-
Somalia yarejeshewa udhibiti wa anga yake baada ya miaka 26
Dec 29, 2017 04:40Somalia imerejeshewa mamlaka ya kudhibiti anga yake kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1991.
-
Ansarullah kuishambulia Somaliland ikiendelea kushirikiana na UAE dhidi yake
Dec 27, 2017 03:46Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema ikilazimu, itaishambulia jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland kutokana na hatua yake ya kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu dhidi ya wapiganaji wa harakati hiyo ya Houthi.
-
Jeshi la Somalia lamkamata waziri wa zamani, laua walinzi wake 5
Dec 18, 2017 10:37Askari wa jeshi la Somalia wamemtia nguvuni waziri wa zamani na mgombea kiti cha rais wa nchi hiyo na kuua walinzi wake 5 baada ya kuvamia nyumba yake mjini Mogadishu.
-
Umoja wa Mataifa: Maelfu ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika machafuko ya Somalia kuanzia mwaka jana
Dec 11, 2017 04:31Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, machafuko na mapigano nchini Somalia yamepelekea maelfu ya watu kuuawa na kujeruhiwa kuanzia Januari mwaka jana hadi Oktoba mwaka huu.
-
Somalia yasema hatua ya Trump dhidi ya Quds ni 'hatari'
Dec 10, 2017 00:10Somalia imejiunga na nchi nyingine za Afrika kulaani hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump ya kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Makumi ya wanajeshi wa Uganda waanza kuondoka Somalia
Dec 07, 2017 11:41Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limeanza kuondoa makumi ya wanajeshi wake wanaohudumu ndani ya Kikosi cha Askari wa Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom.
-
Puntland yatangaza hali ya hatari kutokana na ukame
Dec 06, 2017 04:24Eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia limetangaza hali ya hatari kutokana na kushtadi ukame, huku likiiomba jamii ya kimataifa msaada wa chakula na maji.
-
AMISOM: Kupunguzwa wanajeshi wa AU Somalia kutakuwa na taathira hasi
Dec 04, 2017 23:43Kikosi cha Askari wa Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimeeleza wasi wasi wake kuhusiana na mpango wa kupunguza idadi ya wanajeshi wanaohudumu kwenye kikosi hicho.
-
Idadi ya waliopoteza maisha katika hujuma ya kigaidi Somalia Oktoba yafika 512
Dec 02, 2017 00:45Watu 512 sasa wamebainika kupoteza maisha katika miripuko miwili ya mabomu iliyojiri katika mkuu wa Somalia, Mogadishu mwezi Oktoba, imesema kamati ya kuchunguza hujuma hiyo.
-
Al-Shabaab yadai kuua askari kadhaa wa Somalia, akiwemo kamanda
Dec 03, 2017 23:09Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) linadai kuwa limeua askari kadhaa wa Jeshi la Ulinzi la Somalia SNA akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa jeshi hilo.