Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • EU yakema vikali mashambulizi ya Saudia dhidi ya hospitali Yemen

    EU yakema vikali mashambulizi ya Saudia dhidi ya hospitali Yemen

    Aug 17, 2016 09:32

    Msemaji wa Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amekemea vikali mashambulizi yaliyofanywa na Saudi Arabia dhidi ya hospitali nchini Yemen na kutoa wito wa kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia za kisiasa.

  • Saudia yashambulia hospitali Yemen; yaua raia 25 na kujeruhi 20

    Saudia yashambulia hospitali Yemen; yaua raia 25 na kujeruhi 20

    Aug 15, 2016 23:17

    Raia wasiopungua 25 wameuawa na wengine 20 wamejeruhiwa katika shambulio la anga la ndege za utawala vamizi wa Saudi Arabia dhidi ya hospitali moja kaskazini mwa Yemen.

  • Mfamle wa Saudia awapa 'bonasi' askari wanaoua raia Yemen

    Mfamle wa Saudia awapa 'bonasi' askari wanaoua raia Yemen

    Aug 15, 2016 03:30

    Mfalme wa Saudi Arabia ametangaza kuwapa marupurupu askari vamizi wanaotekeleza mauaji na jinai za kutisha dhidi ya raia wa kawaida nchini Yemen.

  • Raia 33 wa Yemen wauawa katika hujuma ya anga ya Saudia

    Raia 33 wa Yemen wauawa katika hujuma ya anga ya Saudia

    Aug 09, 2016 08:45

    Kwa mara nyingine tena ndege za kijeshi za Saudi Arabia zimeshambulia maeneo ya makazi ya watu na kuua makumi ya raia wasio na hatia katika mikoa kadhaa ya Yemen hii leo.

  • Jeshi la Yemen laangamiza mamluki 52 wa Saudia

    Jeshi la Yemen laangamiza mamluki 52 wa Saudia

    Aug 07, 2016 09:16

    Jeshi la Yemen limefanikiwa kuangamiza makumi ya mamluki wa Saudi Arabia mashariki mwa mji mkuu Sanaa.

  • Mufti Mkuu wa Saudia ataka watu wafadhili mauaji Yemen

    Mufti Mkuu wa Saudia ataka watu wafadhili mauaji Yemen

    Aug 04, 2016 23:55

    Mufti Mkuu wa Saudi Arabia amewataka waumini na wafanyabiashara wa Kiislamu nchini humo kutoa mchango wa fedha kwa ajili ya kufadhili mashambulizi ya anga ya utawala wa Riyadh nchini Yemen.

  • Wanafunzi Waislamu Ulaya walaani mauaji ya watoto Yemen

    Wanafunzi Waislamu Ulaya walaani mauaji ya watoto Yemen

    Aug 03, 2016 02:55

    Muungano wa vyama vya wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya umemuandikia barua Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ukitaka hatua za makusudi zichukuliwe kukomesha mauaji ya raia wasio na hatia na hususan watoto wadogo nchini Yemen.

  • Saudia yafanya njama ya kuwakwamisha Wayemen wasiende Hija tena kwa mwaka wa pili

    Saudia yafanya njama ya kuwakwamisha Wayemen wasiende Hija tena kwa mwaka wa pili

    Aug 02, 2016 11:24

    Wizara ya Waqfu ya Yemen imetangaza kuwa Saudi Arabia inafanya njama za kuwakwamisha kwa mwaka wa pili mfululizo mahujaji kutoka Yemen wasiende nchini humo kutekeleza ibada ya Hija.

  • Ndege za Saudia zaendelea kuua watoto Yemen

    Ndege za Saudia zaendelea kuua watoto Yemen

    Aug 02, 2016 02:52

    Watoto watatu wa familia moja wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika maeneo ya raia kusini mwa Yemen.

  • Saudia yadai haijaiwekea mzingiro Yemen

    Saudia yadai haijaiwekea mzingiro Yemen

    Jul 31, 2016 00:01

    Muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia ambao unaendeleza mzingiro wa ardhini, baharini na angani dhidi ya Yemen umedai kuwa haujaizingira nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS