-
Waislamu Uganda walalamikia kutengwa na Serikali + Sauti
Sep 11, 2018 02:02Mufti wa Uganda, Sheikh Shaaban Ramadhan Mubajje ameilalamikia vikali serikali ya Uganda kutokana na sera zake za kuwatenga Waislamu katika jamii. Mwandishi wetu Kigozi Ismail ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo.
-
Mufti wa Tanzania apewa zawadi ya kutembelea Iran na familia yake + Sauti
Sep 11, 2018 01:44Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania, Bw. Musa Farhang amemzawadia Mufti wa nchi hiyo, Sheikh Abubakar bin Zubeir safari ya kuitembelea Iran yeye na familia yake.
-
Chanzo cha ugonjwa wa Lupa ulioikumba Tanzania bado hakijajulikana + Sauti
Sep 10, 2018 01:42Serikali ya Tanzania imesema, hadi kufikia sasa haijafahamika chanzo cha ugonjwa wa Lupa ulioikumba nchi hiyo.
-
Wahitimu vyuo vikuu Burundi wahimizwa kujiajiri + Sauti
Aug 23, 2018 12:24Serikali ya Burundi imekuwa ikiwahimiza vijana walioshindwa kuendelea na elimu ya chuo kikuu kujiunga na kazi mbali mbali za kiufundi nchini humo katika dhamira ya kukabiliana na ukosefu ajira. Kwa maelezo kamili tumtegee sikio ripota wetu wa mjini Bujumbura, Hamida Issa
-
Rais Paul Kagame wa Rwanda awataka viongozi wa Afrika kupambana na uhamiaji haramu
Aug 23, 2018 12:16Rais Paul Kagame wa Rwanda ambaye pia ni mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika amesema viongozi wa kiafrika wana kila sababu ya kuwafanya kusimama kidete kukomesha tatizo la uhamiaji haramu wa vijana wa kiafrika wanaokufa maji wakijaribu kukimbilia mataifa ya ulaya. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi…
-
Waislamu Kenya watakiwa kutofuata mwezi wa Saudia bali kufuata mwandamo wa kwao + Sauti
Aug 22, 2018 13:28Waislamu nchini Kenya wametakiwa kuzingatia mwezi mwandamo katika ukanda wa Afrika Mashariki ili kufanikisha maamuzi ya kiibada kama vile funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, Idul Fitr na Idul Adh'ha na kuacha kufuata Saudi Arabia au mwezi wa kimataifa. Seifullah Murtadha ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...
-
Kinyang'anyiro cha ubunge chaingia kasi nchini Rwanda
Aug 16, 2018 03:36Nchini Rwanda, kampeni za ubunge za kuwania viti vya uwakilishi bungeni katika uchaguzi wa uliopangwa kufanyika mwezi ujao wa Septemba zinaendelea.
-
Wabunge Uganda wachachamaa, wataka kujua hatima ya wenzao waliokamatwa na polisi
Aug 16, 2018 03:28Spika wa Bunge la Uganda, Jumatano alilazimika kusimamisha vikao vya bunge kwa muda wa saa moja baada ya kuombwa na wabunge waende wakafuatilie hatima ya wabunge wenzao waliowekwa kizuizini na polisi. Kigozi Ismail ametuandalia ripoti maalumu kuhusu habari hiyo...
-
Muungano wa walimu wakuu Afrika wataka kuunganishwa katika Umoja wa Afrika
Aug 08, 2018 13:33Muungano wa walimu wakuu barani Afrika umepitisha hoja ya kutaka kujumuishwa muungano huo katika nafasi ya uangalizi kwenye Umoja wa Afrika. Muungano huo kadhalika umetupilia mbali hoja ya uwezekano wa kuwa na mfumo mmoja wa elimu barani humu, ukisema kila taifa mwanachama lina matatizo maalumu, ila kinacho hitajika ni usimamizi bora wa taasisi za elimu. Kutoka Mombasa mwandishi wetu Seifullah Murtadha ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo….
-
IGAD yatangaza kuimarika usalama Pembe ya Afrika + Sauti
Jun 25, 2018 12:24Jumuiya ya IGAD imetangaza kuimarika usalama katika eneo la Pembe ya Afrika na kwa sasa imepitisha sheria ya sera za kibinadamu ambazo zitafanikisha usalama huo. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa Kenya.