-
Mahakama Misri yabatilisha kukabidhiwa Saudia visiwa viwili muhimu
Jun 21, 2016 10:25Mahakama moja nchini Misri imetengua hatua ya serikali ya Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo ya kuipatia Saudi Arabia visiwa viwili vya kistratejia vya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Saudia yaua Waislamu 15 Yemen katika mwezi wa Ramadhani
Jun 21, 2016 09:40Watu wasiopungua 15 wameuawa leo katika mashambulizi ya ndege za kivita za Saudi Arabia katika mkoa wa Lahaj huko kusini mwa Yemen.
-
Siasa za uhasama za Saudia dhidi ya Iran
Jun 20, 2016 08:14Mwenendo usio wa mantiki unaoonyeshwa na utawala wa Aal Saudi katika matukio ya Mashariki ya Kati na kushupalia kwake siasa za kufurutu mpaka na za kuvuruga hali ya mambo kwa ajili ya kuimarisha nafasi ya utawala huo vimefanyiwa uchambuzi na ukosoaji na duru nyingi za habari na za kisiasa.
-
Wabunge Italia wapinga kuondolewa Saudia katika orodha ya wauaji watoto duniani
Jun 20, 2016 00:54Wabunge nchini Italia wamepinga hatua ya Umoja wa Mataifa kuiondoa Saudi Arabia katika orodha ya nchi zinazoongoza katika ukatili na mauaji ya watoto duniani.
-
Saudia, baba wa kiroho wa magaidi wa ISIS
Jun 19, 2016 10:11Mbunge mmoja wa Iran amesema, Saudi Arabia ni baba wa kiroho wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
-
Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu msikitini kaskazini mwa Yemen
Jun 18, 2016 08:40Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu katika msikiti mmoja uluoko mkoa wa Al Jauf kaskazini mwa Yemen.
-
Saudia yaialika timu ya UN ili kujaribu kupotosha fikra za waliowengi
Jun 15, 2016 23:21Saudi Arabia imeialika timu ya Umoja wa Mataifa kwa ajili ya mazungumzo baada ya kuushinikiza umoja huo uondoe jina lake katika orodha nyeusi ya wakiukaji wa haki za watoto.
-
MEE: Saud Arabia inafadhili kampeni za uchaguzi za Clinton
Jun 14, 2016 08:47Kituo cha habari cha Middle East Eye (MEE) cha Uingereza kimefichua kuwa Saudi Arabia ni miongoni mwa wafadhili wakuu wa kampeni za uchaguzi za mgombea wa kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democtatic, Hillary Clinton.
-
Saudia imechukua hatua dhidi ya dini kuwazuia Mahujaji Wairani mwaka huu
Jun 13, 2016 02:41Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Thaqalyn mjini Kano, kaskazni mwa Nigeria amesema hatua ya utawala wa Saudia kuwazuia mahujaji Wairani mwaka huu ni kitendo kilicho dhidi ya dini na mantiki.
-
Burujerdi amtaka Ban Ki-moon kuiweka tena Saudia katika orodha yake nyeusi
Jun 12, 2016 09:43Mwakilishi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani Bunge amesema kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anapasa kwa mara nyingine tena kuchukua hatua ya kijasiri na kuliweka jina la Saudi Arabia katika orodha nyeusi ya Umoja huo kwa kukiuka haki za watoto.