Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

silaha

  • Ujerumani yaacha kuiuzia silaha Saudia na wavamizi wa Yemen

    Ujerumani yaacha kuiuzia silaha Saudia na wavamizi wa Yemen

    Jan 21, 2018 03:09

    Serikali ya Ujerumani imesitisha kuiuzia silaha Saudia na karibu waitifaki wenzake wote wanaoshiriki katika jinai dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Yemen.

  • Ripoti: Marekani na Saudi Arabia zimewapa magaidi wa ISIS silaha

    Ripoti: Marekani na Saudi Arabia zimewapa magaidi wa ISIS silaha

    Dec 15, 2017 06:42

    Shirika moja la kimataifa limezilaumu tawala za Marekani na Saudi Arabia kuwa zimekuwa zikiwafikishia magaidi wa ISIS silaha kwa siri kupitia makundi ya wapinzania nchini Syria.

  • Russia yaomba kibali cha UN ili kutuma silaha Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Russia yaomba kibali cha UN ili kutuma silaha Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Dec 13, 2017 08:05

    Russia imeripotiwa kuomba kibali kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ili kuiruhusu kusafirisha silaha nyepesi na zana za kijeshi kwa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Silaha za Marekani na Israel zapatikana katika ngome za ISIS, Syria

    Silaha za Marekani na Israel zapatikana katika ngome za ISIS, Syria

    Dec 10, 2017 07:18

    Siku chache baada ya Mkuu wa Jeshi la Russia kutangaza kuwa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) limeangamizwa kikamilifu nchini Syria, shehena ya silaha zilizotengenezewa Marekani na Israel imepatikana na wanajeshi wa Syria katika mji wa Dayr al-Zawr, iliyokuwa ngome ya mwisho ya magaidi hao.

  • Bunge la EU lataka Saudia iwekewe vikwazo vya silaha

    Bunge la EU lataka Saudia iwekewe vikwazo vya silaha

    Dec 01, 2017 07:51

    Wabunge wa Umoja wa Ulaya wamepiga kura kwa kishindo kuunga mkono azimio linalotaka EU iiwekee vikwazo vya silaha Saudi Arabia, inayoongoza katika mauaji na hujuma za kijeshi dhidi ya Yemen.

  • Hamas: Silaha zetu ni mstari mwekundu, hazina mjadala

    Hamas: Silaha zetu ni mstari mwekundu, hazina mjadala

    Nov 28, 2017 07:37

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imepinga mwito wa kuitaka iweke chini silaha kama sehemu ya maridhiano ya kitaifa kati yake na harakati ya Fat'h.

  • Serikali ya Uingereza yaanzisha jitihada za kupambana na ongezeko la uhalifu wa silaha

    Serikali ya Uingereza yaanzisha jitihada za kupambana na ongezeko la uhalifu wa silaha

    Nov 28, 2017 02:41

    Serikali ya Uingereza imeanzisha mkakati mpya wa kukusanya silaha na kukabiliana na ongezeko kubwa la vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha nchini humo.

  • Gazeti la Kizayuni: Silaha za Israel inazouziwa Myanmar ndizo zinatumika kuwaua Waislamu

    Gazeti la Kizayuni: Silaha za Israel inazouziwa Myanmar ndizo zinatumika kuwaua Waislamu

    Oct 23, 2017 14:08

    Gazeti la utawala wa Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa silaha za kisasa za Israel zinazouzwa kwa serikali ya Myanmar, ndizo zinatumika kuwaua Waislamu wa nchi hiyo.

  • Serikali ya Sudan yafunga mipaka kwa ajili ya kukusanya silaha

    Serikali ya Sudan yafunga mipaka kwa ajili ya kukusanya silaha

    Oct 06, 2017 02:52

    Serikali ya Sudan imefunga mipaka ya nchi hiyo katika utekelezaji wa mpango wa kukusanya silaha na imewataka raia wa nchi hiyo kuisaidia katika mchakato huo.

  • Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Uingereza  wazidi kulalamikiwa kimataifa

    Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Uingereza wazidi kulalamikiwa kimataifa

    Jul 12, 2017 07:32

    Taasisi za kutetea haki za binadamu nchini Uingereza zimekosoa kuendelea mchakato wa kuiuzia silaha Saudi Arabia ili izitumie katika mashambulizi yake dhidi ya raia wa Yemen wasio na hatia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS