Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea

    Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea

    Jan 12, 2018 10:15

    Vyombo vya usalama mashariki mwa Libya vimewakamata makumi ya wahajiri raia wa Somalia, Eritrea na Ethiopia, ambao walikwepa mtego wa magendo ya binadamu.

  • Kufutwa kazi mawaziri watatu nchini Somalia

    Kufutwa kazi mawaziri watatu nchini Somalia

    Jan 05, 2018 10:26

    Waziri Mkuu wa Somalia amewafuta kazi mawaziri wa mambo ya nje, wa mambo ya ndani na wa biashara wa nchi hiyo na kuteuwa watu wengine kushika nafasi hizo.

  • Mawaziri 3 wapigwa kalamu nyekundu nchini Somalia

    Mawaziri 3 wapigwa kalamu nyekundu nchini Somalia

    Jan 04, 2018 10:08

    Waziri Mkuu wa Somalia, Hassan Ali Khaire amewafuta kazi mawaziri watatu katika nchi hiyo ambayo inakabiliana na mashambulizi ya kigaidi hususan kutoka kundi la kitakfiri la al-Shabaab.

  • Al-Shabaab yadai kuua askari 5 wa Amisom, Somalia

    Al-Shabaab yadai kuua askari 5 wa Amisom, Somalia

    Jan 01, 2018 00:51

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab linadai kwamba limeua askari watano wa Kikosi cha Askari wa Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Amisom katika mlipuko wa bomu uliotokea mjini Mogadishu jana Jumapili.

  • Somalia yarejeshewa udhibiti wa anga yake baada ya miaka 26

    Somalia yarejeshewa udhibiti wa anga yake baada ya miaka 26

    Dec 29, 2017 04:40

    Somalia imerejeshewa mamlaka ya kudhibiti anga yake kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1991.

  • Ansarullah kuishambulia Somaliland ikiendelea kushirikiana na UAE dhidi yake

    Ansarullah kuishambulia Somaliland ikiendelea kushirikiana na UAE dhidi yake

    Dec 27, 2017 03:46

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema ikilazimu, itaishambulia jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland kutokana na hatua yake ya kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu dhidi ya wapiganaji wa harakati hiyo ya Houthi.

  • Jeshi la Somalia lamkamata waziri wa zamani, laua walinzi wake 5

    Jeshi la Somalia lamkamata waziri wa zamani, laua walinzi wake 5

    Dec 18, 2017 10:37

    Askari wa jeshi la Somalia wamemtia nguvuni waziri wa zamani na mgombea kiti cha rais wa nchi hiyo na kuua walinzi wake 5 baada ya kuvamia nyumba yake mjini Mogadishu.

  • Umoja wa Mataifa: Maelfu ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika machafuko ya Somalia kuanzia mwaka jana

    Umoja wa Mataifa: Maelfu ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika machafuko ya Somalia kuanzia mwaka jana

    Dec 11, 2017 04:31

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, machafuko na mapigano nchini Somalia yamepelekea maelfu ya watu kuuawa na kujeruhiwa kuanzia Januari mwaka jana hadi Oktoba mwaka huu.

  • Somalia yasema hatua ya Trump dhidi ya Quds ni 'hatari'

    Somalia yasema hatua ya Trump dhidi ya Quds ni 'hatari'

    Dec 10, 2017 00:10

    Somalia imejiunga na nchi nyingine za Afrika kulaani hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump ya kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Makumi ya wanajeshi wa Uganda waanza kuondoka Somalia

    Makumi ya wanajeshi wa Uganda waanza kuondoka Somalia

    Dec 07, 2017 11:41

    Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limeanza kuondoa makumi ya wanajeshi wake wanaohudumu ndani ya Kikosi cha Askari wa Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS