Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Rais wa Somalia amfuta kazi meya wa Mogadishu

    Rais wa Somalia amfuta kazi meya wa Mogadishu

    Jan 21, 2018 10:37

    Rais wa Somalia Mohammad Abdullahi leo amemfuta kazi meya wa mji mkuu Mogadishu na kumteua waziri wa habari kuchukua nafasi yake.

  • Jeshi la Somalia laukomboa mji uliokuwa ukishikiliwa na Al Shabab

    Jeshi la Somalia laukomboa mji uliokuwa ukishikiliwa na Al Shabab

    Jan 20, 2018 01:08

    Jeshi la Somalia limeukomboa mji wa kusini wa Bar-Sanguni uliokuwa ukishikiliwa na kundia la magaidi wakufurishaji wa Al-Shabaab, na kuwaua wapiganaji saba wa kundi hilo, wakiwemo makamanda wake wanne waandamizi.

  • Makumi ya watoto waokolewa kutoka shule ya al-Shabaab Somalia

    Makumi ya watoto waokolewa kutoka shule ya al-Shabaab Somalia

    Jan 19, 2018 10:16

    Serikali ya Somalia imesema askari wa nchi hiyo wamevamia shule iliyokuwa ikiendeshwa na kundi la kigaidi la al-Shabaab na kuokoa makumi ya watoto toka kwenye makucha ya genge hilo la ukufurishaji.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha tena kuhusu ukame Somalia

    Umoja wa Mataifa watahadharisha tena kuhusu ukame Somalia

    Jan 19, 2018 01:06

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha tena kuhusiana na ukame katika nchi ya pembe ya Afrika ya Somalia.

  • Somalia yaitaka jamii ya kimataifa isaidie mchakato wa mageuzi

    Somalia yaitaka jamii ya kimataifa isaidie mchakato wa mageuzi

    Jan 16, 2018 11:11

    Waziri Mkuu wa Somalia Bw. Hassan Ali Khaire ametoa wito kwa jamii ya kimataifa iunge mkono serikali ya Somalia kuanzisha mchakato wa mageuzi kwa idara za usalama za nchi hiyo.

  • Human Rights Watch: Al Shabab inawalazimisha watoto wa Somalia kujiunga na kundi hilo

    Human Rights Watch: Al Shabab inawalazimisha watoto wa Somalia kujiunga na kundi hilo

    Jan 16, 2018 02:42

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa kundi la kigaidi la al Shabab nchini Somalia linawalazimisha wananchi kuwakabidhi watoto wao kwa kundi hilo.

  • Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea

    Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea

    Jan 12, 2018 10:15

    Vyombo vya usalama mashariki mwa Libya vimewakamata makumi ya wahajiri raia wa Somalia, Eritrea na Ethiopia, ambao walikwepa mtego wa magendo ya binadamu.

  • Kufutwa kazi mawaziri watatu nchini Somalia

    Kufutwa kazi mawaziri watatu nchini Somalia

    Jan 05, 2018 10:26

    Waziri Mkuu wa Somalia amewafuta kazi mawaziri wa mambo ya nje, wa mambo ya ndani na wa biashara wa nchi hiyo na kuteuwa watu wengine kushika nafasi hizo.

  • Mawaziri 3 wapigwa kalamu nyekundu nchini Somalia

    Mawaziri 3 wapigwa kalamu nyekundu nchini Somalia

    Jan 04, 2018 10:08

    Waziri Mkuu wa Somalia, Hassan Ali Khaire amewafuta kazi mawaziri watatu katika nchi hiyo ambayo inakabiliana na mashambulizi ya kigaidi hususan kutoka kundi la kitakfiri la al-Shabaab.

  • Al-Shabaab yadai kuua askari 5 wa Amisom, Somalia

    Al-Shabaab yadai kuua askari 5 wa Amisom, Somalia

    Jan 01, 2018 00:51

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab linadai kwamba limeua askari watano wa Kikosi cha Askari wa Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Amisom katika mlipuko wa bomu uliotokea mjini Mogadishu jana Jumapili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS