Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Gordon Duff: Ofisi za udiplomasia za Saudia duniani zinatumika kwa ujasusi

    Gordon Duff: Ofisi za udiplomasia za Saudia duniani zinatumika kwa ujasusi

    Aug 29, 2016 23:31

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa nchini Marekani Gordon Duff, amesema kuwa ofisi za udiplomasia za Saudia kote duniani zinatumika kwa ajili ya shughuli za ujasusi.

  • Mashambulio mapya ya Saudia yaua raia 12 nchini Yemen

    Mashambulio mapya ya Saudia yaua raia 12 nchini Yemen

    Aug 28, 2016 03:06

    Watu wasiopungua 10 wameuawa katika mashambulio ya karibuni yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudia katika eneo la Shar'ab mkoani Taiz nchini Yemen.

  • Jarida la Jane's Defence: Bajeti ya kijeshi ya Saudia kufikia dola bilioni 52

    Jarida la Jane's Defence: Bajeti ya kijeshi ya Saudia kufikia dola bilioni 52

    Aug 25, 2016 03:30

    Jarida la masuala ya kijeshi la Jane's Defence limeripoti kuwa bajeti ya kijeshi ya baadhi ya nchi za Mashariki ya Kati itaongezeka katika kipindi cha miaka mitano ijayo.

  • Askari kadhaa wa Saudia wauawa katika matukio tofauti

    Askari kadhaa wa Saudia wauawa katika matukio tofauti

    Aug 17, 2016 23:20

    Duru za habari nchini Saudia zimeripoti kuuawa kwa kupigwa risasi afisa mmoja wa polisi, mashariki mwa nchi hiyo.

  • EU yakema vikali mashambulizi ya Saudia dhidi ya hospitali Yemen

    EU yakema vikali mashambulizi ya Saudia dhidi ya hospitali Yemen

    Aug 17, 2016 09:32

    Msemaji wa Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amekemea vikali mashambulizi yaliyofanywa na Saudi Arabia dhidi ya hospitali nchini Yemen na kutoa wito wa kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia za kisiasa.

  • Saudia yashambulia hospitali Yemen; yaua raia 25 na kujeruhi 20

    Saudia yashambulia hospitali Yemen; yaua raia 25 na kujeruhi 20

    Aug 15, 2016 23:17

    Raia wasiopungua 25 wameuawa na wengine 20 wamejeruhiwa katika shambulio la anga la ndege za utawala vamizi wa Saudi Arabia dhidi ya hospitali moja kaskazini mwa Yemen.

  • Mfamle wa Saudia awapa 'bonasi' askari wanaoua raia Yemen

    Mfamle wa Saudia awapa 'bonasi' askari wanaoua raia Yemen

    Aug 15, 2016 03:30

    Mfalme wa Saudi Arabia ametangaza kuwapa marupurupu askari vamizi wanaotekeleza mauaji na jinai za kutisha dhidi ya raia wa kawaida nchini Yemen.

  • Raia 33 wa Yemen wauawa katika hujuma ya anga ya Saudia

    Raia 33 wa Yemen wauawa katika hujuma ya anga ya Saudia

    Aug 09, 2016 08:45

    Kwa mara nyingine tena ndege za kijeshi za Saudi Arabia zimeshambulia maeneo ya makazi ya watu na kuua makumi ya raia wasio na hatia katika mikoa kadhaa ya Yemen hii leo.

  • Jeshi la Yemen laangamiza mamluki 52 wa Saudia

    Jeshi la Yemen laangamiza mamluki 52 wa Saudia

    Aug 07, 2016 09:16

    Jeshi la Yemen limefanikiwa kuangamiza makumi ya mamluki wa Saudi Arabia mashariki mwa mji mkuu Sanaa.

  • Mufti Mkuu wa Saudia ataka watu wafadhili mauaji Yemen

    Mufti Mkuu wa Saudia ataka watu wafadhili mauaji Yemen

    Aug 04, 2016 23:55

    Mufti Mkuu wa Saudi Arabia amewataka waumini na wafanyabiashara wa Kiislamu nchini humo kutoa mchango wa fedha kwa ajili ya kufadhili mashambulizi ya anga ya utawala wa Riyadh nchini Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS