IGAD yatangaza kuimarika usalama Pembe ya Afrika + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i46318-igad_yatangaza_kuimarika_usalama_pembe_ya_afrika_sauti
Jumuiya ya IGAD imetangaza kuimarika usalama katika eneo la Pembe ya Afrika na kwa sasa imepitisha sheria ya sera za kibinadamu ambazo zitafanikisha usalama huo. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa Kenya.
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Jun 25, 2018 12:24 UTC

Jumuiya ya IGAD imetangaza kuimarika usalama katika eneo la Pembe ya Afrika na kwa sasa imepitisha sheria ya sera za kibinadamu ambazo zitafanikisha usalama huo. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa Kenya.