-
Wanafunzi Waislamu Ulaya walaani mauaji ya watoto Yemen
Aug 03, 2016 02:55Muungano wa vyama vya wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya umemuandikia barua Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ukitaka hatua za makusudi zichukuliwe kukomesha mauaji ya raia wasio na hatia na hususan watoto wadogo nchini Yemen.
-
Saudia yafanya njama ya kuwakwamisha Wayemen wasiende Hija tena kwa mwaka wa pili
Aug 02, 2016 11:24Wizara ya Waqfu ya Yemen imetangaza kuwa Saudi Arabia inafanya njama za kuwakwamisha kwa mwaka wa pili mfululizo mahujaji kutoka Yemen wasiende nchini humo kutekeleza ibada ya Hija.
-
Ndege za Saudia zaendelea kuua watoto Yemen
Aug 02, 2016 02:52Watoto watatu wa familia moja wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika maeneo ya raia kusini mwa Yemen.
-
Saudia yadai haijaiwekea mzingiro Yemen
Jul 31, 2016 00:01Muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia ambao unaendeleza mzingiro wa ardhini, baharini na angani dhidi ya Yemen umedai kuwa haujaizingira nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Hizbullah: Saudia inarejesha uhusiano na Israel bila gharama
Jul 30, 2016 01:38Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali safari ya maafisa wa ngazi za juu wa serikali ya Saudi Arabia katika utawala wa Kizayuni wa Israel wiki jana na kusisitiza kuwa Riyadh inahuisha uhusiano wake na Tel Aviv pasina na kuzingatia maslahi ya Wapalestina.
-
Rezaei: Saudia inaendelea kutuma magaidi nchini Iran
Jul 24, 2016 03:27Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameikosoa vikali Saudi Arabia kwa kuendelea kuyaunga mkono makundi ya kigaidi na kuyatuma hapa nchini kutekeleza mashambulizi.
-
Makumi wauawa na kujeruhiwa na Saudia huko Yemen
Jul 23, 2016 02:55Makumi ya raia wa Yemen wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika maeneo mbalimbali ya Yemen.
-
Uingereza yakiri kuwa Saudia inatenda jinai za kutisha Yemen
Jul 22, 2016 10:22Katika hatua isiyo ya kawaida na ambayo haikutarajiwa na wengi, Uingereza imekiri kuwa yumkini muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika hujuma za anga dhidi ya wananchi wasio na hatia wa Yemen umekiuka sheria za kibinadamu.
-
Kuimarishwa udiplomasia wa Hija baina ya nchi za Kiislamu
Jul 21, 2016 06:32Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara za Kidini Iran amesisitiza kuhusu Diplomasia ya Hija baina ya nchi zote za Kiislamu hasa Iran na Pakistan.
-
Filamu ya 'Madhambi ya Mfalme Fahd' yatengenezwa
Jul 18, 2016 23:17Filamu kuhusu ufisadi wa kimaadili na ufuska wa ukoo wa kifalme wa Saudi Arabia, hasa mfalme wa zamani Fahd, imetengenezwa kwa mujibu wa kisa cha kweli.