• Hizbullah: Saudia inarejesha uhusiano na Israel bila gharama

    Hizbullah: Saudia inarejesha uhusiano na Israel bila gharama

    Jul 30, 2016 01:38

    Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali safari ya maafisa wa ngazi za juu wa serikali ya Saudi Arabia katika utawala wa Kizayuni wa Israel wiki jana na kusisitiza kuwa Riyadh inahuisha uhusiano wake na Tel Aviv pasina na kuzingatia maslahi ya Wapalestina.

  • Rezaei: Saudia inaendelea kutuma magaidi nchini Iran

    Rezaei: Saudia inaendelea kutuma magaidi nchini Iran

    Jul 24, 2016 03:27

    Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameikosoa vikali Saudi Arabia kwa kuendelea kuyaunga mkono makundi ya kigaidi na kuyatuma hapa nchini kutekeleza mashambulizi.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa na Saudia huko Yemen

    Makumi wauawa na kujeruhiwa na Saudia huko Yemen

    Jul 23, 2016 02:55

    Makumi ya raia wa Yemen wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika maeneo mbalimbali ya Yemen.

  • Kuimarishwa udiplomasia wa Hija baina ya nchi za Kiislamu

    Kuimarishwa udiplomasia wa Hija baina ya nchi za Kiislamu

    Jul 21, 2016 06:32

    Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara za Kidini Iran amesisitiza kuhusu Diplomasia ya Hija baina ya nchi zote za Kiislamu hasa Iran na Pakistan.

  • Filamu ya 'Madhambi ya Mfalme Fahd' yatengenezwa

    Filamu ya 'Madhambi ya Mfalme Fahd' yatengenezwa

    Jul 18, 2016 23:17

    Filamu kuhusu ufisadi wa kimaadili na ufuska wa ukoo wa kifalme wa Saudi Arabia, hasa mfalme wa zamani Fahd, imetengenezwa kwa mujibu wa kisa cha kweli.

  • Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia

    Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia

    Jul 14, 2016 23:41

    Mamia ya Wamarekani wenye asili ya nchi za Mashariki ya Kati wamefanya maandamano mjini Washington kulaani uungaji mkono wa Saudi Arabia kwa makundi ya kigaidi.

  • Qardhawi: Waislamu wajitenge na Saudia

    Qardhawi: Waislamu wajitenge na Saudia

    Jul 11, 2016 23:16

    Mkuu wa unaoitwa Umoja wa Maulamaa wa Kiislamu Duniani, Sheikh Yusuf Qardhawi ametoa hotuba kali mjini Doha Qatar akimjibu mkuu wa Baraza Kuu la Maulama nchini Saudia, Abdul-Aziz ibn Abdullah Aal ash-Sheikh kwa kujaribu kukilazimisha Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al-Azhar kifuate siasa za Saudia ikiwa ni pamoja na kupanga njama za kukiua kabisa.

  • Wakuu wa Saudia wanafanya biashara ya mihadarati wakati wa Hija

    Wakuu wa Saudia wanafanya biashara ya mihadarati wakati wa Hija

    Jul 06, 2016 23:51

    Maafisa wa ngazi za juu katika ufalme wa Saudi Arabia wamekuwa wakiingiza dawa za kulevya nchini humo kwa kutumia mabasi yanayowabeba mahujaji, imefichuliwa.

  • Mlipuko nje ya ubalozi mdogo wa Marekani Jeddah, Saudi Arabia

    Mlipuko nje ya ubalozi mdogo wa Marekani Jeddah, Saudi Arabia

    Jul 04, 2016 09:45

    Bomu limelipuka nje ya jengo la ubalozi mdogo wa Marekani mjini Jeddah, Saudi Arabia na kuwajeruhi maafisa wawili wa polisi.