Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

sauti

  • Waislamu Uganda walalamikia kutengwa na Serikali + Sauti

    Waislamu Uganda walalamikia kutengwa na Serikali + Sauti

    Sep 11, 2018 02:02

    Mufti wa Uganda, Sheikh Shaaban Ramadhan Mubajje ameilalamikia vikali serikali ya Uganda kutokana na sera zake za kuwatenga Waislamu katika jamii. Mwandishi wetu Kigozi Ismail ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo.

  • Mufti wa Tanzania apewa zawadi ya kutembelea Iran na familia yake + Sauti

    Mufti wa Tanzania apewa zawadi ya kutembelea Iran na familia yake + Sauti

    Sep 11, 2018 01:44

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania, Bw. Musa Farhang amemzawadia Mufti wa nchi hiyo, Sheikh Abubakar bin Zubeir safari ya kuitembelea Iran yeye na familia yake.

  • Chanzo cha ugonjwa wa Lupa ulioikumba Tanzania bado hakijajulikana + Sauti

    Chanzo cha ugonjwa wa Lupa ulioikumba Tanzania bado hakijajulikana + Sauti

    Sep 10, 2018 01:42

    Serikali ya Tanzania imesema, hadi kufikia sasa haijafahamika chanzo cha ugonjwa wa Lupa ulioikumba nchi hiyo.

  • Wahitimu vyuo vikuu Burundi wahimizwa kujiajiri + Sauti

    Wahitimu vyuo vikuu Burundi wahimizwa kujiajiri + Sauti

    Aug 23, 2018 12:24

    Serikali ya Burundi imekuwa ikiwahimiza vijana walioshindwa kuendelea na elimu ya chuo kikuu kujiunga na kazi mbali mbali za kiufundi nchini humo katika dhamira ya kukabiliana na ukosefu ajira. Kwa maelezo kamili tumtegee sikio ripota wetu wa mjini Bujumbura, Hamida Issa

  • Rais Paul Kagame wa Rwanda awataka viongozi wa Afrika kupambana na uhamiaji haramu

    Rais Paul Kagame wa Rwanda awataka viongozi wa Afrika kupambana na uhamiaji haramu

    Aug 23, 2018 12:16

    Rais Paul Kagame wa Rwanda ambaye pia ni mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika amesema viongozi wa kiafrika wana kila sababu ya kuwafanya kusimama kidete kukomesha tatizo la uhamiaji haramu wa vijana wa kiafrika wanaokufa maji wakijaribu kukimbilia mataifa ya ulaya. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi…

  • Waislamu Kenya watakiwa kutofuata mwezi wa Saudia bali kufuata mwandamo wa kwao + Sauti

    Waislamu Kenya watakiwa kutofuata mwezi wa Saudia bali kufuata mwandamo wa kwao + Sauti

    Aug 22, 2018 13:28

    Waislamu nchini Kenya wametakiwa kuzingatia mwezi mwandamo katika ukanda wa Afrika Mashariki ili kufanikisha maamuzi ya kiibada kama vile funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, Idul Fitr na Idul Adh'ha na kuacha kufuata Saudi Arabia au mwezi wa kimataifa. Seifullah Murtadha ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...

  • Kinyang'anyiro cha ubunge chaingia kasi nchini Rwanda

    Kinyang'anyiro cha ubunge chaingia kasi nchini Rwanda

    Aug 16, 2018 03:36

    Nchini Rwanda, kampeni za ubunge za kuwania viti vya uwakilishi bungeni katika uchaguzi wa uliopangwa kufanyika mwezi ujao wa Septemba zinaendelea.

  • Wabunge Uganda wachachamaa, wataka kujua hatima ya wenzao waliokamatwa na polisi

    Wabunge Uganda wachachamaa, wataka kujua hatima ya wenzao waliokamatwa na polisi

    Aug 16, 2018 03:28

    Spika wa Bunge la Uganda, Jumatano alilazimika kusimamisha vikao vya bunge kwa muda wa saa moja baada ya kuombwa na wabunge waende wakafuatilie hatima ya wabunge wenzao waliowekwa kizuizini na polisi. Kigozi Ismail ametuandalia ripoti maalumu kuhusu habari hiyo...

  • Muungano wa walimu wakuu Afrika wataka kuunganishwa katika Umoja wa Afrika

    Muungano wa walimu wakuu Afrika wataka kuunganishwa katika Umoja wa Afrika

    Aug 08, 2018 13:33

    Muungano wa walimu wakuu barani Afrika umepitisha hoja ya kutaka kujumuishwa muungano huo katika nafasi ya uangalizi kwenye Umoja wa Afrika. Muungano huo kadhalika umetupilia mbali hoja ya uwezekano wa kuwa na mfumo mmoja wa elimu barani humu, ukisema kila taifa mwanachama lina matatizo maalumu, ila kinacho hitajika ni usimamizi bora wa taasisi za elimu. Kutoka Mombasa mwandishi wetu Seifullah Murtadha ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo….

  • IGAD yatangaza kuimarika usalama Pembe ya Afrika + Sauti

    IGAD yatangaza kuimarika usalama Pembe ya Afrika + Sauti

    Jun 25, 2018 12:24

    Jumuiya ya IGAD imetangaza kuimarika usalama katika eneo la Pembe ya Afrika na kwa sasa imepitisha sheria ya sera za kibinadamu ambazo zitafanikisha usalama huo. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS