-
Magaidi wanne watiwa mbaroni katikati ya Somalia
Feb 08, 2018 00:29Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kutiwa mbaroni magaidi wanne wa genge la wakufurishaji la al Shabab, katikati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Jaji wa Somalia ateuliwa Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ICJ
Feb 07, 2018 04:12Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ICJ, yenye makao yake huko The Hague nchini Uholanzi imemteua Jaji Abdulqawi Ahmed Yusuf wa Somalia kuwa rais wake.
-
Mkuu wa Kamati ya Masuala ya Katiba Bunge la Somalia asema: Imarati ilipanga kumuua
Feb 03, 2018 23:12Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Katiba ya Mabunge ya Somalia amesema kuwa vyombo vya ujasusi vya Imarati vilihusika na shambulizi lililolenga nyumba yake mjini Mogadishu mwishoni mwa mwezi Disemba na kwamba lengo la shambulizi hilo lilikuwa kumuua yeye.
-
Amisom: Huenda tusiondoe askari wetu Somalia kufikia 2020
Jan 28, 2018 04:20Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom kimetahadharisha kuwa huenda ndoto ya kuwaondoa maelfu ya askari wake katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika isitimie bila msaada wa dharura na uungaji mkono wa jamii ya kimataifa.
-
Rais wa Somalia amfuta kazi meya wa Mogadishu
Jan 21, 2018 10:37Rais wa Somalia Mohammad Abdullahi leo amemfuta kazi meya wa mji mkuu Mogadishu na kumteua waziri wa habari kuchukua nafasi yake.
-
Jeshi la Somalia laukomboa mji uliokuwa ukishikiliwa na Al Shabab
Jan 20, 2018 01:08Jeshi la Somalia limeukomboa mji wa kusini wa Bar-Sanguni uliokuwa ukishikiliwa na kundia la magaidi wakufurishaji wa Al-Shabaab, na kuwaua wapiganaji saba wa kundi hilo, wakiwemo makamanda wake wanne waandamizi.
-
Makumi ya watoto waokolewa kutoka shule ya al-Shabaab Somalia
Jan 19, 2018 10:16Serikali ya Somalia imesema askari wa nchi hiyo wamevamia shule iliyokuwa ikiendeshwa na kundi la kigaidi la al-Shabaab na kuokoa makumi ya watoto toka kwenye makucha ya genge hilo la ukufurishaji.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha tena kuhusu ukame Somalia
Jan 19, 2018 01:06Umoja wa Mataifa umetahadharisha tena kuhusiana na ukame katika nchi ya pembe ya Afrika ya Somalia.
-
Somalia yaitaka jamii ya kimataifa isaidie mchakato wa mageuzi
Jan 16, 2018 11:11Waziri Mkuu wa Somalia Bw. Hassan Ali Khaire ametoa wito kwa jamii ya kimataifa iunge mkono serikali ya Somalia kuanzisha mchakato wa mageuzi kwa idara za usalama za nchi hiyo.
-
Human Rights Watch: Al Shabab inawalazimisha watoto wa Somalia kujiunga na kundi hilo
Jan 16, 2018 02:42Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa kundi la kigaidi la al Shabab nchini Somalia linawalazimisha wananchi kuwakabidhi watoto wao kwa kundi hilo.