-
Marekani yaziuzia nchi za Ghuba ya Uajemi silaha za zaidi ya dola bilioni 33
Sep 18, 2016 05:49Serikali ya Marekani imeziuzia baadhi ya nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi silaha zenye thamani ya zaidi ya bilioni 33 tangu mwaka 2014 hadi leo hii.
-
Marekani yaziuzia nchi za Ghuba ya Uajemi silaha za zaidi ya dola bilioni 33
Sep 18, 2016 02:38Serikali ya Marekani imeziuzia baadhi ya nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi silaha zenye thamani ya zaidi ya bilioni 33 tangu mwaka 2014 hadi leo hii.
-
Ayatullah Khatami: Saudia ni chimbuko la magaidi wa Daesh (ISIS)
Sep 16, 2016 10:26Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema jinai za kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh au ISIS zinatokana na fikra za kuwakufurisha Waislamu ambazo zinatawala Saudi Arabia.
-
Mwanaharakati wa kisiasa Bahrain: Saudia ndio inatoa hukumu ya kamatakamata Bahrain
Sep 16, 2016 03:31Mwanaharakati wa kisiasa nchini Bahrain amesema kuwa, idara ya ujasusi ya Saudia ndio inayotoa hukumu ya nani akamatwe huko nchini Bahrain.
-
Saudi Arabia yashadidisha mashambulio dhidi ya shule na makazi ya raia Yemen
Sep 15, 2016 03:08Ndege za kivita za Saudi Arabia Jumatano asubuhi ziliendelea kudondosha mabomu katika maeneo ya raia nchini Yemen kwa kushambulia eneo la Aal Aqab katika mji wa Sahar katika mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Magaidi wanaopata msaada wa Saudia wauawa nchini Iran
Sep 12, 2016 03:31Askari wa Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wamesambaratisha mtandao wa magaidi wanaopata himaya ya Saudi Arabia na Marekani katika mkoa wa Sistan na Baluchestan kusini mashariki mwa nchi.
-
Maafa ya Mina ni thibitisho watawala wa Aal Saud hawastahiki kusimamia Haram Mbili Takatifu
Sep 12, 2016 03:28Khatibu wa Sala ya Idul Adhaa mjini Tehran amesema maafa ya Mina katika msimu wa Hija mwaka jana ni thibitisho kuwa utawala wa ukoo wa Aal Saud haustahiki kusimamia Maeneo Mawili Matakatifu ya Waislamu.
-
Saudia yazuia Wasyria kuhiji kwa mwaka wa tano mfululizo
Sep 12, 2016 02:12Utawala wa ukoo wa Aal Saud kwa mwaka wa tano mfululizo umewazuia Mahujaji kutoka Syria kuingia Saudi Arabia kutekeleza Ibada ya Hija.
-
Saudia na Israel zashirikiana katika marasimu ya Hija ya mwaka huu
Sep 11, 2016 09:57Utawala wa Kizayuni wa Israel unashirikiana na Saudi Arabia katika marasimu ya ibada ya Hija mwaka huu.
-
Saudi Arabia yazidi kuwachochea maadui wa taifa la Iran
Sep 09, 2016 23:41Utawala wa ukoo wa Aal Saud wa Saudi Arabia umeendelea na hatua zake za kiuadui dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kwa kuzidi kuonesha uadui wake dhidi ya Iran. Katika hatua ya karibuni kabisa ya uadui huo, viongozi wa Saudia wamewafanya kuwa wageni wao rasmi watu wanaoendesha uchochezi ndani ya Iran.