-
Rais wa Somalia amfuta kazi meya wa Mogadishu
Jan 21, 2018 10:37Rais wa Somalia Mohammad Abdullahi leo amemfuta kazi meya wa mji mkuu Mogadishu na kumteua waziri wa habari kuchukua nafasi yake.
-
Jeshi la Somalia laukomboa mji uliokuwa ukishikiliwa na Al Shabab
Jan 20, 2018 01:08Jeshi la Somalia limeukomboa mji wa kusini wa Bar-Sanguni uliokuwa ukishikiliwa na kundia la magaidi wakufurishaji wa Al-Shabaab, na kuwaua wapiganaji saba wa kundi hilo, wakiwemo makamanda wake wanne waandamizi.
-
Makumi ya watoto waokolewa kutoka shule ya al-Shabaab Somalia
Jan 19, 2018 10:16Serikali ya Somalia imesema askari wa nchi hiyo wamevamia shule iliyokuwa ikiendeshwa na kundi la kigaidi la al-Shabaab na kuokoa makumi ya watoto toka kwenye makucha ya genge hilo la ukufurishaji.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha tena kuhusu ukame Somalia
Jan 19, 2018 01:06Umoja wa Mataifa umetahadharisha tena kuhusiana na ukame katika nchi ya pembe ya Afrika ya Somalia.
-
Somalia yaitaka jamii ya kimataifa isaidie mchakato wa mageuzi
Jan 16, 2018 11:11Waziri Mkuu wa Somalia Bw. Hassan Ali Khaire ametoa wito kwa jamii ya kimataifa iunge mkono serikali ya Somalia kuanzisha mchakato wa mageuzi kwa idara za usalama za nchi hiyo.
-
Human Rights Watch: Al Shabab inawalazimisha watoto wa Somalia kujiunga na kundi hilo
Jan 16, 2018 02:42Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa kundi la kigaidi la al Shabab nchini Somalia linawalazimisha wananchi kuwakabidhi watoto wao kwa kundi hilo.
-
Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea
Jan 12, 2018 10:15Vyombo vya usalama mashariki mwa Libya vimewakamata makumi ya wahajiri raia wa Somalia, Eritrea na Ethiopia, ambao walikwepa mtego wa magendo ya binadamu.
-
Kufutwa kazi mawaziri watatu nchini Somalia
Jan 05, 2018 10:26Waziri Mkuu wa Somalia amewafuta kazi mawaziri wa mambo ya nje, wa mambo ya ndani na wa biashara wa nchi hiyo na kuteuwa watu wengine kushika nafasi hizo.
-
Mawaziri 3 wapigwa kalamu nyekundu nchini Somalia
Jan 04, 2018 10:08Waziri Mkuu wa Somalia, Hassan Ali Khaire amewafuta kazi mawaziri watatu katika nchi hiyo ambayo inakabiliana na mashambulizi ya kigaidi hususan kutoka kundi la kitakfiri la al-Shabaab.
-
Al-Shabaab yadai kuua askari 5 wa Amisom, Somalia
Jan 01, 2018 00:51Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab linadai kwamba limeua askari watano wa Kikosi cha Askari wa Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Amisom katika mlipuko wa bomu uliotokea mjini Mogadishu jana Jumapili.