sana katika njama zake tofauti eneo la Mashariki ya Kati kuilenga Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS