Waislamu Uganda walalamikia kutengwa na Serikali + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i48058-waislamu_uganda_walalamikia_kutengwa_na_serikali_sauti
Mufti wa Uganda, Sheikh Shaaban Ramadhan Mubajje ameilalamikia vikali serikali ya Uganda kutokana na sera zake za kuwatenga Waislamu katika jamii. Mwandishi wetu Kigozi Ismail ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo.
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Sep 11, 2018 02:02 UTC

Mufti wa Uganda, Sheikh Shaaban Ramadhan Mubajje ameilalamikia vikali serikali ya Uganda kutokana na sera zake za kuwatenga Waislamu katika jamii. Mwandishi wetu Kigozi Ismail ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo.