Mufti wa Uganda awataka Waislamu wasaidie kupatikana amani duniani + Sauti
Jun 16, 2018 01:54 UTC
Mufti wa Uganda Sheikh Shaaban Ramadhan Mubajje amewasihi Waislamu kote duniani wachangie kupatikana amani, lakini wakianzia kwa jamii zao. Maelezo zaidi yamo katika ripoti ya mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail.
Tags