• Human Rights Watch yamuonya Trump kuhusu kuiuzia silaha Saudia

    Human Rights Watch yamuonya Trump kuhusu kuiuzia silaha Saudia

    May 21, 2017 23:27

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limemuona Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na kuiuzia silaha Saudi Arabia kutokana na nchi hiyo kutenda jinai dhidi ya wananchi wa Yemen.

  • Hizbullah: Safari ya Trump Saudia ni ya kiwendawazimu

    Hizbullah: Safari ya Trump Saudia ni ya kiwendawazimu

    May 21, 2017 09:35

    Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imeitaja safari ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Saudi Arabia kama ya kiwendawazimu na ambayo haitakuwa na tija yoyote kwa ulimwengu wa Kiislamu.

  • Iran: Lengo la Marekani ni kuudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu

    Iran: Lengo la Marekani ni kuudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu

    May 21, 2017 03:26

    Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa ya Bunge la Iran amesema, lengo la Marekani ni kuudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu, kushadidisha mizozo katika eneo hili, kuuza silaha nyingi zaidi na kuweka kambi nyingi zaidi za kijeshi katika nchi kama vile Saudi Arabia.

  • Madai yasiyo na msingi kwamba Iran inapeleka silaha nchini Yemen

    Madai yasiyo na msingi kwamba Iran inapeleka silaha nchini Yemen

    May 16, 2017 03:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Bahram Qassemi ameashiria mashambulio ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen yaliyoanza Machi mwaka 2015 na kuendelea hadi sasa na kueleza kwamba Wayemeni wana silaha nyingi sana ambapo bila ya kuzingaia ukweli huo, Saudia ilidhani itaweza kuhatimisha vita hivyo kwa manufaa yake ndani ya kipindi kifupi mno.

  • Qassemi: Kikao cha Marekani na Waarabu mjini Riyadh ni njama za Kizayuni

    Qassemi: Kikao cha Marekani na Waarabu mjini Riyadh ni njama za Kizayuni

    May 15, 2017 23:42

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria safari ijayo ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Saudia kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa nchi za Kiarabu na Marekani mjini Riyadh na kusema kuwa, kufanyika kikao hicho ni katika njama za Wazayuni.

  • Saudia yauzingira mji wa Waislamu wa Kishia

    Saudia yauzingira mji wa Waislamu wa Kishia

    May 15, 2017 23:42

    Mji mmoja wenye idadi kubwa ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Saudi Arabia uko chini ya mzingiro kwa siku ya saba mfululizo huku raia kadhaa wakiuawa na jeshi walipokuwa katika maandamano ya Amani.

  • US: Lengo la safari ya Trump Mashariki ya Kati ni dhidi ya Iran

    US: Lengo la safari ya Trump Mashariki ya Kati ni dhidi ya Iran

    May 15, 2017 03:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema lengo kuu la safari ya wiki ijayo ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika eneo la Mashariki ya Kati ni kwa ajili ya kuunda 'umoja' dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Mashambulizi ya Saudia nchini Yemen, yasababisha kuenea maradhi baina ya watoto

    Mashambulizi ya Saudia nchini Yemen, yasababisha kuenea maradhi baina ya watoto

    May 12, 2017 22:04

    Kuendelea vita na mzingiro wa kila upande unaofanywa na Saudi Arabia kupitia ndege za kivita za nchi hiyo huko Yemen, kumesababisha kuenea maradhi baina ya watoto wa taifa hilo masikini la Kiarabu, kiasi kwamba kila dakika 10 mtoto mmoja hufariki dunia kutokana na maradhi hayo.

  • Askari wa Saudia wavamia tena mashariki mwa nchi hiyo, waua na kujeruhi

    Askari wa Saudia wavamia tena mashariki mwa nchi hiyo, waua na kujeruhi

    May 11, 2017 00:13

    Wanaharakati wa Saudia wametangaza kwamba kwa mara nyingine tena askari wa utawala wa nchi hiyo wamevamia mji wa Al-Awamia ulioko eneo la Qatif katika mkoa wa Mashariki alikozaliwa Sheikh Nimr Baqir Nimr, mwanazuoni mkubwa aliyeuawa shahidi na utawala huo mwaka uliopita, na kusababisha maafa.

  • Iran yaionya Saudia dhidi ya kuchukua hatua yoyote ya kishenzi dhidi ya Tehran

    Iran yaionya Saudia dhidi ya kuchukua hatua yoyote ya kishenzi dhidi ya Tehran

    May 08, 2017 02:26

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameuonya vikali utawala wa kifalme wa Aal-Saud dhidi ya kufanya maamuzi yoyote ya kipuuzi dhidi ya taifa hili na kusisitiza kwamba Jeshi la Iran halitachelewa kutoa jibu kali kwa kuusambaratisha utawala wote wa Riyadh.