Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Wabunge wawili wauawa Somalia katika shambulizi la al-Shabaab

    Wabunge wawili wauawa Somalia katika shambulizi la al-Shabaab

    Jun 05, 2018 22:24

    Wabunge wawili wa eneo lenye mamlaka ya ndani la Hirshabelle nchini Somalia wameripotiwa kuuawa katika shambulizi la kuvizia la kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab, karibu na mji mkuu Mogadishu.

  • Kundi la kigaidi la al-Shabaab lateka mji wa Moqokori, ladai kuua askari 47 wa Somalia

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab lateka mji wa Moqokori, ladai kuua askari 47 wa Somalia

    Jun 02, 2018 23:08

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeuteka mji mmoja ulioko katikati mwa Somalia, mwezi mmoja baada ya vikosi vya usalama kuondoka mjini hapo.

  • Wasiwasi wa AU kuhusu madola yasiyo ya Afrika kuingilia mambo ya Somalia

    Wasiwasi wa AU kuhusu madola yasiyo ya Afrika kuingilia mambo ya Somalia

    May 28, 2018 03:22

    Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika Bw. Moussa Faki Mahamat ameeleza wasiwasi kuhusu ongezeko la uingiliaji wa nje unaofanywa na madola yasiyo ya Afrika katika mambo ya ndani ya Somalia.

  • AU, UN na IGAD zataka kusitishwa mapigano kati ya Puntland na Somaliland

    AU, UN na IGAD zataka kusitishwa mapigano kati ya Puntland na Somaliland

    May 25, 2018 03:02

    Jamii ya kimataifa imeeleza juu ya wasi wasi mkubwa ilionao kutokana na kushtadi mapigano kati ya vikosi vya maeneo yenye mamlaka ya ndani ya Somaliland na Puntland nchini Somalia.

  • Msafara wa magari ya jeshi washambuliwa Somalia, 12 waripotiwa kuuawa

    Msafara wa magari ya jeshi washambuliwa Somalia, 12 waripotiwa kuuawa

    May 22, 2018 09:15

    Kwa akali askari 12 wa Jeshi la Somalia wameripotiwa kuuawa katika shambulio la bomu lililolenga msafara wa magari ya jeshi hilo katika wilaya ya Wanaweyn, yapata kilomita 30 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.

  • Somalia yakadhibisha madai ya Kenya ya kuwa tayari kufanya mazungumzo kuhusu mzozo wa mipaka

    Somalia yakadhibisha madai ya Kenya ya kuwa tayari kufanya mazungumzo kuhusu mzozo wa mipaka

    May 22, 2018 04:59

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Somalia imekanusha madai yaliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya kuwa iko tayari kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na nchi hiyo kuhusiana na mgogoro wa mipaka yao ya pamoja ya baharini.

  • Muda wa kuhudumu kikosi cha AU cha kulinda amani Somalia waongezwa

    Muda wa kuhudumu kikosi cha AU cha kulinda amani Somalia waongezwa

    May 16, 2018 09:23

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha kwa kauli moja suala la kurefushwa kazi za kikosi cha Umoja wa Afrika AU cha kulinda amani nchini Somalia kinachojulikana kwa jina la AMISOM.

  • Rais wa Somalia alaani mauaji ya makumi watu katika mapigano kati ya Somaliland na Puntland

    Rais wa Somalia alaani mauaji ya makumi watu katika mapigano kati ya Somaliland na Puntland

    May 16, 2018 03:26

    Rais Mohammed Abdullahi Farmajo wa Somalia ametoa mwito wa kusitishwa mara moja na pasina masharti yoyote mapigano kati ya vikosi vya maeneo yenye mamlaka ya ndani ya nchi hiyo, ya Somaliland na Puntland.

  • Qatar kuendelea kuisaidia Somalia huku mgogoro na Imarati ukitokota

    Qatar kuendelea kuisaidia Somalia huku mgogoro na Imarati ukitokota

    May 15, 2018 09:14

    Qatar imeahidi kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali ya Somalia za kurejesha uthabiti na uhuru wa kujitawala huku mgogoro kati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na Umoja wa Falme za Kiarabu ukiendelea kutokota.

  • Watu 21 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu nchini Somalia

    Watu 21 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu nchini Somalia

    May 10, 2018 02:00

    Polisi ya Somalia imetangaza kuwa, kwa akali watu 21 wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililotokea sokoni nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS