Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Saudia, baba wa kiroho wa magaidi wa ISIS

    Saudia, baba wa kiroho wa magaidi wa ISIS

    Jun 19, 2016 10:11

    Mbunge mmoja wa Iran amesema, Saudi Arabia ni baba wa kiroho wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.

  • Ndege za kivita za Saudia  zadondosha mabomu msikitini kaskazini mwa Yemen

    Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu msikitini kaskazini mwa Yemen

    Jun 18, 2016 08:40

    Ndege za kivita za Saudia zadondosha mabomu katika msikiti mmoja uluoko mkoa wa Al Jauf kaskazini mwa Yemen.

  • Saudia yaialika timu ya UN ili kujaribu kupotosha fikra za waliowengi

    Saudia yaialika timu ya UN ili kujaribu kupotosha fikra za waliowengi

    Jun 15, 2016 23:21

    Saudi Arabia imeialika timu ya Umoja wa Mataifa kwa ajili ya mazungumzo baada ya kuushinikiza umoja huo uondoe jina lake katika orodha nyeusi ya wakiukaji wa haki za watoto.

  • MEE: Saud Arabia inafadhili kampeni za uchaguzi za Clinton

    MEE: Saud Arabia inafadhili kampeni za uchaguzi za Clinton

    Jun 14, 2016 08:47

    Kituo cha habari cha Middle East Eye (MEE) cha Uingereza kimefichua kuwa Saudi Arabia ni miongoni mwa wafadhili wakuu wa kampeni za uchaguzi za mgombea wa kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democtatic, Hillary Clinton.

  • Saudia imechukua hatua dhidi ya dini kuwazuia Mahujaji Wairani mwaka huu

    Saudia imechukua hatua dhidi ya dini kuwazuia Mahujaji Wairani mwaka huu

    Jun 13, 2016 02:41

    Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Thaqalyn mjini Kano, kaskazni mwa Nigeria amesema hatua ya utawala wa Saudia kuwazuia mahujaji Wairani mwaka huu ni kitendo kilicho dhidi ya dini na mantiki.

  • Burujerdi amtaka Ban Ki-moon kuiweka tena Saudia katika orodha yake nyeusi

    Burujerdi amtaka Ban Ki-moon kuiweka tena Saudia katika orodha yake nyeusi

    Jun 12, 2016 09:43

    Mwakilishi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani Bunge amesema kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anapasa kwa mara nyingine tena kuchukua hatua ya kijasiri na kuliweka jina la Saudi Arabia katika orodha nyeusi ya Umoja huo kwa kukiuka haki za watoto.

  • Iraq yaitaka Saudia itoe maelezo kwa kulisaidia kifedha kundi la kigaidi la Daesh

    Iraq yaitaka Saudia itoe maelezo kwa kulisaidia kifedha kundi la kigaidi la Daesh

    Jun 12, 2016 03:04

    Serikali ya Iraq imelalamikia misaada ya kifedha inayokusanywa na baadhi ya makundi nchini Saudi Arabia kwa ajili ya kulisaidia kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • Iran kuishtaki Saudia katika mahakama ya kimataifa juu ya maafa ya Mina

    Iran kuishtaki Saudia katika mahakama ya kimataifa juu ya maafa ya Mina

    Jun 09, 2016 09:34

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema itaushtaki utawala wa Saudi Arabia katika mahakama ya kimataifa kutokana na vifo vya mamia ya mahujaji wa Kiiarani wakati wa maafa ya Mina mwaka jana.

  • Saudia yatishia kuikatia UN ufadhili kwa kuiweka kwenye orodha nyeusi

    Saudia yatishia kuikatia UN ufadhili kwa kuiweka kwenye orodha nyeusi

    Jun 08, 2016 08:46

    Saudi Arabia imetishia kukata misaada na ufadhili wake kwa Umoja wa Mataifa, siku chache baada ya Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa umoja huo kuuweka muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na nchi hiyo dhidi ya Yemen kwenye orodha yake nyeusi.

  • Wananchi wa Yemen wafanywa wahanga wa mchezo wa UN katika uwanja wa  Saudi Arabia

    Wananchi wa Yemen wafanywa wahanga wa mchezo wa UN katika uwanja wa Saudi Arabia

    Jun 07, 2016 23:11

    Umoja wa Mataifa umetupilia mbali msimamo wake wa awali na kulifuta jina la Muungano vamizi unaoongozwa na Saudia huko Yemen katika orodha yake nyeusi kutokana na kukiuka haki za watoto wa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS