Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Iraq yaitaka Saudia itoe maelezo kwa kulisaidia kifedha kundi la kigaidi la Daesh

    Iraq yaitaka Saudia itoe maelezo kwa kulisaidia kifedha kundi la kigaidi la Daesh

    Jun 12, 2016 03:04

    Serikali ya Iraq imelalamikia misaada ya kifedha inayokusanywa na baadhi ya makundi nchini Saudi Arabia kwa ajili ya kulisaidia kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • Iran kuishtaki Saudia katika mahakama ya kimataifa juu ya maafa ya Mina

    Iran kuishtaki Saudia katika mahakama ya kimataifa juu ya maafa ya Mina

    Jun 09, 2016 09:34

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema itaushtaki utawala wa Saudi Arabia katika mahakama ya kimataifa kutokana na vifo vya mamia ya mahujaji wa Kiiarani wakati wa maafa ya Mina mwaka jana.

  • Saudia yatishia kuikatia UN ufadhili kwa kuiweka kwenye orodha nyeusi

    Saudia yatishia kuikatia UN ufadhili kwa kuiweka kwenye orodha nyeusi

    Jun 08, 2016 08:46

    Saudi Arabia imetishia kukata misaada na ufadhili wake kwa Umoja wa Mataifa, siku chache baada ya Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa umoja huo kuuweka muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na nchi hiyo dhidi ya Yemen kwenye orodha yake nyeusi.

  • Wananchi wa Yemen wafanywa wahanga wa mchezo wa UN katika uwanja wa  Saudi Arabia

    Wananchi wa Yemen wafanywa wahanga wa mchezo wa UN katika uwanja wa Saudi Arabia

    Jun 07, 2016 23:11

    Umoja wa Mataifa umetupilia mbali msimamo wake wa awali na kulifuta jina la Muungano vamizi unaoongozwa na Saudia huko Yemen katika orodha yake nyeusi kutokana na kukiuka haki za watoto wa Yemen.

  • Kuendelea hatua haribifu za Saudia katika soko la mafuta

    Kuendelea hatua haribifu za Saudia katika soko la mafuta

    Jun 07, 2016 02:16

    Katika kuendeleza ushindani wake dhidi ya Iran kuhusiana na mgao wa kila nchi katika soko la mafuta, Saudi Arabia imeshusha bei ya mafuta yake mepesi inayouza kwa nchi za Ulaya.

  • Nchi za Kiislamu zibadili usimamizi wa Hija

    Nchi za Kiislamu zibadili usimamizi wa Hija

    Jun 05, 2016 23:19

    Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara za Kidini la Iran amesema kuna udharura wa nchi za Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu kuanzisha mkakati wa kubadilisha muundo wa usimamizi wa Ibada ya Hija na kuzuia mwenendo wa ubaguzi na utumiaji mabavu wa Saudi Arabia kuhusu ibada hiyo ya kila mwaka.

  • Saudia ibebe lawama za kushindwa Wairani kwenda Hija mwaka huu

    Saudia ibebe lawama za kushindwa Wairani kwenda Hija mwaka huu

    May 31, 2016 03:16

    Mkuu wa Idara ya Ghuba ya Uajemi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, ukoo tawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia ndio unaopaswa kubeba lawama za kushindwa Waislamu wa Iran kwenda Hija mwaka huu.

  • Umoja wa Mataifa Wakosoa Ukiukwaji wa Haki za Binadamu Bahrain na Saudia

    Umoja wa Mataifa Wakosoa Ukiukwaji wa Haki za Binadamu Bahrain na Saudia

    May 31, 2016 03:09

    Sambamba na kutangazwa hukumu ya kidhalimu dhidi ya wanaharakati wa kisiasa wa Bahrain na Saudi Arabia, Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limetoa ripoti na kuzituhumu tawala za nchi hizo mbili kuwa wakiukaji wakubwa wa haki za binadamu duniani.

  • Rouhani: Saudia inatumikia maslahi ya Israel kwa kuwazuia Mahujaji Wairani

    Rouhani: Saudia inatumikia maslahi ya Israel kwa kuwazuia Mahujaji Wairani

    May 30, 2016 23:12

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amelaani hatua ya Saudia kuwazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu na kusema hatua hiyo ni kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jaberi Ansari: Saudia inapasa kulaumiwa kwa kushindwa Waislamu wa Iran kwenda Hija mwaka huu

    Jaberi Ansari: Saudia inapasa kulaumiwa kwa kushindwa Waislamu wa Iran kwenda Hija mwaka huu

    May 29, 2016 03:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Saudi Arabia imeifungia Iran njia zote na kwamba Wasaudia wanapasa kulaumiwa iwapo Waislamu watashindwa kwenda Hija mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS