Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

silaha

  • Syria yagundua ghala kubwa la silaha za Israel katika maficho ya magaidi mkoani Homs

    Syria yagundua ghala kubwa la silaha za Israel katika maficho ya magaidi mkoani Homs

    Jun 29, 2017 15:21

    Jeshi la Syria limegundua ghala kubwa la silaha za kila namna za utawala wa Kizayuni wa Israel katika maficho ya magaidi kwenye wilaya ya al Wa'er mkoani Homs.

  • Kuongeza mashambulizi ya silaha Marekani, watu 71 waliuawa Jumanne pekee

    Kuongeza mashambulizi ya silaha Marekani, watu 71 waliuawa Jumanne pekee

    Jun 01, 2017 04:16

    Katika matukio 82 ya mashambulizi ya silaha za moto nchini Marekani yaliyojiri siku ya Jumanne pekee katika majimbo tofauti nchini humo kwa akali watu 71 wameuawa na wengine 53 kujeruhiwa.

  • Saudia mnunuzi mkubwa zaidi wa silaha za Marekani, Israel mpokezi mkubwa zaidi wa misaada ya kijeshi ya Marekani

    Saudia mnunuzi mkubwa zaidi wa silaha za Marekani, Israel mpokezi mkubwa zaidi wa misaada ya kijeshi ya Marekani

    May 23, 2017 07:03

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umebainisha wasiwasi wake kuhusu Marekani kuiuzia Saudi Arabia silaha zenye kugharimu mabilioni ya dola katika hali ambayo Israel yenyewe inapokea misaada ya silaha za kisasa zaidi kutoka Marekani.

  • Seneta wa US akosoa mauzo ya silaha kwa Saudia kwa dola bilioni 110

    Seneta wa US akosoa mauzo ya silaha kwa Saudia kwa dola bilioni 110

    May 22, 2017 04:02

    Seneta mmoja wa chama cha Democratic nchini Marekani amekosoa vikali hatua ya Washington kusaini makubaliano ya mauzo ya silaha yenye thamani ya dola bilioni 110 za Marekani kwa Saudi Arabia, licha ya kufahamu fika kuwa silaha hizo zinatumiwa na watawala Riyadh kuwaua raia wa Yemen.

  • UN yaituhumu Ukraine kuwa inatuma silaha Sudan Kusini

    UN yaituhumu Ukraine kuwa inatuma silaha Sudan Kusini

    May 15, 2017 07:32

    Umoja wa Mataifa umeituhumu Ukraine kuwa imekiuka vikwazo vya kimataifa dhidi ya Sudan Kusini kwa kuiuzia nchi hiyo ya Afrika silaha.

  • Ufilipino yaitaka Marekani iache kuingiza silaha zake nchini humo

    Ufilipino yaitaka Marekani iache kuingiza silaha zake nchini humo

    Jan 30, 2017 07:52

    Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amesema Marekani inahatarisha usalama wa eneo kwa kuendelea kurundika silaha zake katika nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa wakataa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa wakataa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini

    Dec 24, 2016 03:09

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepinga wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Sudan Kusini, ambayo inashuhudia mapigano kwa mwaka wa nne sasa.

  • Saudia: Marekani haijapunguza mauzo ya silaha zake kwetu

    Saudia: Marekani haijapunguza mauzo ya silaha zake kwetu

    Dec 19, 2016 07:34

    Adel al-Jubeir, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amekanusha madai kuwa Marekani imepunguza kiwango cha uuzaji silaha kwa serikali ya Riyadh kutokana na hujuma za utawala huo wa kifalme nchini Yemen.

  • Amnesty yaitaka Uhispania iache kuiuzia Saudia meli za kivita

    Amnesty yaitaka Uhispania iache kuiuzia Saudia meli za kivita

    Nov 12, 2016 07:49

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Uhispania iache kuiuzia Saudi Arabia manowari za kijeshi na kusisitiza kuwa, nchi hiyo ya Ulaya inapaswa kusitisha mauzo hayo kwa kuwa yumkini meli hizo za kivita zikatumika dhidi ya raia wasio na hatia wa Yemen.

  • Iran yaonya juu ya kuendelea kuuziwa silaha Saudia, Israel

    Iran yaonya juu ya kuendelea kuuziwa silaha Saudia, Israel

    Oct 15, 2016 08:13

    Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu kuendelea kuuziwa silaha utawala wa kifalme wa Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa hatua hiyo itakuwa na maafa makubwa katika eneo la Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS