Waislamu Uganda walalamikia kutengwa na Serikali + Sauti
Sep 11, 2018 02:02 UTC
Mufti wa Uganda, Sheikh Shaaban Ramadhan Mubajje ameilalamikia vikali serikali ya Uganda kutokana na sera zake za kuwatenga Waislamu katika jamii. Mwandishi wetu Kigozi Ismail ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo.
Tags