-
Hizbullah: Saudia inarejesha uhusiano na Israel bila gharama
Jul 30, 2016 01:38Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali safari ya maafisa wa ngazi za juu wa serikali ya Saudi Arabia katika utawala wa Kizayuni wa Israel wiki jana na kusisitiza kuwa Riyadh inahuisha uhusiano wake na Tel Aviv pasina na kuzingatia maslahi ya Wapalestina.
-
Rezaei: Saudia inaendelea kutuma magaidi nchini Iran
Jul 24, 2016 03:27Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameikosoa vikali Saudi Arabia kwa kuendelea kuyaunga mkono makundi ya kigaidi na kuyatuma hapa nchini kutekeleza mashambulizi.
-
Makumi wauawa na kujeruhiwa na Saudia huko Yemen
Jul 23, 2016 02:55Makumi ya raia wa Yemen wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika maeneo mbalimbali ya Yemen.
-
Uingereza yakiri kuwa Saudia inatenda jinai za kutisha Yemen
Jul 22, 2016 10:22Katika hatua isiyo ya kawaida na ambayo haikutarajiwa na wengi, Uingereza imekiri kuwa yumkini muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika hujuma za anga dhidi ya wananchi wasio na hatia wa Yemen umekiuka sheria za kibinadamu.
-
Kuimarishwa udiplomasia wa Hija baina ya nchi za Kiislamu
Jul 21, 2016 06:32Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara za Kidini Iran amesisitiza kuhusu Diplomasia ya Hija baina ya nchi zote za Kiislamu hasa Iran na Pakistan.
-
Filamu ya 'Madhambi ya Mfalme Fahd' yatengenezwa
Jul 18, 2016 23:17Filamu kuhusu ufisadi wa kimaadili na ufuska wa ukoo wa kifalme wa Saudi Arabia, hasa mfalme wa zamani Fahd, imetengenezwa kwa mujibu wa kisa cha kweli.
-
Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia
Jul 14, 2016 23:41Mamia ya Wamarekani wenye asili ya nchi za Mashariki ya Kati wamefanya maandamano mjini Washington kulaani uungaji mkono wa Saudi Arabia kwa makundi ya kigaidi.
-
Qardhawi: Waislamu wajitenge na Saudia
Jul 11, 2016 23:16Mkuu wa unaoitwa Umoja wa Maulamaa wa Kiislamu Duniani, Sheikh Yusuf Qardhawi ametoa hotuba kali mjini Doha Qatar akimjibu mkuu wa Baraza Kuu la Maulama nchini Saudia, Abdul-Aziz ibn Abdullah Aal ash-Sheikh kwa kujaribu kukilazimisha Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al-Azhar kifuate siasa za Saudia ikiwa ni pamoja na kupanga njama za kukiua kabisa.
-
Wakuu wa Saudia wanafanya biashara ya mihadarati wakati wa Hija
Jul 06, 2016 23:51Maafisa wa ngazi za juu katika ufalme wa Saudi Arabia wamekuwa wakiingiza dawa za kulevya nchini humo kwa kutumia mabasi yanayowabeba mahujaji, imefichuliwa.
-
Mlipuko nje ya ubalozi mdogo wa Marekani Jeddah, Saudi Arabia
Jul 04, 2016 09:45Bomu limelipuka nje ya jengo la ubalozi mdogo wa Marekani mjini Jeddah, Saudi Arabia na kuwajeruhi maafisa wawili wa polisi.