-
Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea
Jan 12, 2018 10:15Vyombo vya usalama mashariki mwa Libya vimewakamata makumi ya wahajiri raia wa Somalia, Eritrea na Ethiopia, ambao walikwepa mtego wa magendo ya binadamu.
-
Kufutwa kazi mawaziri watatu nchini Somalia
Jan 05, 2018 10:26Waziri Mkuu wa Somalia amewafuta kazi mawaziri wa mambo ya nje, wa mambo ya ndani na wa biashara wa nchi hiyo na kuteuwa watu wengine kushika nafasi hizo.
-
Mawaziri 3 wapigwa kalamu nyekundu nchini Somalia
Jan 04, 2018 10:08Waziri Mkuu wa Somalia, Hassan Ali Khaire amewafuta kazi mawaziri watatu katika nchi hiyo ambayo inakabiliana na mashambulizi ya kigaidi hususan kutoka kundi la kitakfiri la al-Shabaab.
-
Al-Shabaab yadai kuua askari 5 wa Amisom, Somalia
Jan 01, 2018 00:51Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab linadai kwamba limeua askari watano wa Kikosi cha Askari wa Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Amisom katika mlipuko wa bomu uliotokea mjini Mogadishu jana Jumapili.
-
Somalia yarejeshewa udhibiti wa anga yake baada ya miaka 26
Dec 29, 2017 04:40Somalia imerejeshewa mamlaka ya kudhibiti anga yake kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1991.
-
Ansarullah kuishambulia Somaliland ikiendelea kushirikiana na UAE dhidi yake
Dec 27, 2017 03:46Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema ikilazimu, itaishambulia jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland kutokana na hatua yake ya kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu dhidi ya wapiganaji wa harakati hiyo ya Houthi.
-
Jeshi la Somalia lamkamata waziri wa zamani, laua walinzi wake 5
Dec 18, 2017 10:37Askari wa jeshi la Somalia wamemtia nguvuni waziri wa zamani na mgombea kiti cha rais wa nchi hiyo na kuua walinzi wake 5 baada ya kuvamia nyumba yake mjini Mogadishu.
-
Umoja wa Mataifa: Maelfu ya watu wameuawa na kujeruhiwa katika machafuko ya Somalia kuanzia mwaka jana
Dec 11, 2017 04:31Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, machafuko na mapigano nchini Somalia yamepelekea maelfu ya watu kuuawa na kujeruhiwa kuanzia Januari mwaka jana hadi Oktoba mwaka huu.
-
Somalia yasema hatua ya Trump dhidi ya Quds ni 'hatari'
Dec 10, 2017 00:10Somalia imejiunga na nchi nyingine za Afrika kulaani hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump ya kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Makumi ya wanajeshi wa Uganda waanza kuondoka Somalia
Dec 07, 2017 11:41Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limeanza kuondoa makumi ya wanajeshi wake wanaohudumu ndani ya Kikosi cha Askari wa Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom.