Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Mahakama Misri yabatilisha kukabidhiwa Saudia visiwa viwili muhimu

    Mahakama Misri yabatilisha kukabidhiwa Saudia visiwa viwili muhimu

    Jun 21, 2016 10:25

    Mahakama moja nchini Misri imetengua hatua ya serikali ya Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo ya kuipatia Saudi Arabia visiwa viwili vya kistratejia vya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Saudia yaua Waislamu 15 Yemen katika mwezi wa Ramadhani

    Saudia yaua Waislamu 15 Yemen katika mwezi wa Ramadhani

    Jun 21, 2016 09:40

    Watu wasiopungua 15 wameuawa leo katika mashambulizi ya ndege za kivita za Saudi Arabia katika mkoa wa Lahaj huko kusini mwa Yemen.

  • Siasa za uhasama za Saudia dhidi ya Iran

    Siasa za uhasama za Saudia dhidi ya Iran

    Jun 20, 2016 08:14

    Mwenendo usio wa mantiki unaoonyeshwa na utawala wa Aal Saudi katika matukio ya Mashariki ya Kati na kushupalia kwake siasa za kufurutu mpaka na za kuvuruga hali ya mambo kwa ajili ya kuimarisha nafasi ya utawala huo vimefanyiwa uchambuzi na ukosoaji na duru nyingi za habari na za kisiasa.

  • Wabunge Italia wapinga kuondolewa Saudia katika orodha ya wauaji watoto duniani

    Wabunge Italia wapinga kuondolewa Saudia katika orodha ya wauaji watoto duniani

    Jun 20, 2016 00:54

    Wabunge nchini Italia wamepinga hatua ya Umoja wa Mataifa kuiondoa Saudi Arabia katika orodha ya nchi zinazoongoza katika ukatili na mauaji ya watoto duniani.

  • Saudia, baba wa kiroho wa magaidi wa ISIS

    Saudia, baba wa kiroho wa magaidi wa ISIS

    Jun 19, 2016 10:11

    Mbunge mmoja wa Iran amesema, Saudi Arabia ni baba wa kiroho wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.

  • Ndege za kivita za Saudia  zadondosha mabomu msikitini kaskazini mwa Yemen

    Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu msikitini kaskazini mwa Yemen

    Jun 18, 2016 08:40

    Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu katika msikiti mmoja uluoko mkoa wa Al Jauf kaskazini mwa Yemen.

  • Saudia yaialika timu ya UN ili kujaribu kupotosha fikra za waliowengi

    Saudia yaialika timu ya UN ili kujaribu kupotosha fikra za waliowengi

    Jun 15, 2016 23:21

    Saudi Arabia imeialika timu ya Umoja wa Mataifa kwa ajili ya mazungumzo baada ya kuushinikiza umoja huo uondoe jina lake katika orodha nyeusi ya wakiukaji wa haki za watoto.

  • MEE: Saud Arabia inafadhili kampeni za uchaguzi za Clinton

    MEE: Saud Arabia inafadhili kampeni za uchaguzi za Clinton

    Jun 14, 2016 08:47

    Kituo cha habari cha Middle East Eye (MEE) cha Uingereza kimefichua kuwa Saudi Arabia ni miongoni mwa wafadhili wakuu wa kampeni za uchaguzi za mgombea wa kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democtatic, Hillary Clinton.

  • Saudia imechukua hatua dhidi ya dini kuwazuia Mahujaji Wairani mwaka huu

    Saudia imechukua hatua dhidi ya dini kuwazuia Mahujaji Wairani mwaka huu

    Jun 13, 2016 02:41

    Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Thaqalyn mjini Kano, kaskazni mwa Nigeria amesema hatua ya utawala wa Saudia kuwazuia mahujaji Wairani mwaka huu ni kitendo kilicho dhidi ya dini na mantiki.

  • Burujerdi amtaka Ban Ki-moon kuiweka tena Saudia katika orodha yake nyeusi

    Burujerdi amtaka Ban Ki-moon kuiweka tena Saudia katika orodha yake nyeusi

    Jun 12, 2016 09:43

    Mwakilishi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani Bunge amesema kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anapasa kwa mara nyingine tena kuchukua hatua ya kijasiri na kuliweka jina la Saudi Arabia katika orodha nyeusi ya Umoja huo kwa kukiuka haki za watoto.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS