Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

sauti

  • Mufti wa Uganda awataka Waislamu wasaidie kupatikana amani duniani + Sauti

    Mufti wa Uganda awataka Waislamu wasaidie kupatikana amani duniani + Sauti

    Jun 16, 2018 01:54

    Mufti wa Uganda Sheikh Shaaban Ramadhan Mubajje amewasihi Waislamu kote duniani wachangie kupatikana amani, lakini wakianzia kwa jamii zao. Maelezo zaidi yamo katika ripoti ya mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail.

  • Wanamgambo wa Bemba washtakiwa CAR + Sauti

    Wanamgambo wa Bemba washtakiwa CAR + Sauti

    Jun 11, 2018 11:01

    Wahanga wa mashambulizi ya wanamgambo wa Jean Pierre Bemba huko Jamhuri ya Afrika ya Kati wameamua kufungua kesi dhidi ya makamanda wa kundi hilo pamoja na Jenerali mmoja wa Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC. Maelezo zaidi yamo ndani ya ripoti ya mwandishi wetu Mossi Mwasi.

  • Rwanda yachukua hatua kali zaidi dhidi ya vyombo vya plastiki + Sauti

    Rwanda yachukua hatua kali zaidi dhidi ya vyombo vya plastiki + Sauti

    Jun 05, 2018 13:26

    Wakati dunia ikiadhimisha siku ya mazingira, serikali ya Rwanda imepiga hatua nyingine mbele ya kukomesha matumizi ya aina yoyote ya vifaa vya plastiki kwa sababu vinahatarisha maisha ya viumbe hai.

  • Franc bilioni 17 zimeshakusanywa Burundi kwa ajili ya uchaguzi + Sauti

    Franc bilioni 17 zimeshakusanywa Burundi kwa ajili ya uchaguzi + Sauti

    Jun 05, 2018 12:15

    Serikali ya Burundi imetangaza kiwango cha Franc bilioni 17 za nchi hiyo sawa na dola milioni 17 za Kimarekani kuwa ndizo tayari zimekusanywa katika michongo inayotolewa ndani ya nchi hiyo kugharamia uchaguzi mkuu wa 2020. Hamida Issa na maelezo zaidi...

  • Mitandao ya kijamii yalaumiwa kwa kuporomoka maadili Kenya + Sauti

    Mitandao ya kijamii yalaumiwa kwa kuporomoka maadili Kenya + Sauti

    Jun 03, 2018 01:11

    Visa vya watoto wenye umri wa chini ya miaka 18 kunyanyaswa kijinsia nchini Kenya vimekithiri na kuipa changamoto Serikali kuushinikiza mhimili wa mahakama kuwaadhibu ipasavyo wahalifu wa uovu huo.

  • Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki na Harith Subeit + Sauti

    Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki na Harith Subeit + Sauti

    May 18, 2018 13:47

    Kama kamawaida, wiki hii pia iliyosadifiana na kuanza mwezi mtukufu wa Ramadhani imesheheni matukio ya kila namna ya Kiislamu duniani ukiwemo ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Harith Subeit na baadhi ya matukio hayo...

  • Waislamu Uganda watakiwa kutumia vyema nyakati za Ramadhani + Sauti

    Waislamu Uganda watakiwa kutumia vyema nyakati za Ramadhani + Sauti

    May 18, 2018 13:44

    Waislamu nchini Uganda na duniani kiujumla wamehimizwa kujiweka mbali na mambo yanayomkasirisha Mwenyezi Mungu na kutumia vizuri nyakati muhimu za mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Mwandishi wetu Kigozi Ismail ametuandalia ripoti ifuatayo.

  • Waislamu Zanzibar kuungana na Waislamu wengine kesho Alkhamisi katika saumu ya Ramadhani + Sauti

    Waislamu Zanzibar kuungana na Waislamu wengine kesho Alkhamisi katika saumu ya Ramadhani + Sauti

    May 16, 2018 14:02

    Waislamu visiwani Zanzibar kesho Alkhamisi tarehe 17 Mei 2018 wataungana na Waislamu wengine duniani kuanza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa mwaka huu wa 1439 Hijria. Harith Subeit ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo

  • 'Bara la Afrika litapata maendeleo ya haraka kwa teknolojia' + SAUTI

    'Bara la Afrika litapata maendeleo ya haraka kwa teknolojia' + SAUTI

    May 09, 2018 05:26

    Viongozi wa serikali, wadau na wataalamu wa sekta ya teknolojia ya mawasiliano wanasema kwamba teknolojia ikitumiwa vizuri barani Afrika inaweza kuwa chachu ya maendeleo ya haraka ya bara hilo. Kauli hiyo imetolewa mjini Kigali Rwanda unakoendelea mkutano mkubwa wa wadau wa teknolojia. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylvanus Karemera anaripoti zaidi.

  • Kamati yaundwa CAR kuchunguza mauaji ya Kanisani + Sauti

    Kamati yaundwa CAR kuchunguza mauaji ya Kanisani + Sauti

    May 05, 2018 06:09

    Mwanasheria Mkuu wa serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati ameunda kamati ya kuchunguza mauaji ya siku ya Jumanne katika Kanisa la Fatima huko Bangui, mji mkuu wa nchi hiiyo. Mwandishi wetu Mossi Mwasi na maelezo zaidi...

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS