• Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia

    Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia

    Jul 14, 2016 23:41

    Mamia ya Wamarekani wenye asili ya nchi za Mashariki ya Kati wamefanya maandamano mjini Washington kulaani uungaji mkono wa Saudi Arabia kwa makundi ya kigaidi.

  • Qardhawi: Waislamu wajitenge na Saudia

    Qardhawi: Waislamu wajitenge na Saudia

    Jul 11, 2016 23:16

    Mkuu wa unaoitwa Umoja wa Maulamaa wa Kiislamu Duniani, Sheikh Yusuf Qardhawi ametoa hotuba kali mjini Doha Qatar akimjibu mkuu wa Baraza Kuu la Maulama nchini Saudia, Abdul-Aziz ibn Abdullah Aal ash-Sheikh kwa kujaribu kukilazimisha Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al-Azhar kifuate siasa za Saudia ikiwa ni pamoja na kupanga njama za kukiua kabisa.

  • Wakuu wa Saudia wanafanya biashara ya mihadarati wakati wa Hija

    Wakuu wa Saudia wanafanya biashara ya mihadarati wakati wa Hija

    Jul 06, 2016 23:51

    Maafisa wa ngazi za juu katika ufalme wa Saudi Arabia wamekuwa wakiingiza dawa za kulevya nchini humo kwa kutumia mabasi yanayowabeba mahujaji, imefichuliwa.

  • Mlipuko nje ya ubalozi mdogo wa Marekani Jeddah, Saudi Arabia

    Mlipuko nje ya ubalozi mdogo wa Marekani Jeddah, Saudi Arabia

    Jul 04, 2016 09:45

    Bomu limelipuka nje ya jengo la ubalozi mdogo wa Marekani mjini Jeddah, Saudi Arabia na kuwajeruhi maafisa wawili wa polisi.

  • 18 Wajeruhiwa katika msongamano mkubwa Makka

    18 Wajeruhiwa katika msongamano mkubwa Makka

    Jul 02, 2016 08:59

    Waislamu 18 waliokuwa katika Ibada ya Umrah wamejeruhiwa kufuatia msongamano mkubwa katika mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia, miezi sita tu baad aya maelfu kupoteza maisha katika Ibada ya Hija mwaka jana.

  • Amnesty, HRW zataka Saudia itimuliwe Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Amnesty, HRW zataka Saudia itimuliwe Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Jun 30, 2016 02:40

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Human Rights Watch na Amnesty International yametoa wito wa kutimuliwa Saudi Arabia katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa sanjari na kuutaka muungano vamizi unaoongozwa na utawala wa Riyadh kusimamisha mauaji na mashambulizi dhidi ya wananchi wasio na hatia wa Yemen.

  • Hizbullah: Saudia inazuia kufanyika uchaguzi wa rais Lebanon

    Hizbullah: Saudia inazuia kufanyika uchaguzi wa rais Lebanon

    Jun 28, 2016 03:07

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon ameikosoa vikali Saudi Arabia kwa kukwamisha mikakati ya kisiasa sambamba na kuzuia juhudi za kufanyika uchaguzi wa rais nchini Lebanon.

  • Silaha za CIA na Saudia zaibwa Syria na kutumiwa kuulia Wamarekani

    Silaha za CIA na Saudia zaibwa Syria na kutumiwa kuulia Wamarekani

    Jun 27, 2016 23:36

    Ripoti mpya iliyotolewa na gazeti la New York Times la nchini Marekani inaonesha kuwa, silaha ambazo zilitumwa na Shirika la Kijasusi la Marekani CIA na Saudia kwa magaidi, zimeibwa na kuuzwa kimagendo nchini Jordan.

  • Hizbullah: Magaidi wanaoungwa mkono na Saudia na US, hatari M/Kati

    Hizbullah: Magaidi wanaoungwa mkono na Saudia na US, hatari M/Kati

    Jun 24, 2016 22:41

    Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono kwa hali na mali na Saudia na Marekani yanatishia usalama wa eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • Iran: Magaidi tuliowakamata wakiri kutumwa na Saudia na US

    Iran: Magaidi tuliowakamata wakiri kutumwa na Saudia na US

    Jun 24, 2016 22:20

    Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC amesema wanachama wa magenge ya kigaidi waliokamatwa hivi karibuni hapa nchini wakipanga njama za kutekeleza mashambulizi ya bomu wamekiri kwamba walipokea ufadhili kutoka Saudi Arabia na Marekani.