Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Jeshi la Somalia lakomboa mji wa kistratejia katika ngome ya al-Shabaab

    Jeshi la Somalia lakomboa mji wa kistratejia katika ngome ya al-Shabaab

    Jan 17, 2023 13:11

    Vikosi vya serikali ya Somalia vimefanikiwa kuukomboa mji wa kistratejia wa Harardhere, moja ya ngome za kundi la kigaidi la al-Shabaab karibu na Bahari Hindi.

  • Rais wa Somalia awataka raia wawafurushe 'kunguni' wa al-Shabaab

    Rais wa Somalia awataka raia wawafurushe 'kunguni' wa al-Shabaab

    Jan 14, 2023 03:49

    Rais wa Somalia ametoa mwito kwa raia wa nchi hiyo waunge mkono jitihada za vyombo vya usalama za kupambana na ugaidi kwa kuwatimua wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab aliowataja kuwa 'makunguni'.

  • Magaidi 61 wa al-Shabaab waangamizwa na maafisa usalama Somalia

    Magaidi 61 wa al-Shabaab waangamizwa na maafisa usalama Somalia

    Jan 10, 2023 07:58

    Somalia imetangaza habari ya kuuawa kwa magaidi 61 wa genge la al-Shabaab kusini mwa nchi, huku vikosi vya usalama vya nchi hiyo ya Pembe ya Afya vikishadidisha operesheni zao dhidi ya wanamgambo hao.

  • Mashambulio ya kikatili ya Marekani yaongezeka nchini Somalia

    Mashambulio ya kikatili ya Marekani yaongezeka nchini Somalia

    Jan 10, 2023 02:34

    Tovuti moja ya nchini Marekani imetangaza habari ya kuongezeka mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Somalia wakati wa urais wa "Joe Biden" na mauaji ya raia katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Waliouawa katika mashambulio ya kigaidi Somalia wapindukia 30

    Waliouawa katika mashambulio ya kigaidi Somalia wapindukia 30

    Jan 05, 2023 07:06

    Idadi ya wahanga wa milipuko miwili ya mabomu katika mji wa Mahas katikati ya Somalia imeongezeka na kufikia watu 30.

  • Milipuko miwili ya mabomu ya kutegwa garini yauwa watu tisa katikati mwa Somalia

    Milipuko miwili ya mabomu ya kutegwa garini yauwa watu tisa katikati mwa Somalia

    Jan 04, 2023 12:34

    Milipuko miwili ya mabomu imeuwa raia wasiopungua tisa na kujeruhi wengine kadhaa katikati ya Somalia.

  • Wavuvi wa Kiirani waliotekwa na al-Shabaab waachiwa huru baada ya miaka 8

    Wavuvi wa Kiirani waliotekwa na al-Shabaab waachiwa huru baada ya miaka 8

    Dec 25, 2022 10:33

    Wavuvi 14 Wairani waliokuwa wanashikiliwa mateka na wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab nchini Somalia wamewasili hapa nchini Iran baada ya kuachiwa huru.

  • Vikosi vya Somalia vyaukomboa mji wa Runirgoud kutoka kwa magaidi wa Al-Shabaab

    Vikosi vya Somalia vyaukomboa mji wa Runirgoud kutoka kwa magaidi wa Al-Shabaab

    Dec 24, 2022 07:40

    Mashambulizi ya Jeshi la Somalia (SNA) dhidi ya kundi la magaidi wa Al-Shabaab yamepata mafanikio mapya baada ya vikosi vyake kuukomboa mji wa Runirgoud, ngome ya mwisho ya magaidi hao wakufurishaji huko Shabelle ya Kati, takriban kilomita 240 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.

  • FAO: Watu milioni 1.9 wanakabiliwa na ukosefu wa usalama wa chakula Somalia

    FAO: Watu milioni 1.9 wanakabiliwa na ukosefu wa usalama wa chakula Somalia

    Dec 21, 2022 12:05

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa, watu milioni 1.9 nchini Somalia wanakabiliwa na ukosefu wa usalama wa chakula na kwamba, kuna haja ya kupelekewa haraka misaada ya chakula.

  • AU: Kundi la al-Shabaab linaelekea kusambaratika nchini Somalia

    AU: Kundi la al-Shabaab linaelekea kusambaratika nchini Somalia

    Nov 30, 2022 10:57

    Umoja wa Afrika umesema vitendo vya hivi karibuni vya kundi la kigaidi la al-Shabaab vya kuwalenga raia wasio na hatia katika mashambulizi yao vinaashiria namna genge hilo lilivyopoteza udhibiti wa ngome zake, kutokana na operesheni za Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) na waitifaki wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS