Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Baada ya kuikabidhi Riyadh visiwa viwili, sasa Rais el Sisi aruhusu raia wa Saudia kumiliki ardhi Misri

    Baada ya kuikabidhi Riyadh visiwa viwili, sasa Rais el Sisi aruhusu raia wa Saudia kumiliki ardhi Misri

    May 27, 2016 23:20

    Hivi karibuni wananchi wa Misri walifanya maandamano makubwa ya kulalamikia hatua ya Rais Abdul Fattah el Sisi ya kuipa Saudia visiwa viwili vya nchi hiyo.

  • Frangieh: Marekani haina uwezo wa kuidhoofisha Hizbullah

    Frangieh: Marekani haina uwezo wa kuidhoofisha Hizbullah

    May 27, 2016 23:17

    Mkuu wa harakati ya el Marada ya Lebanon amesema kuwa, vikwazo vya kifedha vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Hizbullah haviwezi kuidhoofisha harakati hiyo ya muqawama wa Kiislamu.

  • Ujumbe wa Iran waelekea Saudia kwa duru ya pili ya mazungumzo ya Hija

    Ujumbe wa Iran waelekea Saudia kwa duru ya pili ya mazungumzo ya Hija

    May 24, 2016 23:37

    Mkuu wa Taasisi ya Hija na Ziara ya Iran, amesema ujumbe wa watu sita unaelekea nchini Saudi Arabia kwa mwaliko rasmi wa Waziri mpya wa Hija wa nchi hiyo kwa ajili ya duru ya pili ya mazungumzo kuhusu Hija ya mwaka huu.

  • "Saudi Arabia ni Benki ya Daesh (ISIS)"

    May 15, 2016 09:45

    Maandamano yamefanyika nje ya Ubalozi wa Saudi Arabia mjini Berlin, Ujerumani ambapo washiriki wameilaani Saudia kwa kuendelea kutoa misaada kwa kundi la kigaidi la Daesh au ISIS.

  • 'Madai ya Saudia dhidi ya Iran ni kichekesho'

    'Madai ya Saudia dhidi ya Iran ni kichekesho'

    May 13, 2016 23:11

    Ofisi ya Uwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imepinga tuhuma za mwakilishi wa Saudi Arabia katika umoja huo dhidi ya Iran na kuzitaja kuwa kichekesho.

  • Iran: Mazingira hayaruhusu kutuma mahujaji wetu Saudia

    Iran: Mazingira hayaruhusu kutuma mahujaji wetu Saudia

    May 12, 2016 10:51

    Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu wa Iran amesema, viongozi wa Saudi Arabia wanaendelea kukwamisha juhudi za Waislamu wa Iran za kwenda kutekeleza amali ya Hija mwaka huu.

  • Mfalme wa Saudia alifadhili kampeni za waziri mkuu wa Israel, Netanyahu, mwaka 2015

    Mfalme wa Saudia alifadhili kampeni za waziri mkuu wa Israel, Netanyahu, mwaka 2015

    May 10, 2016 00:19

    Mjumbe wa Bunge la Utawala haramu wa Israel (Knesset) amefichua kuwa Mfalme Salman bin Abdulazizi wa Saudi Arabia alifadhili kampeni za uchaguzi za waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mwaka 2015.

  • HRW: Saudia inatumia mabomu ya vishada ya Marekani nchini Yemen

    HRW: Saudia inatumia mabomu ya vishada ya Marekani nchini Yemen

    May 06, 2016 23:49

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeikosoa Marekani kwa kuiuzia Saudi Arabia mabomu ya vishada yanayotumiwa na utawala huo wa kifalme dhidi ya raia wasio na hatia wa Yemen.

  • Wanajeshi wa Marekani wavamia kusini mwa Yemen

    Wanajeshi wa Marekani wavamia kusini mwa Yemen

    May 02, 2016 23:27

    Ripoti zinasema kuwa, wanajeshi wa kikosi maalumu cha Marekani wamevamia eneo la Kusini mwa Yemen kwa kisingizio cha kuwasaidia wanajeshi wa Imarati katika kile kinachodaiwa ni vita dhidi ya wanamgambo wa al Qaeda katika eneo hilo.

  • Mtawala wa Misri El Sisi aendelea kukiuka haki za binadamu

    Mtawala wa Misri El Sisi aendelea kukiuka haki za binadamu

    Apr 28, 2016 03:19

    Rais Abdel Fatah el Sisi nchini Misri ameendelea kukiuka haki za binaadamu huku akikosolewa kitaifa na kimataifa kutokana na kuendelea kuzorota hali ya mambo nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS