-
Baada ya kuikabidhi Riyadh visiwa viwili, sasa Rais el Sisi aruhusu raia wa Saudia kumiliki ardhi Misri
May 27, 2016 23:20Hivi karibuni wananchi wa Misri walifanya maandamano makubwa ya kulalamikia hatua ya Rais Abdul Fattah el Sisi ya kuipa Saudia visiwa viwili vya nchi hiyo.
-
Frangieh: Marekani haina uwezo wa kuidhoofisha Hizbullah
May 27, 2016 23:17Mkuu wa harakati ya el Marada ya Lebanon amesema kuwa, vikwazo vya kifedha vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Hizbullah haviwezi kuidhoofisha harakati hiyo ya muqawama wa Kiislamu.
-
Ujumbe wa Iran waelekea Saudia kwa duru ya pili ya mazungumzo ya Hija
May 24, 2016 23:37Mkuu wa Taasisi ya Hija na Ziara ya Iran, amesema ujumbe wa watu sita unaelekea nchini Saudi Arabia kwa mwaliko rasmi wa Waziri mpya wa Hija wa nchi hiyo kwa ajili ya duru ya pili ya mazungumzo kuhusu Hija ya mwaka huu.
-
"Saudi Arabia ni Benki ya Daesh (ISIS)"
May 15, 2016 09:45Maandamano yamefanyika nje ya Ubalozi wa Saudi Arabia mjini Berlin, Ujerumani ambapo washiriki wameilaani Saudia kwa kuendelea kutoa misaada kwa kundi la kigaidi la Daesh au ISIS.
-
'Madai ya Saudia dhidi ya Iran ni kichekesho'
May 13, 2016 23:11Ofisi ya Uwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imepinga tuhuma za mwakilishi wa Saudi Arabia katika umoja huo dhidi ya Iran na kuzitaja kuwa kichekesho.
-
Iran: Mazingira hayaruhusu kutuma mahujaji wetu Saudia
May 12, 2016 10:51Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu wa Iran amesema, viongozi wa Saudi Arabia wanaendelea kukwamisha juhudi za Waislamu wa Iran za kwenda kutekeleza amali ya Hija mwaka huu.
-
Mfalme wa Saudia alifadhili kampeni za waziri mkuu wa Israel, Netanyahu, mwaka 2015
May 10, 2016 00:19Mjumbe wa Bunge la Utawala haramu wa Israel (Knesset) amefichua kuwa Mfalme Salman bin Abdulazizi wa Saudi Arabia alifadhili kampeni za uchaguzi za waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mwaka 2015.
-
HRW: Saudia inatumia mabomu ya vishada ya Marekani nchini Yemen
May 06, 2016 23:49Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeikosoa Marekani kwa kuiuzia Saudi Arabia mabomu ya vishada yanayotumiwa na utawala huo wa kifalme dhidi ya raia wasio na hatia wa Yemen.
-
Wanajeshi wa Marekani wavamia kusini mwa Yemen
May 02, 2016 23:27Ripoti zinasema kuwa, wanajeshi wa kikosi maalumu cha Marekani wamevamia eneo la Kusini mwa Yemen kwa kisingizio cha kuwasaidia wanajeshi wa Imarati katika kile kinachodaiwa ni vita dhidi ya wanamgambo wa al Qaeda katika eneo hilo.
-
Mtawala wa Misri El Sisi aendelea kukiuka haki za binadamu
Apr 28, 2016 03:19Rais Abdel Fatah el Sisi nchini Misri ameendelea kukiuka haki za binaadamu huku akikosolewa kitaifa na kimataifa kutokana na kuendelea kuzorota hali ya mambo nchini humo.