Kamati yaundwa CAR kuchunguza mauaji ya Kanisani + Sauti
May 05, 2018 06:09 UTC
Mwanasheria Mkuu wa serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati ameunda kamati ya kuchunguza mauaji ya siku ya Jumanne katika Kanisa la Fatima huko Bangui, mji mkuu wa nchi hiiyo. Mwandishi wetu Mossi Mwasi na maelezo zaidi...
Tags