-
Jeshi la Somalia lakomboa mji wa kistratejia katika ngome ya al-Shabaab
Jan 17, 2023 13:11Vikosi vya serikali ya Somalia vimefanikiwa kuukomboa mji wa kistratejia wa Harardhere, moja ya ngome za kundi la kigaidi la al-Shabaab karibu na Bahari Hindi.
-
Rais wa Somalia awataka raia wawafurushe 'kunguni' wa al-Shabaab
Jan 14, 2023 03:49Rais wa Somalia ametoa mwito kwa raia wa nchi hiyo waunge mkono jitihada za vyombo vya usalama za kupambana na ugaidi kwa kuwatimua wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab aliowataja kuwa 'makunguni'.
-
Magaidi 61 wa al-Shabaab waangamizwa na maafisa usalama Somalia
Jan 10, 2023 07:58Somalia imetangaza habari ya kuuawa kwa magaidi 61 wa genge la al-Shabaab kusini mwa nchi, huku vikosi vya usalama vya nchi hiyo ya Pembe ya Afya vikishadidisha operesheni zao dhidi ya wanamgambo hao.
-
Mashambulio ya kikatili ya Marekani yaongezeka nchini Somalia
Jan 10, 2023 02:34Tovuti moja ya nchini Marekani imetangaza habari ya kuongezeka mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Somalia wakati wa urais wa "Joe Biden" na mauaji ya raia katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Waliouawa katika mashambulio ya kigaidi Somalia wapindukia 30
Jan 05, 2023 07:06Idadi ya wahanga wa milipuko miwili ya mabomu katika mji wa Mahas katikati ya Somalia imeongezeka na kufikia watu 30.
-
Milipuko miwili ya mabomu ya kutegwa garini yauwa watu tisa katikati mwa Somalia
Jan 04, 2023 12:34Milipuko miwili ya mabomu imeuwa raia wasiopungua tisa na kujeruhi wengine kadhaa katikati ya Somalia.
-
Wavuvi wa Kiirani waliotekwa na al-Shabaab waachiwa huru baada ya miaka 8
Dec 25, 2022 10:33Wavuvi 14 Wairani waliokuwa wanashikiliwa mateka na wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab nchini Somalia wamewasili hapa nchini Iran baada ya kuachiwa huru.
-
Vikosi vya Somalia vyaukomboa mji wa Runirgoud kutoka kwa magaidi wa Al-Shabaab
Dec 24, 2022 07:40Mashambulizi ya Jeshi la Somalia (SNA) dhidi ya kundi la magaidi wa Al-Shabaab yamepata mafanikio mapya baada ya vikosi vyake kuukomboa mji wa Runirgoud, ngome ya mwisho ya magaidi hao wakufurishaji huko Shabelle ya Kati, takriban kilomita 240 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.
-
FAO: Watu milioni 1.9 wanakabiliwa na ukosefu wa usalama wa chakula Somalia
Dec 21, 2022 12:05Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa, watu milioni 1.9 nchini Somalia wanakabiliwa na ukosefu wa usalama wa chakula na kwamba, kuna haja ya kupelekewa haraka misaada ya chakula.
-
AU: Kundi la al-Shabaab linaelekea kusambaratika nchini Somalia
Nov 30, 2022 10:57Umoja wa Afrika umesema vitendo vya hivi karibuni vya kundi la kigaidi la al-Shabaab vya kuwalenga raia wasio na hatia katika mashambulizi yao vinaashiria namna genge hilo lilivyopoteza udhibiti wa ngome zake, kutokana na operesheni za Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) na waitifaki wake.