-
Saudia, baba wa kiroho wa magaidi wa ISIS
Jun 19, 2016 10:11Mbunge mmoja wa Iran amesema, Saudi Arabia ni baba wa kiroho wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
-
Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu msikitini kaskazini mwa Yemen
Jun 18, 2016 08:40Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu katika msikiti mmoja uluoko mkoa wa Al Jauf kaskazini mwa Yemen.
-
Saudia yaialika timu ya UN ili kujaribu kupotosha fikra za waliowengi
Jun 15, 2016 23:21Saudi Arabia imeialika timu ya Umoja wa Mataifa kwa ajili ya mazungumzo baada ya kuushinikiza umoja huo uondoe jina lake katika orodha nyeusi ya wakiukaji wa haki za watoto.
-
MEE: Saud Arabia inafadhili kampeni za uchaguzi za Clinton
Jun 14, 2016 08:47Kituo cha habari cha Middle East Eye (MEE) cha Uingereza kimefichua kuwa Saudi Arabia ni miongoni mwa wafadhili wakuu wa kampeni za uchaguzi za mgombea wa kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democtatic, Hillary Clinton.
-
Saudia imechukua hatua dhidi ya dini kuwazuia Mahujaji Wairani mwaka huu
Jun 13, 2016 02:41Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Thaqalyn mjini Kano, kaskazni mwa Nigeria amesema hatua ya utawala wa Saudia kuwazuia mahujaji Wairani mwaka huu ni kitendo kilicho dhidi ya dini na mantiki.
-
Burujerdi amtaka Ban Ki-moon kuiweka tena Saudia katika orodha yake nyeusi
Jun 12, 2016 09:43Mwakilishi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani Bunge amesema kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anapasa kwa mara nyingine tena kuchukua hatua ya kijasiri na kuliweka jina la Saudi Arabia katika orodha nyeusi ya Umoja huo kwa kukiuka haki za watoto.
-
Iraq yaitaka Saudia itoe maelezo kwa kulisaidia kifedha kundi la kigaidi la Daesh
Jun 12, 2016 03:04Serikali ya Iraq imelalamikia misaada ya kifedha inayokusanywa na baadhi ya makundi nchini Saudi Arabia kwa ajili ya kulisaidia kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).
-
Iran kuishtaki Saudia katika mahakama ya kimataifa juu ya maafa ya Mina
Jun 09, 2016 09:34Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema itaushtaki utawala wa Saudi Arabia katika mahakama ya kimataifa kutokana na vifo vya mamia ya mahujaji wa Kiiarani wakati wa maafa ya Mina mwaka jana.
-
Saudia yatishia kuikatia UN ufadhili kwa kuiweka kwenye orodha nyeusi
Jun 08, 2016 08:46Saudi Arabia imetishia kukata misaada na ufadhili wake kwa Umoja wa Mataifa, siku chache baada ya Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa umoja huo kuuweka muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na nchi hiyo dhidi ya Yemen kwenye orodha yake nyeusi.
-
Wananchi wa Yemen wafanywa wahanga wa mchezo wa UN katika uwanja wa Saudi Arabia
Jun 07, 2016 23:11Umoja wa Mataifa umetupilia mbali msimamo wake wa awali na kulifuta jina la Muungano vamizi unaoongozwa na Saudia huko Yemen katika orodha yake nyeusi kutokana na kukiuka haki za watoto wa Yemen.